Malumbano ya Hoja ITV: Kama wanaochangia ndiyo wanavyuo wetu acheni tu DP World wainunue hata Tanzania yote!

Malumbano ya Hoja ITV: Kama wanaochangia ndiyo wanavyuo wetu acheni tu DP World wainunue hata Tanzania yote!

Hakuna sababu yeyote ya msingi, hata wasomi wetu wawe na uelewa mdogo kias gani, ya kuhalalisha suala la Bandari.

Na kama unamaanisha kile ulichoandika kwenye mada yako bas hili litakuwa ni tusi hata kwa waliukubali mkataba, sababu nao wamesoma katika vyuo hivyohivyo unavyovizungumzia.
 
bado unasikiliza kipindi hicho?kitambo sana nilikuwa nasikiliza.si afadhali uangalie tathilia kuna jambo utajifunza.angalau star tv kipindi cha hoja wako vizuri sana kinachongozwa na nyanda
 
95% ya wasomi wa sasa hivi wa hasa kuanzia mwaka 2010 mpaka mwaka jana 2022 kichwani hamna kitu, hawajiamini na ujengaji wao wa hoja si tu ni mbovu bali ni wa kimasikini mno kifikra.

Kwa huu uchangiaji wa hawa wasomi (wana vyuo wetu) na wengi wakitokea UDSM ninaouona sasa (mubashara) ITV daima natamani hawa DP World wasiishie tu kuzichukua Bandari zetu zote, Maziwa na Mito yetu pamoja na Vijito hadi Mabwawa yote kama wakitaka, bali watununue na hata sisi Watanzania na Taifa letu la Tanzania liwe lao.

Vyuo Vikuu vya sasa (ukikiondoa tu Chuo Kikuu kilichobarikiwa na Mungu cha SAUT Mwanza) havizalishi Rational and Critical Thinkers bali vinazalisha sana walalamikaji, wakurupukaji na wapenda mihemko katika Mijadala yenye kuhitaji Akili Kubwa kuijadili.
Mbona hata wewe hamna kitu? Maana ukiwasikiza wanaopinga DP World wanasema Bandari imeuzwa ,swali ni kweli imeuzwa?

Mbona ground handlers wa Airports ni sekta binafsi,hapo viwanja vimeuzwa?

Mbona Madini yote ni sekta binafsi Je Madini yameuzwa?

Hii Nchi Ina watu wajinga wengi sana except sisi wachache..

Mwingine anajiita Kadinali ananuliza hivi kweli Watzn tumeshindwa Kuendesha Bandari? Sasa yeye Kwa akili yake tumeweza? Au Kuna sekta ipi hapa Tanzania tumeweza?

Na ujinga na inefficiency vilianzia pale tuu baby yenu alipowalea kwenye ujamaa mkadumaa akili..

Na Babu yenu yule akawaona nyie makolo akawa anachukua pesa na watu kusaidia Nchi zingine Bure kabisa,hii ni aina nyingine ya ujinga..USA hatoi Msaada Ukraine Bure.
 
Nakuunga mkono 100% mkuu...chuo Cha Udsm kimepoteza hadhi yake ya chuo mama Cha kusalisha wasomi kuanzia wanasiasa,wasanii,pamoja na wanasheriq....kwa sasa ni kama kimejikita kuzalisha machawa ambao kiuhalisia ni wabinafsi kwa kujionq wao tu....mfano mzuri ni Mwijaku...ukija upande wa SAUT...kiukwel wanapo serious na hata wasomi wa pale Wana weledi ukilinganisha na UD ..chukulia tu mfano kitivo Cha Sheria na Mass com...wengi wanaotokea Saut wapo vzur mnoo....pia Kuna ma prof na ma Dr ambao ni wabobez na hawamezwi na siasa za kiboko...mfano Kuna father mmoja iv alikuwa anatrend sanaa kweny media sema jina nmemsahau....yule ni anajua na anajua Tena.....UD Wana la kujifunza ili kurejesha heshima ambayo washaipoteza....
 
Lakini kuongea mbele za watu ni sanaa, mtoa mada ,haitaji elimu ya udsm kuwa MTU mzungumzaji.kuna wengine sio watu wa kuongea licha ya kwamba ni wasomi lakini kiutendaji ni moto wakuotea mbali

Ndio maana chuoni kulikuwa na ku-present kazi Mbele ya Darasa. Moja ya lengo lilikuwa kujenga kujiamini Kwa Vijana.
Sasa kama kijana alikuwa anakimbia ku-present Hilo nikosa lake.

Msomi yeyote wa level ya Shahada lazima awe na uwezo wa kusimama Mbele za Watu na kujieleza au kueleza Jambo Fulani na lieleweke. Akubali kukosolewa na ajibu Kwa Hoja
 
Huwezi kujua unachokizungumza halafu ukawa na baridi au aibu au kigugumizi kukizungumza. Unatia mashaka.

Kuna mwaka tulifukuzwa kwa muda kama wa miezi 6/7 wengi tukajua ndio imeisha safari ya elimu ya juu.. kwa kosa la kugoma, kipindi cha Hayati Mzee Mkapa.

Waliosalia walikuwa first year, lengo la serikali lilikuwa ni kuzalisha kizazi kitakachoogopa mamlaka, si kuheshimu, ili vyuo vipoe na vitawalike.

