Malumbano ya Spika Sitta na Mzee Mrema

kwi kwi.. u made me laugh.. apology accepted.. mwambie Sitta aje JF kutuomba msamaha basi.. mwambie asione aibu tutamsameheee lol
kuomba radhi ni ishara ya uugwana.
heri SITTA huyu mmoja kuliko kundi la wabunge mia mbili walioshindwa kuwa nyuma yake hadi akakata tamaa....
 
Wote Mrema na Sitta wanastahili kuwaomba watanzania msamaha
 

lakini nguvumali, tangu mwanzoni i think end of november or early dec 2009... mrema alisema kitu kimoja kwanini wana CCM wanalalamika rais ni fisadi, CCM fisadi na bado wapo CCM? why being a political party which has wrong morals?

kwanini watu mnataka JK ndio amwambie Sitta what to do with his morals... hamna mtu aliyemshikia mtutu wa bunduki kusoma ile speach ya kuvunja mjadala wa richmond...

N.B kama sita angekataa what possibilies JK angekuwa nazo zaidi ya kumuunga mkono au kumfukuza chama... which kumfukuza chama sidhani kama ingekuwa option especial as uchanguzi is around the corner
 
so what is relevant of this in red? Kwamba Mrema hakutakiwa kumcheka mwl kumpigia kampeni Mkapa? what is so wrong about that...

Mkuu get my point....

Mreama alikua anachekelea watu walipomzomea nyerere ,wakati huo watu walitoa hata matusi.Hali ya usalama lile eneo ilikua mbaya.so inaingia akilini Mrema huyu huyu anongelea maaandamano kama kielelezo cha kuvunja amani?
 
adui yako mwombee njaa,mzee kapigwa na njaa mpaka kasalimu amri,na akitaka kurudi chama cha majambazi nafasi zimejaa.
 
Ukitaka kujua tabia halisi ya mtu msubiri azeeke. Hii ndiyo tabia halisi ya Lyatonga. Wale walioigundua toka miaka ile walishasema alivyo tukawakejeli.
 
Mkuu get my point....

Mreama alikua anachekelea watu walipomzomea nyerere ,wakati huo watu walitoa hata matusi.Hali ya usalama lile eneo ilikua mbaya.so inaingia akilini Mrema huyu huyu anongelea maaandamano kama kielelezo cha kuvunja amani?


Mhh Ben, forgive me but i can't find anywhere Mrema amesema kwamba maandamano ni kama kielelezo cha kuvunja amani! Naomba unieleweshi hayo maneno aliyasema wapi na lini... asante
 
Mhh Ben, forgive me but i can't find anywhere Mrema amesema kwamba maandamano ni kama kielelezo cha kuvunja amani! Naomba unieleweshi hayo maneno aliyasema wapi na lini... asante

Mkuu Mawazo ya Mrema yanadhihirisha hapa


Kwa kiongozi makini wa mhimili kama Bunge alitakiwa kuwa tayari kujiuzulu kuliko kuufunga mjadala huo bila kufikiwa tamati… angekuwa na mapenzi ya kweli kwa umma angekubali mbele ya Bunge kung’atuka kwa kuwa hajaridhishwa na uamuzi wa serikali. Sasa kauli zake zinachochea wanaharakati kuandamana.
“…Mwendo huu wa spika ukiendelea utahatarisha amani ya nchi. Ni jambo baya kabisa hasa wakati huu tunaoelekea kwenye uchaguzi mkuu,” alisisitiza Mrema aliyewahi pia kuwa Naibu Waziri Mkuu wakati wa serikali ya awamu ya piivyo hapa

Sourcrce Tanzania daima ya leo

link http://www.freemedia.co.tz/daima/habari.php?id=13644
 
Ukitaka kujua tabia halisi ya mtu msubiri azeeke. Hii ndiyo tabia halisi ya Lyatonga. Wale walioigundua toka miaka ile walishasema alivyo tukawakejeli.
Huyu mzee binafsi na kwa siasa za wakati ule, namheshimu sana. Lakini tungeingia choo cha shomo kama angepata uraisi.....asingetoka ng'o!! huyu bana anafaa kuwa mkuu wa mkoa wa dar hivi, au mkurugenzi wa jiji au angekuwa Kamanda Tosi flani hivi hapo sawa. Dictator kweli huyu.
 
Ndio hivyo tena wahenga wanasema kila lililo na mwanzo halikosi mwisho na huo ndio mwisho wa mzee wetu wa kiraracha,inasikitisha sana but no way out.

Ni sawa, lakini sometimes ni busara sana kukaa kimya kama unaona mambo yanaenda sivyo. Simwelewi Mrema kushabikia sisiemu ilhali bado ni mwenyekiti wa Tanzania Labour. Sia aondoke TLP rusi sisiemu kama akina Danhi Makanga tujue moja?
 
Spika sitta nae kafulia tuache kumpamba najiuliza ni kwanini alifunga mjadala wa Richadmonduli kiyamela badala ya kushinikiza serekali itekeleze maazimio yote ya bunge yeye kakimbilia kuzima mjadala.

