Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Ampende kwa lipi mkuu...inapendwa pesa tu hapo
Haha hatari,sasa najiuliza huyu mama anahisi huyo jamaa anampenda au ??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha hatari,sasa najiuliza huyu mama anahisi huyo jamaa anampenda au ??
Nilikuwa namkimbia mdada mmoja anaitwa Inna naogopa michezo yake ya ambarutiMuonee..ungenikimbia?
Mwanamke huingia kwenye rika ambalo sii lake, kwa kuzaa mapema ama kuolewa mapema. Akiolewa mapema huchukua umri na rika la mume wake, hata kama yeye ni mdogo kiumri kimajukumu inabidi aendane na umri na majukumu ya mume wake. Watu wanamshangaa huyu dada kisa tu aliwahi kuzaa tena kamzaa mtu maarufu. Yawezekana hakuna mtu anayeshangaa mwanamke wa umri wake ambaye anakula bata, yeye tatizo ni mwanaye aliyemzaa kutokana na umaarufu na fedha na mizigo anayobeba anaonekana mkuuubwa na sasa anamzeesha mama yake. Mwacheni dada wa watu ale raha labda atapata mwenza wa maisha yake na kuepuka kundi la single mother
Ana chura![emoji4][emoji4][emoji4]Mama Dangote MashallahView attachment 936867
Basi ngoja nikafute hii comment mkuu!....nimeshaifuta, na Mama aheshimiwe na watu wote!unaweza hisi umeandika as funny lakini jua neno mama ni kitu sensitivesana ..sijajua mama yako unamchukuliaje!yan had nimekushangaa!
Nashangaa sana mnavyo mnyanyua hamisa wakati yeye alikuwa ni spare tire kwa mond.huyo hamisa mnavyo mzungumzia utafikir
hata alikua akiwekwa front page na mond
......
Ndo najiuliza sasa yeye huyo mama labda anahisi anapendwa hapoAmpende kwa lipi mkuu...inapendwa pesa tu hapo
Basi ngoja nikafute hii comment mkuu!....nimeshaifuta, na Mama aheshimiwe na watu wote!
ASWAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA ASEEEEEE AMA KWELI UKIVUKA STAGE MOJA HATUA UNAYO FUATA LAZIMA UAIBIKE ,,,,, NGOJA NIENDELEEE KUTOMBA TUU NA KULA UJANA KWENYE AGES IZI ZA 20SUmeona ehh
Shkamoo Pesaaaa walahi
UlaaniweAna chura![emoji4][emoji4][emoji4]
ASEEEEEEE KI BIBIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII NOW NI KIBINTIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII ASEEEEEEEEEEEEEE JAMANIIII CHAPUTAMama Dangote MashallahView attachment 936867
kumbe?? ata wewe?Mwanamke yeyote akivaa kiguo kama hicho utaona figa matata
Ndo najiuliza sasa yeye huyo mama labda anahisi anapendwa hapo
Alipiga hapo nn[emoji15][emoji15][emoji15]Ndo mana sheta alishindwa kujizuia
Watoto wa mjini wanaita ganda la ndizi....full kuteleza....Shamte naye kwa kuteleza kwenye povu la sabuni juu ya tiles.
Alafu ni mayai ya bataNikadhani wameenda kula bata dubai, kumbe wanakula mayai tu!