Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Vyote
Mi nishawah mtandika mtu mkubwa kwenye ukoo wetu ana tabia kama za mama daimond
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vyote
Tumia tafsida acha matusi bana hili jukwaa huru toa hoja kistaarabu, mbona mwataka kuharibu Uzi kah, moderator wa sikuhizi wako likizo naonaHahaha kwanini?,nafanya utafiti iwapo mtu anayawapaka wenzie kinyesi na yeye akipakwa kinyesi anachukia au vipi,nimepata jibu kuna sehemu si unaona kaniita mbwa.Ni mpumbavu sana huyu anaona yeye ndio anastahili kuwapaka wenzake mavi huku yeye akiwa hataki kupakwa uharo.Kwanini mtu amchukie mwenzake kiasi kile.
Hamisa naye Hasikii hivi bila hyo familia hawezi ishi, huyo mama alinchukia mobeto baada ya kumuitia shilawadu, mbaya zaidi diamond naye anamuimbia vijembe, ajifunze kwa tanasha na zari. Mimi simlaumu mama dangote kabisaInawezekana hamisa alimkosea yule mama kitu ambacho yule mama hajakisahau bado. Kwanini amchukie kiasi hicho. Cha muhimu afuate ushauri wako sio lazima kung'ang'ana na hiyo familia. Aache uruba
@Moderator why mnaacha wavuta bangi hawa wanatukana ovyo..Sasa unafuata nini kwa mtu asiye na akili , hiv inajielewa kweli mbwa wewe kasoro mkia, una laana ya mama ako mbwa wewe
hivi wewe ni me au keKama wote Ni wadangaji kwanini wasifananishwe
Kasamehe hako kadada jamani uwiii mweee, wakati mwingine ni malezi na makuzi yake!Yan anajishalilisha mno, ako cheap kama chupi ya mchawi
Ndiyo sasa wewe mwingine kutamkahao ni wamakonde sasa
Ndugu wee ile familia hapana ila wanawake nao labda ndiyo kutafuta CV , kama mie huyo mabeto ningefanya mambo mengine lakini kila mtu na moyo wake.Mkuu naona umefurahi
Kwanini unaliza hivyo?hivi wewe ni me au ke
Hapana, mimi pia ananikera huyu binti sijui Dai alimpa nini yaani full kujikombaMtoa mada unaonesha una chuki binafsi na Hamisa mobetto
Ebwana ehKweli simfikii, kwetu sisi hatuna shida , nimesoma shule nzuri na Niko vzur tu kifedha, shida ni huyo maskin mwenzako kulilia sehem ambayo hapendwi, halafu Maskin mbwa nyie mnanuka shida kazi kuiba waume za watu na kuroga, akili hamna, kazi hamna mambo hayaend mjin mpaka mroge mabaradhul wakubwa nyie wajaalana msiokua na haya
DuhHuo uke wako umetumika sana umekuwa mpana kama wa ngamia kwa sababu hii utadangia nini
🤣🤣🤣🤣🤣Umekuja mbio kusoma thread ya tahira, kweli chizi hajijui
Khantwe Hata Kama anakosea ila sio kwa kumchukia hivyo sisi wote Ni binadamu Kuna maala tunapatia ila sometimes tunakosea so Hakuna haja ya kuchukiana kiasi hicho.Hapana, mimi pia ananikera huyu binti sijui Dai alimpa nini yaani full kujikomba
Umeona eenhKweli wengine tusome tu na kupita [emoji23][emoji23][emoji23]