Mama atumia picha ya binti yake kuwasiliana na wanaume mtandaoni

.....Brian alichukua bunduki yake na kwenda kwa rafiki yake. Akamdanganya na kwenda naye kwenye parking ya Magari kisha rafiki yake akiwa amempa mgongo akamlamba shaba ya utosini na kummaliza pale pale....

Mkuu hapo kwenye kumbutua utosini ndipo nilipostuka kwamba inawezekana ulitafsiri vibaya au ndo zile punch newz...
 
Mi nilishawahi kutongoza dem fb kumbe ni mwanaume anatumia picha ya Dem, ila nilishtuka badae maana mwanaume ni mwanaume tu ukimletea mada za kumgonga lazma abadilishe mada[emoji23]
Badae wadau walikuja kumpata mmiliki halali wa zile picha na akasema haitambui ile accnt
 
Mkuu hapo kwenye kumbutua utosini ndipo nilipostuka kwamba inawezekana ulitafsiri vibaya au ndo zile punch newz...
Nimeandika vibaya alimshoot toke nyuma risasi ikaingia kwenye kichwani tokea nyuma.
 
alitaka akupge pesa
 
Hujui kutongoza wewe.

Unamtafta na ukimpata mnamalizana naye kibingwa
 
alitaka akupge pesa
Alikua anajidai mtoto wa kishua ase yule manzi alikua ni mkal akawa anajiita iren, akawa anatangaza products zake muda mwngne na alikua akipost ndani ya dakika nne tu alipata cmnt karibu 50 na likes 100+, yani Kwanza ukimchek tu unasema huyu mimi siwez kumpata kwahiyo aliiniingizq kwenye mtego wa kunipiga hela tena hela ndefu kutokana na hadhi yake, bahat nzur wadau wakagundua ukweli kuwa ni kidume
ila na mimi nilisha Anza kuhisi hatari kabla
 
Hahaha yani mimi mpaka mtu anipige ela kwa njia hiyo sijui awe amefanyaje yani... uwa nina machale makali sana, na uwa nafanya reverse photo searching,
 
Hahaha yani mimi mpaka mtu anipige ela kwa njia hiyo sijui awe amefanyaje yani... uwa nina machale makali sana, na uwa nafanya reverse photo searching,
Mkuu ukichat na mwanaume anae jidai Dem kuna maneno flan hiv akiyatumia ni lazma tu uhisi yani lazma machale yakucheze kuwa huyu siyo manzi labda uwe boya
 
Mkuu ukichat na mwanaume anae jidai Dem kuna maneno flan hiv akiyatumia ni lazma tu uhisi yani lazma machale yakucheze kuwa huyu siyo manzi labda uwe boya
Kwanza madem wote warembo uwa wanaringa sana ukiona demu mrembo easy go jua kuna mashaka, halafu connection ya marafiki zake lazima awepo watu wanaomfahau na wameandika kama wanamfaham, mfano kama ni fb utakuta comment za madem wenzake wakimkubusha juu labda ya urafiki, shule good times, au wanamuulzia kitu
 
Bongo ipo sana tuu... usitume nauli..
 
Hahaha yani mimi mpaka mtu anipige ela kwa njia hiyo sijui awe amefanyaje yani... uwa nina machale makali sana, na uwa nafanya reverse photo searching,
Kila tapeli ana mnyonge wake ipo siku usiyoijua utakutana na konki master utapigwa tu.
 
Kila tapeli ana mnyonge wake ipo siku usiyoijua utakutana na konki master utapigwa tu.
Kwingine labda ila mtandaoni I doubt that... Kila kitu ambacho ni too good uwa kinanipa mashaka lazima nifanye background research bila mhusika mwenyewe kujua
 
Kwingine labda ila mtandaoni I doubt that... Kila kitu ambacho ni too good uwa kinanipa mashaka lazima nifanye background research bila mhusika mwenyewe kujua
Hongera kwa kuwa makini, ila kumbuka kila tapeli ana mnyonge wake
 
So kwakifupi alikuwa CATFISHED....
 
Ndio maana nakwambiaga watu wananionea sana humu,yani mara nyingi naonekana mimi tu
Samahani kama ntakukwaza ila hujaona mijipicha yoote kwa internet ukaona uchukue hiyo beautiful face uji impersonate nayo. Huu ni ulimbukeni. Yaani unajua kabisa wanaume wa humu jf wata make a move. Yaani sometime kuna vitu vinashangaza mpk vinakera.
Mwisho kabisa narudia tena. Samahani Sana km nimekukwaza numeongea tu ya moyoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…