Mama asisumbuliwe kwenye suala la bandari. Marais waliopita waliuza krb kila kitu, yeye kaaamua kumalizia kilichobakia

Mama asisumbuliwe kwenye suala la bandari. Marais waliopita waliuza krb kila kitu, yeye kaaamua kumalizia kilichobakia

Tuseme tu ukweli.

Nyerere aliwanyanganya kila kitu Wageni. Alipoondoka tu. Mwinyi akauza migodi iliyokuwa ikifanya kazi akaanza na mwadui. Polisi kibao wakaondolewa uko.

Mkapa akaja akagawa migodi yote adi ya wachimbaji wadogo. Buzwagi, geita na bulyankuru na yeye akajipati wa kwake kiwira.

Jk alipokuja akakuta kila rasilimali imeuzwa. Akawatisha kidogo wazungu waongeze mrahaba. Wakaongeza asilimia 2 tu kutoka 3 Hadi 5. Akaona hapati kitu bana akamnyanganya mkapa ka mgodi kake. Alipoona hakuna maokoto akafikilia wee akageukia gesi ya mtwala akatulia.

Magufuli alipokuja Nayeye akawatisha wazungu wakagoma kumuongezea mrahaba. Sasa hekima akaona havitakiwi. Akaanza kuwanyanganya tu walivyopewa na watangulizi wake. Katuachia kesi kibao hahahaha.

Mama alipokuja akaangalia kila kitu kishauzwa. Na akiwapora atafunguliwa mashitaka. Daaah akachungulia fursa tu. Na yeye Mambo yaende. Ndio akamalizia ka bandari Sasa.

Nampongeza kwa ubunifu. Hajagusa vilivyouzwa na wenzake. Katafuta ka kwake na yeeye kagawa. Kwanza wakasaini ndio akawaita wabunge kuwaambia. Kaona ka bandari kamoja hakatoshi watu walishauza kila kitu. Nazani amalizie na viwanja vya ndege kabisa.

CHADEMA wasitusumbue wenyewe wakichukua nchi vipo vya kumalizia kabisa. Watauza Sgr itakuwa Bei nzuri, Tanesco na bwawa la mwalimu nyerere na hata bahari ikiwezekana.

Au watauza ata kisiwa au rasi Kama kigamboni. Ivyo wasiwe na wasiwasi.
😂😂😂😂 bora umeongea ukweli, kila mtu ataangalia maslai yake.
 
Tuseme tu ukweli.

Nyerere aliwanyanganya kila kitu Wageni. Alipoondoka tu. Mwinyi akauza migodi iliyokuwa ikifanya kazi akaanza na mwadui. Polisi kibao wakaondolewa uko.

Mkapa akaja akagawa migodi yote adi ya wachimbaji wadogo. Buzwagi, geita na bulyankuru na yeye akajipati wa kwake kiwira.

Jk alipokuja akakuta kila rasilimali imeuzwa. Akawatisha kidogo wazungu waongeze mrahaba. Wakaongeza asilimia 2 tu kutoka 3 Hadi 5. Akaona hapati kitu bana akamnyanganya mkapa ka mgodi kake. Alipoona hakuna maokoto akafikilia wee akageukia gesi ya mtwala akatulia.

Magufuli alipokuja Nayeye akawatisha wazungu wakagoma kumuongezea mrahaba. Sasa hekima akaona havitakiwi. Akaanza kuwanyanganya tu walivyopewa na watangulizi wake. Katuachia kesi kibao hahahaha.

Mama alipokuja akaangalia kila kitu kishauzwa. Na akiwapora atafunguliwa mashitaka. Daaah akachungulia fursa tu. Na yeye Mambo yaende. Ndio akamalizia ka bandari Sasa.

Nampongeza kwa ubunifu. Hajagusa vilivyouzwa na wenzake. Katafuta ka kwake na yeeye kagawa. Kwanza wakasaini ndio akawaita wabunge kuwaambia. Kaona ka bandari kamoja hakatoshi watu walishauza kila kitu. Nazani amalizie na viwanja vya ndege kabisa.

CHADEMA wasitusumbue wenyewe wakichukua nchi vipo vya kumalizia kabisa. Watauza Sgr itakuwa Bei nzuri, Tanesco na bwawa la mwalimu nyerere na hata bahari ikiwezekana.

Au watauza ata kisiwa au rasi Kama kigamboni. Ivyo wasiwe na wasiwasi.
So wewe unabariki Viongozi wa Africa kuuza rasilimali za nchi kwa wageni?
 
Huwezi ukalinganisha suala la Loliondo na hili la bandari. Ni vitu tofauti kabisa.

Bandari kumefanyika uwekezaji unaokwenda kufutilia mbali wapigaji na kilio kinachosikika na ule ukweli kuwa umeshazifikia akili zao kwamba hakuna tena pesa za kukinga tu pale TPA ziwe ndani ya kila mwezi zimeshaingia kwenye akaunti.

