Mama BIG kiboko ya wanawake mavuvuzela

We Bigirita na kitambi chako si utaomba maji katikati ya shuguli wenzio wanaofika hupewa juithi na ndizi matunda kurudisha afya na maandalizi ya bao jingine

Huyu mfadhili masharti yake bana eti kisa mtu kasindikizwa uwanja wa ndege na pia kasikia mtu jumatano anaenda kupokewa ndio wanataka kunifanyia zengwe kwenye chama
 
Ivi unategemea mwanaume atamwambia nungaembe eti huwa anamwita mkewe pia honey?

Ungekua japo na kauelewa kama kaharadani,usingekuja kujipigia mayowe.

Siku utakapokuja kuitwa BOSI na Machinga, kwa akili yako utakuja kuanzisha thredi mpya apa.

Mbona pilipili yakuwasha nawe hupo shamba...au kwa kuwa wewe upo kwa ndoa na huitwi majina hayo pole babu...nungaembe ni maneno ya watapa maji...ulichoambulia wewe nipete...huna muda hata wa kuosha hiyo kitu yako kutwa wakimbizana na kazi watoto na housigeli kitandani umechoka sana ukimpa kifo cha mende...ntakurekodia umwone mumeo anavyopewa vitu vya ukweli na mama Kubwa ndo utanishikia adabu
 
ha ha ha ha ha!...............
kama kawaidaaaaaaaa......!

nakufowadia meseji ya vitisho kutoka kwa roya sasa hivi....!
naelekea polisi kuchukua rb
NIMETISHIWA KIFO
 

:tape::tape::tape::tape::tape::tape:
 
Huyu mfadhili masharti yake bana eti kisa mtu kasindikizwa uwanja wa ndege na pia kasikia mtu jumatano anaenda kupokewa ndio wanataka kunifanyia zengwe kwenye chama

Chama kitu gani darling we njoo tu wajua unachokipata tatizo lao wamezoea kupuliziwa mavuvuzela na wake zao
 
ha ha ha ha ha!...............
kama kawaidaaaaaaaa......!

nakufowadia meseji ya vitisho kutoka kwa roya sasa hivi....!
naelekea polisi kuchukua rb
NIMETISHIWA KIFO

Tatizo la digi digi ni uoga....hata tawi la mti linamtisha....
 
Athipilini...achipilini...aciplini anakazi uvinza kwa mjukuu wake
Ah Mama Big......ina maana huko Ntwara ulienda na Babu yangu? Haya huyo mjukuu wa Uvinza ndo yupi?

babuuuuu uje ujibu shtaka maswala ya kunifanya niamini niko peke yangu kumbe una wajukuu wengine mi ctaki
 
:smile::smile::smile:
 
Ah Mama Big......ina maana huko Ntwara ulienda na Babu yangu? Haya huyo mjukuu wa Uvinza ndo yupi?

babuuuuu uje ujibu shtaka maswala ya kunifanya niamini niko peke yangu kumbe una wajukuu wengine mi ctaki

Nafanya negotiation na babuyo....then will come back to ya!
 

Wewe cku ukinipa nitakuita majina yote unayotaka,,sitakua nachakupoteza wakati huo.
Haitatokea hata siku moja mimi niko na mke wangu afu wewe uje utufumanie.Ila wewe kufumaniwa kuko nje nje na kupewa kipondo cha nyau mwizi.
 
Ah Mama Big......ina maana huko Ntwara ulienda na Babu yangu? Haya huyo mjukuu wa Uvinza ndo yupi?

babuuuuu uje ujibu shtaka maswala ya kunifanya niamini niko peke yangu kumbe una wajukuu wengine mi ctaki

Huyu babu anataka kujifanya kuwa yeye ni NEW EDITION na tatizo ndio linaanzia hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…