Mama Dangote amtolea Uvivu Hamisa Mobetto

Baba zenu wangetafuta pesa msingekua mnajidhalilisha kwa wanaume maskin wakubwa nyie

Kwahiyo Binamu umenitukana mimi au ni aliyetoa mimba tatu za diamond tena analazimishwa kuzitoa maana diamond alikua royal kwa zari au unamtukana nani hasa
 
Unaumwa wewe unafikiri kisa wewe ukisikia habari za diamond mbaya unapanik ndio kila mtu. Nimekuambia YOU ARE OBSESSED WITH ZARI.
Nimekuwa obsessed na Zari kivip? Ukisoma Uzi wa mtoa unaona kabisa ana hasira na Hamisa mobetto kisa tu Hamisa alicheat na Diamond
 
Hahaha kama hamisa alivyoshauriwa na mange kamkuta hamisa mpole tu

Na amuombe Mungu tu ampe maisha marefu diamond, aone mfano wa mama kanumba tu na kanumba.

kweli kabisa
 
Lazima aseme mtajuaje kama anakizazi na kinatoa majibu? Wengine hata moja yakusingiziwa hawajapata hivyo anawarusha wenzie
 
mbona wao hawatuigi sisi?ulishawahi kusikia nigeria kuna mtu anajiita mwamakula,mkude,bakhresa,mengi,mo dewji,kinjeketile,urio,sanga,ngonyani?
Majina hayo huko kwa wenzetu wanashindwa kuyatamka ndiyo maana hawayatumii
 
Huyu mama huyu mtu gani ana vinyongo haviishi jamani

Haya nilisema tusiokuwa na team tujisomee comments tu kwa wenye team zao

Haya sasa yametimia
Kweli wengine tusome tu na kupita [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa tuliokula chumvi kiasi tunamuona mama domo hamnazo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…