Ushauri kwa Rais kwa kuwa Sasa bandarini pamekuwa so soft shamba la Bibi hatuna namna ila tulindieni barabara yetu, hayo malori yasiingie mjini, tumieni treni.
Salama wandugu, nimerudi Tena,kwa Mara ya kwanza namuona Raisi Samia kuwa msikivu, baada ya hii post yangu Sasa malori yatazuiliwa ,kumbe mama vicoba upo mwelevu basi tutaelewana piga KAZI...