Nchi kwa ujumla imejiongeza sana kiuchumi kwa kufungua reli ya kisasa, viwanja vya ndege kila mahali na bandari inayoendeshwa kisasa.

Suala la bandari liangaliwe kwa jicho chanya na sio kwa hoja hasi za kishabiki ndio mantiki yake inaweza kueleweka.
Unaambiwa na wanaopinga hawapingi uwekezaji Bali taratibu za uwekezaji na namna Dp word alivyopatikana. Walitaka watangaze kutafuta mwekezaji. Kampuni zitume maombi ya wazi. Atakeshinda ndio apewe na mikataba iwe wazi.
Lkn ulizia Nani aliyepita aliyebinafsisha kwa uwazi?

Hakuna. Kama Ni kuiba aibe tu maana tunaaminishwa kila anayefanya kwa Siri Ni mwizi. Na bandari za Zanzibar kamwachia mwinyi Nayeye apige mahesabu yake
 
Unaambiwa na wanaopinga hawapingi uwekezaji Bali taratibu za uwekezaji na namna Dp word alivyopatikana. Walitaka watangaze kutafuta mwekezaji. Kampuni zitume maombi ya wazi. Atakeshinda ndio apewe na mikataba iwe wazi.
Lkn ulizia Nani aliyepita aliyebinafsisha kwa uwazi?

Hakuna. Kama Ni kuiba aibe tu maana tunaaminishwa kila anayefanya kwa Siri Ni mwizi. Na bandari za Zanzibar kamwachia mwinyi Nayeye apige mahesabu yake
Taratibu zilifuatwa na wataalam wazalendo wa masuala ya usafiri wa maji walijiridhisha moja kwa moja juu ya ukubwa na uzoefu mpana wa kampuni ya DP World hawakukurupuka tu kufikia muafaka.

Pia kampuni hii inamiliki mizigo mingi kule Rwanda na DRC hivyo kuipitisha bandarini kwa njia ya SGR kutaongeza mapato maradufu. Uendeshaji wa bandari kisasa ni zaidi ya ushushaji na upakiaji wa makontena melini unajumuisha usafirishaji wa mzigo kutoka unapozalishwa, kuupakia melini na kuushusha huko unapopelekwa..
 
Tuseme tu ukweli.

Nyerere aliwanyanganya kila kitu Wageni. Alipoondoka tu. Mwinyi akauza migodi iliyokuwa ikifanya kazi akaanza na mwadui. Polisi kibao wakaondolewa uko.

Mkapa akaja akagawa migodi yote adi ya wachimbaji wadogo. Buzwagi, geita na bulyankuru na yeye akajipati wa kwake kiwira.

Jk alipokuja akakuta kila rasilimali imeuzwa. Akawatisha kidogo wazungu waongeze mrahaba. Wakaongeza asilimia 2 tu kutoka 3 Hadi 5. Akaona hapati kitu bana akamnyanganya mkapa ka mgodi kake. Alipoona hakuna maokoto akafikilia wee akageukia gesi ya mtwala akatulia.

Magufuli alipokuja Nayeye akawatisha wazungu wakagoma kumuongezea mrahaba. Sasa hekima akaona havitakiwi. Akaanza kuwanyanganya tu walivyopewa na watangulizi wake. Katuachia kesi kibao hahahaha.

Mama alipokuja akaangalia kila kitu kishauzwa. Na akiwapora atafunguliwa mashitaka. Daaah akachungulia fursa tu. Na yeye Mambo yaende. Ndio akamalizia ka bandari Sasa.

Nampongeza kwa ubunifu. Hajagusa vilivyouzwa na wenzake. Katafuta ka kwake na yeeye kagawa. Kwanza wakasaini ndio akawaita wabunge kuwaambia. Kaona ka bandari kamoja hakatoshi watu walishauza kila kitu. Nazani amalizie na viwanja vya ndege kabisa.

CHADEMA wasitusumbue wenyewe wakichukua nchi vipo vya kumalizia kabisa. Watauza Sgr itakuwa Bei nzuri, Tanesco na bwawa la mwalimu nyerere na hata bahari ikiwezekana.

Au watauza ata kisiwa au rasi Kama kigamboni. Ivyo wasiwe na wasiwasi.

So aachwe kisa marais wengine walifanya the same?
If hii ndio logic yako, taifa lina hasara
 
Tuseme tu ukweli.

Nyerere aliwanyanganya kila kitu Wageni. Alipoondoka tu. Mwinyi akauza migodi iliyokuwa ikifanya kazi akaanza na mwadui. Polisi kibao wakaondolewa uko.

Mkapa akaja akagawa migodi yote adi ya wachimbaji wadogo. Buzwagi, geita na bulyankuru na yeye akajipati wa kwake kiwira.

Jk alipokuja akakuta kila rasilimali imeuzwa. Akawatisha kidogo wazungu waongeze mrahaba. Wakaongeza asilimia 2 tu kutoka 3 Hadi 5. Akaona hapati kitu bana akamnyanganya mkapa ka mgodi kake. Alipoona hakuna maokoto akafikilia wee akageukia gesi ya mtwala akatulia.

