SI KWELI Mama anayenyonyesha akifanya mapenzi anaweza kumdhoofisha (kumbemenda) mtoto

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Hii dhana ya kubemenda haipo. Wengi wa watoto wanaosemwa kubemendwa ni ukosefu wa lishe. Na wengi wa watoto hao wanatokea kwenye familia zenye kipato kidogo au maskini kabisa...

Pia Hospitali ya Muhimbili kulikuwa kunakitengo kinaitwa Makuti kina Mama wenye watoto wenye utapiamlo walikuwa wanalazwa pale na watoto wao na kufundishwa jinsi ya kupika chakula bora!
 
Tafuta mwanamke anae nyonyesha afu fanya nae mapenzi au mkeo akijifungua mtue tena mimba ili uone ulimwengu wa maajabu
 
Ni kweli hata baba
 
Nimejifunza pakubwa sana
 
Je, kwa hawa mama wa kisasa wanaonyonye nyume na kumeza mbegu za kiume haina madhara kwa mtoto?
 
Kuna ukweli mwingi kwenye hili.. Mtoto ni zao la baba na mama na Hicho huwa tegemezi kwa asilimia 100 toka kwa wawili hawa kimwili na kiroho pia
Viwango vya utegemezi hupungua kadiri anavyokua mpaka kuja kujitegemea mwenyewe kwa mambo mengi

Kwahiyo katika umri huo wa utegemezi mkubwa hasa akiwa hajaanza kutembea ni muhimu sana kumlinda kimwili na kiroho
Kiroho ukiachana na haya mengine ya kiimani kuna hili la mtoto kuathirika kama mzazi akichepuka kwakuwa mtu anapochepuka hutengeneza bond na huyo anayechepuka naye na kubeba joto/nishati yake anbapo mzazi asipojitakasa kabla ya kumbeba mtoto lazima aathirike kutokana na joto jipya mwilini mwa mzazi wake

Kina mama waliofunzwa haya mambo huwa hawaruhusu baba ambebe mtoto akitoka alikotoka bila kwanza kumwandalia maji ya kuoga na kubadili nguo.. Lakini pia kina mama hufanya hivyo kama wakichepuka wakati wanalea ana wakifanya na waume zao, japo hili athari zake ni ndogo

Waswahili huita kubemenda mtoto, yaani mtoto anashindwa kusimama na kutembea, afya inadorora na kuumwa mara kwa mara.. Hii hutokea sana kama mzazi asipozingatia usafi na halafu joto la anakochepukia likawa lina nguvu zaidi kuliko la mwenzake home

Kingine ni wasaidizi wa nyumbani nao wakifanya ngono na kuwabeba watoto bila kuoga watoto wanadhurika japo si wazazi wao kwakuwa tayari wanakuwa pia wameshatengeneza bond

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Acha kuchepuka, however hayo ni mawazo ya hovyo
 
Labda mama ila baba hamna aisee ili mradi ukimaliza mambo yako huko oga vizuri maana maranyingi huwa tunawabeba tukiwa bado na nguo. Mama anamnyonyesha mtoto na kulala naye wamegusana ili apate joto hio jdo huwa ni athari naye akishaachisha tu huwa wanarudianana nanwanaume wao
 


Andiko lako linashawishi, naona hoja.
 
Mshana jr
Upo Sahihi japo ni ngumu kuthibitisha kwasababu sayansi ya kiimani inahitaji jicho la tatu kuthibitisha jambo ambalo ni gumu kwa kuwa hilo jicho la tatu lenyewe huwezi kulithibitisha, lakini kuna ukweli nadhani 70% katika unachosema , mfano ni pale unaposema mke na mume ni mwili mmoja je ni kweli au sikweli inahitaji jicho la tatu kulitambua hilo, yapo mambo mengi ya mfano huo
 
Hapana mke wa mume sio mwili mmoja bali ni makutano ya wawili wanaotengeneza mwili mmoja kiroho..!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jafo,"Wakuu wa mikoa msiwabemende Wakuu wenu wa wilaya".

Mambo ya imani hayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…