atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Kama unajijua huna kipaji cha kuongea why ukubali mwaliko wa hapo wakati unajua lazima uongeeLakini kuongea mbele za watu ni sanaa, mtoa mada ,haitaji elimu ya udsm kuwa MTU mzungumzaji.kuna wengine sio watu wa kuongea licha ya kwamba ni wasomi lakini kiutendaji ni moto wakuotea mbali
Wenzio wa darasa la saba walihongwa ma V8 wewe unatumika tu.95% ya wasomi wa sasa hivi wa hasa kuanzia mwaka 2010 mpaka mwaka jana 2022 kichwani hamna kitu, hawajiamini na ujengaji wao wa hoja si tu ni mbovu bali ni wa kimasikini mno kifikra.
Kwa huu uchangiaji wa hawa wasomi (wana vyuo wetu) na wengi wakitokea UDSM ninaouona sasa (mubashara) ITV daima natamani hawa DP World wasiishie tu kuzichukua Bandari zetu zote, Maziwa na Mito yetu pamoja na Vijito hadi Mabwawa yote kama wakitaka, bali watununue na hata sisi Watanzania na Taifa letu la Tanzania liwe lao.
Vyuo Vikuu vya sasa (ukikiondoa tu Chuo Kikuu kilichobarikiwa na Mungu cha SAUT Mwanza) havizalishi Rational and Critical Thinkers bali vinazalisha sana walalamikaji, wakurupukaji na wapenda mihemko katika Mijadala yenye kuhitaji Akili Kubwa kuijadili.
Rational mind is the servant to irrational mind. We've created the society or generation that honor servant and forget gifted mind. We've to study hard about EQ not IQRational and Critical Thinkers
Genta halijui hili na akumbuke tu kuwa madogo wanajufunza tuLakini kuongea mbele za watu ni sanaa, mtoa mada ,haitaji elimu ya udsm kuwa MTU mzungumzaji.kuna wengine sio watu wa kuongea licha ya kwamba ni wasomi lakini kiutendaji ni moto wakuotea mbali
Alyoce mwenywee kajifunza jusjus tu kuongeabado unasikiliza kipindi hicho?kitambo sana nilikuwa nasikiliza.si afadhali uangalie tathilia kuna jambo utajifunza.angalau star tv kipindi cha hoja wako vizuri sana kinachongozwa na nyanda
Wewe ulisoma chuo gani?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Miaka ya nyuma kidogo niliwai kumsikia Marehemu Prof Baregu kipindi akiwa UDSM, Alisema kipindi akiwa Pale alishangaa kuona Wanafunzi wanaokuja kujiunga pale wahajui chochote...95% ya wasomi wa sasa hivi wa hasa kuanzia mwaka 2010 mpaka mwaka jana 2022 kichwani hamna kitu, hawajiamini na ujengaji wao wa hoja si tu ni mbovu bali ni wa kimasikini mno kifikra.
Kwa huu uchangiaji wa hawa wasomi (wana vyuo wetu) na wengi wakitokea UDSM ninaouona sasa (mubashara) ITV daima natamani hawa DP World wasiishie tu kuzichukua Bandari zetu zote, Maziwa na Mito yetu pamoja na Vijito hadi Mabwawa yote kama wakitaka, bali watununue na hata sisi Watanzania na Taifa letu la Tanzania liwe lao.
Vyuo Vikuu vya sasa (ukikiondoa tu Chuo Kikuu kilichobarikiwa na Mungu cha SAUT Mwanza) havizalishi Rational and Critical Thinkers bali vinazalisha sana walalamikaji, wakurupukaji na wapenda mihemko katika Mijadala yenye kuhitaji Akili Kubwa kuijadili.
Ni kweli sina Akili kabisa Mkuu na ndiyo maana Form Four nilipata Division II na Form Six nikapata Division 1 na kusoma University of Cape Town South Africa mwaka 2004 na SAUT Mwanza mwaka 2006 na Kumaliza Masters yangu na sasa najiandaa kwenda kufanya Doctorate yangu Nje ya Tanzania. Uko sahihi sina Akili kabisa ila Wewe ndiyo unazo nyingi na Hongera kwa hilo.Popoma ilikuwaje ukafeli form six masomo ya arts hadi ukakosa sifa za kujiunga UDSM ukaenda SAUT?
Umewezaje kunijibu kwa busara?Ni kweli sina Akili kabisa Mkuu na ndiyo maana Form Four nilipata Division II na Form Six nikapata Division 1 na kusoma University of Cape Town South Africa mwaka 2004 na SAUT Mwanza mwaka 2006 na Kumaliza Masters yangu na sasa najiandaa kwenda kufanya Doctorate yangu Nje ya Tanzania. Uko sahihi sina Akili kabisa ila Wewe ndiyo unazo nyingi na Hongera kwa hilo.
Practice makes perfectKama unajijua huna kipaji cha kuongea why ukubali mwaliko wa hapo wakati unajua lazima uongea