Mama akataa zawadi ya gari kutoka kwa mwanawe, adai 'hili ni Jeneza', amshutumu kwa Freemason

Ila hili gari sio jipya ni mtumba na thamani yake haizidi 20M
 
sasa huyo jamaa, si ndio michongo yake ya kujifanya freemason then anawapiga watu huko tik tok, anazipa hela media zinapiga promo miyeyusho yake. sijui na mimi nifanye haya maigizo wabongo ni wehu, wanajiunga kwa kulipia ma group yake
 
Huyu sijawahi msikiaa .....huko mjini ni nani??
 
Hii january hii...
😞😞
 
Sasa mama kama anaona mtoto wake Hana vyanzo vya kueleweka vya kupata huo utajiri apokee tu?hapa ndipo wazazi wengi walipofeli kwenye malezi ya vijana wao.
 
Hii nchi kumbe kubwa sana, hv kumbe huyu naye ni msanii?
 
Wale wapuuzi walioanza kuisema vibaya Freemason miaka ya 90's na 2000 mwanzoni wameharibu sana watu
nasikitika kusema wale masheikh uchwara kutoka kenya wameharibu mbongo za watu vibaya sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…