Imefanya kazi kwa zaidi ya miaka 12 hakujawa na migomo katika vyuo vikuu, hii haimaanishi Hali ni nzuri sana, ila serikali imefanikiwa kutengeneza kizazi Cha wasomi wenye inbuilt hofu ya mamlaka na wenye mamlaka.

Tatizo ni kuwa na wasomi wasiojiamini, wavivu wa kwenda extra mile.. as a result persistence na that urge to defy the status quo for the pursuit of knowledge and excellence inakufa among wasomi, wengi sio wanaishia kuheshimu mamlaka tuu, ila wanaishia kuheshimu notice za mwalimu tuu.. now that's deadly

Best comment
 
Ndio maana chuoni kulikuwa na ku-present kazi Mbele ya Darasa. Moja ya lengo lilikuwa kujenga kujiamini Kwa Vijana.
Sasa kama kijana alikuwa anakimbia ku-present Hilo nikosa lake.

Msomi yeyote wa level ya Shahada lazima awe na uwezo wa kusimama Mbele za Watu na kujieleza au kueleza Jambo Fulani na lieleweke. Akubali kukosolewa na ajibu Kwa Hoja

Kaka robert huwa nakukubali sana, hujawahi niangusha kiukweli huwa najifunza sana kutoka kwenye post zako, ni mtu wa logic na siyo kuendeshwa na hisia

Kuna wewe, yupo kiranga, kuna mtu anaitwa scars kama sikosei, kuna mtu anaitwa Smotor, kuna someone kisai aseee mbarikiwe sana🙌🙌
 
Kaka robert huwa nakukubali sana, hujawahi niangusha kiukweli huwa najifunza sana kutoka kwenye post zako, ni mtu wa logic na siyo kuendeshwa na hisia

Kuna wewe, yupo kiranga, kuna mtu anaitwa scars kama sikosei, kuna mtu anaitwa Smotor, kuna someone kisai aseee mbarikiwe sana🙌🙌

🙏🏾🙏🏾
Barikiwa Sana Mkuu.
Ukiwa MTU wa Logic unakuwa na Amani na MTU pouwa.
Inakuwa rahisi kuelewa wengine ingawaje wao wanaweza kutokukuelewa Kwa kung'ang'ania ushabiki
 
95% ya wasomi wa sasa hivi wa hasa kuanzia mwaka 2010 mpaka mwaka jana 2022 kichwani hamna kitu, hawajiamini na ujengaji wao wa hoja si tu ni mbovu bali ni wa kimasikini mno kifikra.

Kwa huu uchangiaji wa hawa wasomi (wana vyuo wetu) na wengi wakitokea UDSM ninaouona sasa (mubashara) ITV daima natamani hawa DP World wasiishie tu kuzichukua Bandari zetu zote, Maziwa na Mito yetu pamoja na Vijito hadi Mabwawa yote kama wakitaka, bali watununue na hata sisi Watanzania na Taifa letu la Tanzania liwe lao.

Vyuo Vikuu vya sasa (ukikiondoa tu Chuo Kikuu kilichobarikiwa na Mungu cha SAUT Mwanza) havizalishi Rational and Critical Thinkers bali vinazalisha sana walalamikaji, wakurupukaji na wapenda mihemko katika Mijadala yenye kuhitaji Akili Kubwa kuijadili.
Acheni kuwalaumu wanazuoni....ni vema sasa kuona kuwa wa kulaumiwa ni mfumo mzima na kiwanda cha kuzalisha hawa mnaowaita wasomi kuanzia primary hadi chuoni ni uozo....maana wanatema walichofundishwa...kwa ujumla elimu hii ya sasa hapa tz ni kupoteza muda na resources hasa pesa.
 
Mkuu umenena vyema
hawa watu wa kuitwa wasomi kichwani ndo hakuna kila kitu.wanalingana na wasio soma tu
sijui hata huo u dr wanaupataje ni aibu
Mfikirie anayetoa huo u dr yupoje na ametokana na nani, ndio uje kuhangaika na hawa ma dr uchwara.
 
Huwezi kujua unachokizungumza halafu ukawa na baridi au aibu au kigugumizi kukizungumza. Unatia mashaka.

Kuna mwaka tulifukuzwa kwa muda kama wa miezi 6/7 wengi tukajua ndio imeisha safari ya elimu ya juu.. kwa kosa la kugoma, kipindi cha Hayati Mzee Mkapa.

Waliosalia walikuwa first year, lengo la serikali lilikuwa ni kuzalisha kizazi kitakachoogopa mamlaka, si kuheshimu, ili vyuo vipoe na vitawalike.

Imefanya kazi kwa zaidi ya miaka 12 hakujawa na migomo katika vyuo vikuu, hii haimaanishi Hali ni nzuri sana, ila serikali imefanikiwa kutengeneza kizazi Cha wasomi wenye inbuilt hofu ya mamlaka na wenye mamlaka.

Tatizo ni kuwa na wasomi wasiojiamini, wavivu wa kwenda extra mile.. as a result persistence na that urge to defy the status quo for the pursuit of knowledge and excellence inakufa among wasomi, wengi sio wanaishia kuheshimu mamlaka tuu, ila wanaishia kuheshimu notice za mwalimu tuu.. now that's deadly
Na hii ya kuzalishq kizaz cha uwoga, kizaz cha kufatilia mambo ya burdan tu,jamaa wamefanikiwa

Ova
 
Kwa maana hiyo NI kweli hoja za MHESHIMIWA musukuma MBUNGE wa GEITA vijijini Zina mashiko!
 
Back
Top Bottom