Mama Dangote amtolea Uvivu Hamisa Mobetto

Mama Dangote amtolea Uvivu Hamisa Mobetto

Ila huyu chuchunge ni Sikio la kufa, kutwa kujidhalilisha kisa Diamond , huyu si aliambiwaga mchawi na familia Nzima? Kutwa kuwafuata fuata kitu gan wakat hawakutaki, hata domo mwenyew angekua anakutaka angekutambulisha as formal girlfriend sio mchepuko, li hamisa linakera Sijui aliyemrogaga nani, anaona maisha bila domo hayaendi.

Yani bila aibu linajiaibisha eti aliomba namba ya mama domo amtakie happy birthday, akamtumia message hakujibu, yan anataka tujue ye Ndo yuko karibu sana na Diamond .

Hakuna Mwanamke mwenye kihere here na mwanaume akaja kuolewa, mbona lulu kachumbiwa na anakaa na mchumba wake hanaga huu ushamba kama wako halafu wewe ni Mama sasa unatakiwa ukue, unavyomshobokea domo unadhan kuna mwanaume atakuja kukuoa, akili zako sio nzuri .

Toka nimemfahamu Lulu sijawahi kuona anajipendekeza kwa wanaume, and she has dated the most powerful n rich men kuliko hata huyo unayemgombania na hakutaki, msichana mzuri ila unajishusha thamani mxieew domo kama kwapa la bundi

View attachment 1601908

Sijui Hamisa anakwama wapi? Kuna vitu huwa havina maana kuviongea

Habari ya kutojibiwa msg na mama wa mzazi mwenzie na habari ya mimba3 kutoka zimemshushia sana heshma yake

Umri bado mdogo apambane na mambo yake aachane na familia za watu
 
Sijui Hamisa anakwama wapi? Kuna vitu huwa havina maana kuviongea

Habari ya kutojibiwa msg na mama wa mzazi mwenzie na habari ya mimba3 kutoka zimemshushia sana heshma yake

Umri bado mdogo apambane na mambo yake aachane na familia za watu

Kama angekua anajielewa should ongea kuhusu yeye na kazi zake tu,hayo mambo ya kutoa mimba sijui mara diamond kaenda kumchukua soo upuuzi yani,halafu at the same time she is befriending tanassha sasa mwenzie atajisikiaje, kama kaamua kuwa na urafiki na mke mwenzie aache tabia za kuzungumzia Diamond,sidhan kama tanasha anajisikia poa
 
Kama angekua anajielewa should ongea kuhusu yeye na kazi zake tu,hayo mambo ya kutoa mimba sijui mara diamond kaenda kumchukua soo upuuzi yani,halafu at the same time she is befriending tanassha sasa mwenzie atajisikiaje, kama kaamua kuwa na urafiki na mke mwenzie aache tabia za kuzungumzia Diamond,sidhan kama tanasha anajisikia poa

You can take the girl out of the village but you cant take the village out of the girl😁😁😁
 
Ila huyu chuchunge ni Sikio la kufa, kutwa kujidhalilisha kisa Diamond , huyu si aliambiwaga mchawi na familia Nzima? Kutwa kuwafuata fuata kitu gan wakat hawakutaki, hata domo mwenyew angekua anakutaka angekutambulisha as formal girlfriend sio mchepuko, li hamisa linakera Sijui aliyemrogaga nani, anaona maisha bila domo hayaendi.

Yani bila aibu linajiaibisha eti aliomba namba ya mama domo amtakie happy birthday, akamtumia message hakujibu, yan anataka tujue ye Ndo yuko karibu sana na Diamond .

Hakuna Mwanamke mwenye kihere here na mwanaume akaja kuolewa, mbona lulu kachumbiwa na anakaa na mchumba wake hanaga huu ushamba kama wako halafu wewe ni Mama sasa unatakiwa ukue, unavyomshobokea domo unadhan kuna mwanaume atakuja kukuoa, akili zako sio nzuri .

Toka nimemfahamu Lulu sijawahi kuona anajipendekeza kwa wanaume, and she has dated the most powerful n rich men kuliko hata huyo unayemgombania na hakutaki, msichana mzuri ila unajishusha thamani mxieew domo kama kwapa la bundi

View attachment 1601908
Uliyeandika hii thread wewe ni "ke" au "me"???
Kama ni "Ke" umepona!
Kama ni "Me" nikukute gerezani haraka sana ukiwa umeshapakatwa na mnyampala
 
Kama kamtolea uvivu ni jambo la kheri kwa Hamisa mbona huo uvivu aliokuwa nao ulikuwa unamrudisha nyuma, ukimuona Mama Dangote mwambie aje hapa anitolee uvivu mbona nataka kupiga kazi kweli kweli niwe kama Mjomba Shamte
 
Dangote ni brand name ya cemebt zaje toka mtwara.
Dangote cement.
Mamba ilikuwa brand name ya Kobe Bryant, je inamzuia mtu kujiita mamba.
Halafu Dangote ni jina kama Shabani au juma, mtu yoyote anaweza kulitumia isipokuwa kibiashara napo ni pale tu ambapo atakuwa kalisajili kimataifa au nchini kama brand name.
 
Mamba ilikuwa brand name ya Kobe Bryant, je inamzuia mtu kujiita mamba.
Halafu Dangote ni jina kama Shabani au juma, mtu yoyote anaweza kulitumia isipokuwa kibiashara napo ni pale tu ambapo atakuwa kalisajili kimataifa au nchini kama brand name.
Uko sahihi 100% so dangote ni brand name as u asked
 
Lin hyo , ban ya dakika moja?? , mwambie aendelee this time atapigwa ban Mwaka mzima kenge nyie
Mende alimpanda kunguni,ndio ukazaliwa wewe,kwa hiyo wewe ni halfcaste wa mende na kunguni,nipigwe ban mwaka mzima kwani JF ni ya ukoo wenu nyie mende na kungini
 
Mende alimpanda kunguni,ndio ukazaliwa wewe,kwa hiyo wewe ni halfcaste wa mende na kunguni,nipigwe ban mwaka mzima kwani JF ni ya ukoo wenu nyie mende na kungini

Babuu we bwana hakutak kaja kwangu hasira za nini ? Hujui kuosha K inanuka, bwana Niko nae nampa papa, pole weee shost, upo nyonyo
 
Mende alimpanda kunguni,ndio ukazaliwa wewe,kwa hiyo wewe ni halfcaste wa mende na kunguni,nipigwe ban mwaka mzima kwani JF ni ya ukoo wenu nyie mende na kungini
Haaaaa Haaaaa 😂 halooooo
 
Back
Top Bottom