evart
JF-Expert Member
- Sep 4, 2016
- 2,838
- 2,772
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakina Lokole lazima wampambe si wanaishi kwa fadhila zake.alafu eti ni mama mwenye ushawishi mkubwa hapa Tz [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Unajua alama = maana yake nini?= Tusidharauliane
Tatizo kubwa la Watanzania hawana "exposure" halafu wanadharau kazi.Unajua alama = maana yake nini?
Unajua alama ya = maana yake nini?Tatizo kubwa la Watanzania hawana "exposure" halafu wanadharau kazi.
Kazi ni kazi iwe "barmaid" au "waitress" au nyengine yoyote.
Tena ulienda Nje kazi kama hizo ndiyo "stepping stone" ya maisha wakati wa masomo.
Wasomi wengi, wetu waliosoma nje huko na wa duniani huko wamepitia kazi hizo. Tusibeze.
Hiyo juwa wewe tu, mimi nimekufundisha namna ya kuandika Kiswahili kwa usahihi.Unajua alama ya = maana yake nini?
Unaelewa maana ya kutengemaa???Hiyo juwa wewe tu, mimi nimekufundisha namna ya kuandika Kiswahili kwa usahihi.
Sijui kutamka kwako kama kutatengemaa hizo R na L.
Kwanza hata kiswahili chenyewe hukijui zaidi na zaidi unadandia dandia tu mabandiko ya watu .Hiyo juwa wewe tu, mimi nimekufundisha namna ya kuandika Kiswahili kwa usahihi.
Sijui kutamka kwako kama kutatengemaa hizo R na L.
Wala husemi uongo, ni mkweli kabisa.Kwanza hata kiswahili chenyewe hukijui zaidi na zaidi unadandia dandia tu mabandiko ya watu .
Ushahidi unaoonyesha kwamba wewe si lolote wala si chochote kwenye hii lugha ni kitendo cha kuvunja miiko ya uandishi na lugha kiujumla kwa kuchanganya lugha mbili tofauti katika sentensi moja, pia kuchanganya herufi kubwa na ndogo ni ushahidi tosha kwamba hujielewi.
Wala husemi uongo, ni mkweli kabisa.
Mimi ninachosahihisha ni unapokosea pa kuweka R na L tu.
Usikasirike, yapaswa ushukuru kurekebishwa
HahahaaaaaaWatu wa sampuli kama yako huwa hamnipi shida, hatimaye umenyooka mwenyewe.
Mbona unamjaji mtu kwa muinekano tu...? Kwan shamte anatofauti gan na Bsandra...?
Kweli aiseeAfadhali aliyeanzia shida umalizie raha kuanzia raha kumalizia shida usipime
Awe makini tuu asije rudi aliko toka.Afadhali aliyeanzia shida umalizie raha kuanzia raha kumalizia shida usipime