Magufuli alipokuja Nayeye akawatisha wazungu wakagoma kumuongezea mrahaba. Sasa hekima akaona havitakiwi. Akaanza kuwanyanganya tu walivyopewa na watangulizi wake. Katuachia kesi kibao hahahaha.

Mama alipokuja akaangalia kila kitu kishauzwa. Na akiwapora atafunguliwa mashitaka. Daaah akachungulia fursa tu. Na yeye Mambo yaende. Ndio akamalizia ka bandari Sasa.

Nampongeza kwa ubunifu. Hajagusa vilivyouzwa na wenzake. Katafuta ka kwake na yeeye kagawa. Kwanza wakasaini ndio akawaita wabunge kuwaambia. Kaona ka bandari kamoja hakatoshi watu walishauza kila kitu. Nazani amalizie na viwanja vya ndege kabisa.

CHADEMA wasitusumbue wenyewe wakichukua nchi vipo vya kumalizia kabisa. Watauza Sgr itakuwa Bei nzuri, Tanesco na bwawa la mwalimu nyerere na hata bahari ikiwezekana.

Au watauza ata kisiwa au rasi Kama kigamboni. Ivyo wasiwe na wasiwasi.
KWA HIYO KAUZA?
 
Taratibu zilifuatwa na wataalam wazalendo wa masuala ya usafiri wa maji walijiridhisha moja kwa moja juu ya ukubwa na uzoefu mpana wa kampuni ya DP World hawakukurupuka tu kufikia muafaka.

Pia kampuni hii inamiliki mizigo mingi kule Rwanda na DRC hivyo kuipitisha bandarini kwa njia ya SGR kutaongeza mapato maradufu. Uendeshaji wa bandari kisasa ni zaidi ya ushushaji na upakiaji wa makontena melini unajumuisha usafirishaji wa mzigo kutoka unapozalishwa, kuupakia melini na kuushusha huko unapopelekwa..
Swala sio Dp kuwa dunia nzima. Hii kampuni Ni waingereza iliyofunguliwa na wanatumia kila njia kumiliki bandari zote duniani. Hasa mashariki
 
Tuseme tu ukweli.

Nyerere aliwanyanganya kila kitu Wageni. Alipoondoka tu. Mwinyi akauza migodi iliyokuwa ikifanya kazi akaanza na mwadui. Polisi kibao wakaondolewa uko.

Mkapa akaja akagawa migodi yote adi ya wachimbaji wadogo. Buzwagi, geita na bulyankuru na yeye akajipati wa kwake kiwira.

Jk alipokuja akakuta kila rasilimali imeuzwa. Akawatisha kidogo wazungu waongeze mrahaba. Wakaongeza asilimia 2 tu kutoka 3 Hadi 5. Akaona hapati kitu bana akamnyanganya mkapa ka mgodi kake. Alipoona hakuna maokoto akafikilia wee akageukia gesi ya mtwala akatulia.

Magufuli alipokuja Nayeye akawatisha wazungu wakagoma kumuongezea mrahaba. Sasa hekima akaona havitakiwi. Akaanza kuwanyanganya tu walivyopewa na watangulizi wake. Katuachia kesi kibao hahahaha.

Mama alipokuja akaangalia kila kitu kishauzwa. Na akiwapora atafunguliwa mashitaka. Daaah akachungulia fursa tu. Na yeye Mambo yaende. Ndio akamalizia ka bandari Sasa.

Nampongeza kwa ubunifu. Hajagusa vilivyouzwa na wenzake. Katafuta ka kwake na yeeye kagawa. Kwanza wakasaini ndio akawaita wabunge kuwaambia. Kaona ka bandari kamoja hakatoshi watu walishauza kila kitu. Nazani amalizie na viwanja vya ndege kabisa.

CHADEMA wasitusumbue wenyewe wakichukua nchi vipo vya kumalizia kabisa. Watauza Sgr itakuwa Bei nzuri, Tanesco na bwawa la mwalimu nyerere na hata bahari ikiwezekana.

Au watauza ata kisiwa au rasi Kama kigamboni. Ivyo wasiwe na wasiwasi.
Sio kweli hao wazungu. Wameangalia aina ya serikali ndo maan wameamua kufungua makase maana kila anayefungua analipwa ,hizo kes hazikuws hivyo magu alihakikisha ukipewa kitalu unakiendelez sio unakishikilia tuuu hapo
 
Swala sio Dp kuwa dunia nzima. Hii kampuni Ni waingereza iliyofunguliwa na wanatumia kila njia kumiliki bandari zote duniani. Hasa mashariki
Huwezi kukwepa ubepari katika karne hii, cha muhimu ni kuangalia kipi kinachopatikana huko TRA na urahisishaji mzima wa ushushaji na upakiaji wa makasha pale TPA.
 
Back
Top Bottom