Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Mama wa kisasa huyo (Modern woman)Uzee mwisho chalinzeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama wa kisasa huyo (Modern woman)Uzee mwisho chalinzeee
Dooh!!mkuuujamani tuache unafki...huyo mama akitanua miguu hata mimi napiga!
Huyo chini aliyevaa suruali ndo huyo mama??
Haha hatari,sasa najiuliza huyu mama anahisi huyo jamaa anampenda au ??jamani nimecheeeekaaaaaa dah huyu mama libido bado lipo level?si yupo menopause kbs huyu?naskiaga huwa dry haswa
Ukiruka hatua kadhaa za ujanani zinakufuata uzeeni na utaonekana kituko. Ndio maana mie nakula ujana sitaki kuonekana mjinga izeeni.Huko insta diamond kaisafirisha familia yake nzima kwenda Dubai bila kumsahau Mr shamte kipoozeo cha mama na dangote, Na Nzi mbeba mikoba nae muuza mchele mjini hapa shogaangu Jumalokole2 nae yupo nyuma nyuma kwenye msafara huo wa bata la Dubai.
View attachment 936627
[emoji108] Ila shamte kakaangu Ivi huon aibu umemwacha mke wako Angela anateseka mtoto ww unakula bata na hela za dimond anavozitafuta kwa nguvu zote jukwaan anatoka majasho ww unameza tu kuna siku utaombwaView attachment 936622View attachment 936623
Haha hatari,sasa najiuliza huyu mama anahisi huyo jamaa anampenda au ??
Umeona ehhWALAIIIIII MTUMEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE HUYOOOOOOO BIBI KAWA BINTIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII
Umeona ehh
Shkamoo Pesaaaa walahi
Ukiruka hatua kadhaa za ujanani zinakufuata uzeeni na utaonekana kituko. Ndio maana mie nakula ujana sitaki kuonekana mjinga izeeni.
Mond atafanya nini,mama yake huyo hawezi kumwingilia maamuzi yake.huenda stress..aise mie angekua mamangu dah..huyu wanambeba wa nn huyo bwanake?hv diamond haon haya
huenda stress..aise mie angekua mamangu dah..huyu wanambeba wa nn huyo bwanake?hv diamond haon haya
Mwanamke yeyote akivaa kiguo kama hicho utaona figa matata
Hata mimi siku nikipata hela nyingi kama Diamond nitamtafutia Mama yangu boyfriend![emoji4][emoji4][emoji4]
Kesho ndo atawaumiza hatari hadi wameamua kwenda huko kujificha ili wafunike issue ya misa na hawaiwezi kamweee..Hamisa kawaumiza mnoo
lHapana sio wote, kuna wanawake wengine maumbo yao yapo kama nguzo za TANESCO..
DuuhHapana sio wote, kuna wanawake wengine maumbo yao yapo kama nguzo za TANESCO..