Mama anataka watu wazima wasio na watoto wakataliwe kuingia Disney Land

Mama anataka watu wazima wasio na watoto wakataliwe kuingia Disney Land

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1626908274024.jpeg

Mama huyu ametoa malalamiko yake kuwa watu wazima wanasababish foleni kuwa ndefu. Waruhusiwe tu wenye watoto na wazazi au walezi wao.

Ameendelea kusema watoto wanaposikia njaa foleni za kununua chakula ni ndefu na wengi wao ni watu wazima wasio na watoto. Kuna mtoto wa miaka mitatu alikua wana njaa na alilia sana alipomuona bibi wa makamo ameshikilia pretzel 🥨 akitoka kuinunua.

Disney World wamemjibu mama huyu kuwa wakubwa ni watoto waliokua na wana uhuru wa kwenda Disney kama wengine wote.
 
Hahahahaha pale mahali bomba sana Mkuu.
Hata mimi ni mtu mzima lakini suala la kunyonya maziwa hunielezi kitu... hata sisi watu wazima tuna haki ya kunyonya.. zamani hata sie tulikuwa watoto... huyu mama vipi anaudhi.
 
Hiyo Disney land utafikiri ndio mbinguni hadi kufikia watu kuwekeana kauzimbe. Dah!
 
Kwani hiyo Disney land ndo nini, mana wengine tunaishi mwisho wa upepo huku redio kwa mjumbe
 
Back
Top Bottom