Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bei za magari zinabadilika mara kwa mara bosi. Si unaelewa huu utawala mpya ya TRA ulivyo serious na VAT.
TUNAUZA PAMOJA NA VAT NA TUNAUZA BILA VAT KWA KAMPUNI AMBAZO ZINA VAT EXEMPTION,Kwa hiyo ulitaka usitozwe VAT?
Mambo yakiwa sawa ndugu yangu nitakutafuta nahitaji fusso tan 4 single cab, sijui bei gani iwe mpya au used.HABARI WADAU WA BIASHARA,
TUNAUZA MALORI MAPYA YA KICHINA YA HOWO SINOTRUCK NA SITRAK
MAGARI YOTE NI MAPYA YANATOKA KIWANDANI HAYAJATUMIKA.
OFA ZOTE ZA BEI ZINAPATIKANA KWANGU TU, PAMOJA NA HUDUMA YA MALIPO KWA MIKOPO (CREDIT SALES) KWA WANUNUZI.
SIMU- 0767-379412, 0717-518359,
BEI ZA MALORI MAPYA
HOWO 371 LORI LA KUVUTA TELA TANI 15 (TRACTOR TRUCK) - BEI MILLION 137
HOWO 290 LORI YA TIPPER TANI 15 (DUMP TRUCK) - BEI MILLION 163
SITRAK T7 390 LORI LA KUVUTA TELA TANI 15 (TRACTOR TRUCK) - BEI MILLION 184
MTEJA ANAYETAKA ODA YA MALORI MENGI, TUNAMUUZIA BILA SHIDA YEYOTE.
WADAU WA MIKOANI, TAASISI ZA SERIKALI,TAASISI MBALI MBALI, KAMPUNI ZA UJENZI, KAMPUNI ZA LOGISTICS, MAKAMPUNI TOKA CONGO, RWANDA, KENYA NA UGANDA WENYE TENDA ZA MALORI, WANAKARIBISHWA.
WANIPIGIE SIMU +255 767-379412, +255 717-518359,
EMAIL -jonelias6@gmail.com
TUNAPATIKANA DAR ES SALAAM, OFISI ZETU ZIPO KIPAWA.
AFSA MASOKO. 0717-518359, 0767-379412.
DIAMOND MOTORS LTD
imeuzwa hio ngoma inaenda rwanda hio.
howo tipper