Alitishiwa nyau, kwamba iwapo mjadala usingeisha kwenye kikao kile cha bunge basi na uanachama wa sisiemu ananyang'anywa! Hii ina maana kwamba na ubunge na uspika ndo ungeishia pale.
Ungekuwa ni wewe je ungekubali hilo?
 
Ndio hivyo tena wahenga wanasema kila lililo na mwanzo halikosi mwisho na huo ndio mwisho wa mzee wetu wa kiraracha,inasikitisha sana but no way out.
Pia ivumayo haidumu,debe tupu.......aaah sijui nini tena wanajua wahenga!!
 
Ni sawa, lakini sometimes ni busara sana kukaa kimya kama unaona mambo yanaenda sivyo. Simwelewi Mrema kushabikia sisiemu ilhali bado ni mwenyekiti wa Tanzania Labour. Sia aondoke TLP rusi sisiemu kama akina Danhi Makanga tujue moja?
mzee anaomba nafasi kiutuuzima mkuu
 

Ben umesoma vizuri maelezo ya mrema? mrema amesema something which is very important

1. Kwa kiongozi makini wa mhimili kama Bunge alitakiwa kuwa tayari kujiuzulu kuliko kuufunga mjadala huo bila kufikiwa tamati
2. angekuwa na mapenzi ya kweli kwa umma angekubali mbele ya Bunge kung’atuka kwa kuwa hajaridhishwa na uamuzi wa serikali.

Hizi point hapo mbili juu.. MREMA AMESEMA GOOD POINTS.. SITTA ANGEKUWA NA MAPENZI YA KWELI NA WATANZANIA (UMMA) Angewaambia baraza la wabunge CCM na CCM yote .. Jamaani mimi siwezi kuzima mjadala huu kwasababu hii ni kulinda mafisadi..

3. Sasa kauli zake zinachochea wanaharakati kuandamana.
“…Mwendo huu wa spika ukiendelea utahatarisha amani ya nchi. Ni jambo baya kabisa hasa wakati huu tunaoelekea kwenye uchaguzi mkuu,”

Mrema wameeleza black and white Sitta kusema kwamba alitishiwa kunyanganywa card ya CCM kwasababu alikuwa anapigania haki zetu wananchi ni unafiki.. ni kama vile kusema.. OHHH WALINISHIKIA BUNDUKI KUSEMA MJADALA WA RICHMOND UMEFUNGWA.. what the point to pretend you are really mpiganaji but you not..

na hicho ndicho mrema alichokisema katika maneno yake.. si kingine.. SITTA had a change to show us kwamba akubaliani na CCM na Serikali kuvunja mjadala wa Richmond kwasababu it favour mafisadi but he WAS COWERED.. and SELFISH KUFIKIRIA TUMBO LAKE, MSHAHARA, NYUMBA YA USPIKA AND POSHO....
 
Alitishiwa nyau, kwamba iwapo mjadala usingeisha kwenye kikao kile cha bunge basi na uanachama wa sisiemu ananyang'anywa! Hii ina maana kwamba na ubunge na uspika ndo ungeishia pale.
Ungekuwa ni wewe je ungekubali hilo?

IDIMI,

i love your answer... alitishiwa nyau.. lol... so sitta akabow better being a speaker kwa chama cha ufisadi kuliko kutetea watanzania...
 
Hayo yana tofauti gani na aliyokua anayafanya enzi zake ktk harakati za kisiasa?
 
Ndani ya CCM kondooo na chui wanaishi zizi moja. wataka mabadiliko wote unafuu tunaotaka ni kubomoka kwa hili zizi

hatutakiwi kujali atayesababisha kuvurugikoa kwa CCM kama ni
msafi au mcafu kasi gani,
atoke ndani au nje ya CCM.
Awe na uzalendo wa kweli au awe na ajenda binafsi
Awe JK ,6, dr slaa, RA, kikwete Zitto, Mwanakijiji, Mimi,wewe , etc

Tuunge mkono chochote kile kitakochopelekea hili zizi kubomoka
 
Hayo yana tofauti gani na aliyokua anayafanya enzi zake ktk harakati za kisiasa?

I guess ulikuwa unareply my answer... inatofautiana na aliyokuwa anafanya enzi zake kwa sababu mrema hakuwa mnafiki... alikuwa asipopenda kitu anaweka wazi na kama hamna upatanisho.. anawalk away..

Sasa sitta kwanini hajafanya hivyo? kwasababu anaogopa kuitwa amefulia kama akiupoteza uspika? is it morally wrong to loose all for the right cause and make a better change? if that is the case then he shouldnt bother to say yeye ni mpiganaji etc.. mrema at least was honest to himself and did what was right at that time though he had to Sacrifice and loose uwaziri etc..... tell me what has Sitta Sacrifice and lost kwa kututetea mimi na wee?
 

Mzee mbona kila kitu Mrema alisema Mrema alisema amekuwa reference yako au ni kitabu kitakatifu chako kuwa hakipingwi jaribu kuja na reference zingine
 
Now you are talking
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…