Malumbano ya Hoja ITV: Kama wanaochangia ndiyo wanavyuo wetu acheni tu DP World wainunue hata Tanzania yote!

Malumbano ya Hoja ITV: Kama wanaochangia ndiyo wanavyuo wetu acheni tu DP World wainunue hata Tanzania yote!

Lakini kuongea mbele za watu ni sanaa, mtoa mada ,haitaji elimu ya udsm kuwa MTU mzungumzaji.kuna wengine sio watu wa kuongea licha ya kwamba ni wasomi lakini kiutendaji ni moto wakuotea mbali
Kama unajijua huna kipaji cha kuongea why ukubali mwaliko wa hapo wakati unajua lazima uongee
 
95% ya wasomi wa sasa hivi wa hasa kuanzia mwaka 2010 mpaka mwaka jana 2022 kichwani hamna kitu, hawajiamini na ujengaji wao wa hoja si tu ni mbovu bali ni wa kimasikini mno kifikra.

Kwa huu uchangiaji wa hawa wasomi (wana vyuo wetu) na wengi wakitokea UDSM ninaouona sasa (mubashara) ITV daima natamani hawa DP World wasiishie tu kuzichukua Bandari zetu zote, Maziwa na Mito yetu pamoja na Vijito hadi Mabwawa yote kama wakitaka, bali watununue na hata sisi Watanzania na Taifa letu la Tanzania liwe lao.

Vyuo Vikuu vya sasa (ukikiondoa tu Chuo Kikuu kilichobarikiwa na Mungu cha SAUT Mwanza) havizalishi Rational and Critical Thinkers bali vinazalisha sana walalamikaji, wakurupukaji na wapenda mihemko katika Mijadala yenye kuhitaji Akili Kubwa kuijadili.
Wenzio wa darasa la saba walihongwa ma V8 wewe unatumika tu.
Ma DED walikua imported wewe umeachwa. Endelea kua chawa. Chawa mwenzio anayevaa jezi angalau kaambulia $ za kutosha.
I am sorry for you.
 
Lakini kuongea mbele za watu ni sanaa, mtoa mada ,haitaji elimu ya udsm kuwa MTU mzungumzaji.kuna wengine sio watu wa kuongea licha ya kwamba ni wasomi lakini kiutendaji ni moto wakuotea mbali
Genta halijui hili na akumbuke tu kuwa madogo wanajufunza tu
 
bado unasikiliza kipindi hicho?kitambo sana nilikuwa nasikiliza.si afadhali uangalie tathilia kuna jambo utajifunza.angalau star tv kipindi cha hoja wako vizuri sana kinachongozwa na nyanda
Alyoce mwenywee kajifunza jusjus tu kuongea


Ajabu kwenye the big agenda yake hkn kipya yeye mwenywee anahoji ujinga tu
 
Fikiria walimu wao ni jamii "Fala magamba kabudii"" na Benson Bana!!
 
Popoma ilikuwaje ukafeli form six masomo ya arts hadi ukakosa sifa za kujiunga UDSM ukaenda SAUT?
 
95% ya wasomi wa sasa hivi wa hasa kuanzia mwaka 2010 mpaka mwaka jana 2022 kichwani hamna kitu, hawajiamini na ujengaji wao wa hoja si tu ni mbovu bali ni wa kimasikini mno kifikra.

Kwa huu uchangiaji wa hawa wasomi (wana vyuo wetu) na wengi wakitokea UDSM ninaouona sasa (mubashara) ITV daima natamani hawa DP World wasiishie tu kuzichukua Bandari zetu zote, Maziwa na Mito yetu pamoja na Vijito hadi Mabwawa yote kama wakitaka, bali watununue na hata sisi Watanzania na Taifa letu la Tanzania liwe lao.

Vyuo Vikuu vya sasa (ukikiondoa tu Chuo Kikuu kilichobarikiwa na Mungu cha SAUT Mwanza) havizalishi Rational and Critical Thinkers bali vinazalisha sana walalamikaji, wakurupukaji na wapenda mihemko katika Mijadala yenye kuhitaji Akili Kubwa kuijadili.
Miaka ya nyuma kidogo niliwai kumsikia Marehemu Prof Baregu kipindi akiwa UDSM, Alisema kipindi akiwa Pale alishangaa kuona Wanafunzi wanaokuja kujiunga pale wahajui chochote...

Pia kipindi cha nyuma nilikuwa nafuatulia kipindi cha challenger nini sikumbuki ila walikuwa Wanachuo WA East Africa.. ilikuwa ukifika ZAmu ya Wanachuo wa Tanzania nilikuwa nazima TV kidogo[emoji24]


Juzi nimeenda Taasisi moja nyeti kufuatilia malipo yangu, CA mwenye CPA yaani aibu kuliko msaidizi wake mwenye Diploma


Tanzania..Elimu!Elimu!Elimu bado tupo kwenye mkwamo wa masafa marefu
 
Popoma ilikuwaje ukafeli form six masomo ya arts hadi ukakosa sifa za kujiunga UDSM ukaenda SAUT?
Ni kweli sina Akili kabisa Mkuu na ndiyo maana Form Four nilipata Division II na Form Six nikapata Division 1 na kusoma University of Cape Town South Africa mwaka 2004 na SAUT Mwanza mwaka 2006 na Kumaliza Masters yangu na sasa najiandaa kwenda kufanya Doctorate yangu Nje ya Tanzania. Uko sahihi sina Akili kabisa ila Wewe ndiyo unazo nyingi na Hongera kwa hilo.
 
Ni kweli sina Akili kabisa Mkuu na ndiyo maana Form Four nilipata Division II na Form Six nikapata Division 1 na kusoma University of Cape Town South Africa mwaka 2004 na SAUT Mwanza mwaka 2006 na Kumaliza Masters yangu na sasa najiandaa kwenda kufanya Doctorate yangu Nje ya Tanzania. Uko sahihi sina Akili kabisa ila Wewe ndiyo unazo nyingi na Hongera kwa hilo.
Umewezaje kunijibu kwa busara?
Umeushangaza umma.
 
Back
Top Bottom