SI KWELI Mama anayenyonyesha akifanya mapenzi anaweza kumdhoofisha (kumbemenda) mtoto

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Siyo kweli. Anayekuambia hiyo ni kweli muulize kama ana watoto, muulize kama alikua ana uwezo wa kuafford lishe (siyo unga wa lishe, namaanisha chakula bora) kwa mtoto na matibabu na kama alikua anaweza afford lishe, mtoto tangu anazaliwa alikua hagomi kula?

Stori za kubemenda zipo uswahilini tu. Hilo neno ukienda kulitamka baadhi ya maeneo wanaomba uwafafanulie.
 
Huko geti kali watoto wanafungiwa ndio maana huwezi kuzisikia lakini jaribu kufika hospital kubwakubwa kuna watoto wanapelekwa kule unaona kabisa huyu keshabemendwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hakuna Kitu kama hicho.

Ishu hapo ni uchafu ambao Watoto wadogo hawatakiwi kuwa contaminated nao.

Mavazi, nguo za kulalia, ngozi ya yeyote atakayembeba mtoto ikiwa na uchafu basi Mtoto anaweza kuumwa.

Ndio maana inashauriwa Baba ukitoka kazini upitie bafuni uoge vizuri ndipo ukambebe mtoto kutokana na Mchana mzima umekutana na kugusana na vitu vingi ambavyo vinaweza kuwa na uchafu uliobeba bacteria, virus n.k
 
Huko geti kali watoto wanafungiwa ndio maana huwezi kuzisikia lakini jaribu kufika hospital kubwakubwa kuna watoto wanapelekwa kule unaona kabisa huyu keshabemendwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Nina watoto mkuu

Hata hospitali hiyo nadharia ya kubemendwa walicheka nilipouliza kisha nikaambiwa ok tuonyeshe connection ya afya ya mtoto kuzorota na babs au mama kutoka nje au wao kujamiiana.

Nikajibu mi ndiyo nawauliza nyinyi mnionyeshe connection wakajibu sisi hatujui ndiyo tunaomba wewe utuonyeshe
 
Sidhani kama hospital wanajua kila kitu.. Maana wana limitations kubwa sana kwenye ufahamu wa haya mambo ndio maana huwezi kutibiwa bila vipimo..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa itakuwaje kwa wale watoto wanaobebwabebwa na watu tofautitofauti?
 
Kumbuka Kila mwanamke unayetembea naye Kuna mawili.
Wengine Wana mapepo Yao yanaweza kuingilia familia yako.
Wengine wanaweza kukufunga na familia yako Ili umuone Bora hata kumchezea mtoto wako
 
Nimekuelew saan jamaa kwa ufafanuzi mzuri na makini 👊
 
Huu upumbavu sijui waliambbiwa na nani sijui
 
Wasalam mabibi na mababu...

Kwanza yote kwa yote nashukuru Mungu wife kanizalia Katoto, mana miongoni mwa factor za kuonyesha urijali ni kupata katoto.

Sasa mara baada ya 40 kuisha nkasema nifate familia niirejeshe Nyumbani lkn wazee, vijana, marafiki wa kila Rika Wamekuwa wakisema usije ukambemenda mtoto, usije ukamuaribu, ingawaj najua hlo kwa Muda tu kuwa ata mkifanya mapenz bas msimshike mtt mpk muoge.

Sasa kichwa changu kinawaza sana yaani kuna uhusiano gani wa kustareheka na mkeo na kumbemenda mtoto?

Iweje kumshika mtoto kulete madhara ya ukuaji wa mtoto?? Yani kuna uhusiano gani wa kimwili na kiroho starehe imdhuru mtoto!!

Nataman kupata faida kwa kiundani sana.
 
Wahenga wazingatiwe,, wanaonaga vitu ambavyo havina majibu kisayansi. Lakini unakuta vina ukweli
 
Hili swala bana sijui huwa lina ukweli au uongo yaani hata halieleweki huko mtaani ila ukija kitaalamu kiafya ni kama halina ukweli ni pale tu mama akiwa busy na mchepuko au vijana afu hazingatii kunyonyesha mtoto basi atadhoofu kiafya sabu hapewi lishe yake kwa usahihi na hajaliwi na mamake hapo lazima wahega waseme mtoto kabemendwa...!!

Ila ukija ki maadili haijakaa sawa mwanamke wako awe na mtoto wako afu eti aende kua anapigwa mpini huko na wajuba afu anakuja kushika mtoto wako bila kuoga huku ana janaba au amnyonyeshe mtoto manyonyo yametoka kushikwa shikwa huko na wahuni, hapo lazima azingue kwa mtoto...
 
Ni kulinda afya ya mtoto, yaani mgegedane na lile jasho + shahawa na mtoto nae aje alale hapo na kumbebabeba na mikono yenu iliyogusanishiana mpaka nnya.

Jiongeze.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…