Mama Dangote na Ki Ben10 chake Shamte ndani ya Dubai

Acha wivu wewe huyo ni baba ake acha aende nae c yuko na mkewe ulitaka aende na nani
 
Ukiruka hatua kadhaa za ujanani zinakufuata uzeeni na utaonekana kituko. Ndio maana mie nakula ujana sitaki kuonekana mjinga izeeni.
 
Ukiruka hatua kadhaa za ujanani zinakufuata uzeeni na utaonekana kituko. Ndio maana mie nakula ujana sitaki kuonekana mjinga izeeni.


wewe unawaz kama mm..bora ujilipue huku ujanani aisse ukifika age za kulea wajukuu unaact as a grandma haswa..mwe Mungu tusimamie...ila najis na elimu pia bwana...
bdw jina lakoπŸ˜‚
 
Mwanamke huingia kwenye rika ambalo sii lake, kwa kuzaa mapema ama kuolewa mapema. Akiolewa mapema huchukua umri na rika la mume wake, hata kama yeye ni mdogo kiumri kimajukumu inabidi aendane na umri na majukumu ya mume wake. Watu wanamshangaa huyu dada kisa tu aliwahi kuzaa tena kamzaa mtu maarufu. Yawezekana hakuna mtu anayeshangaa mwanamke wa umri wake ambaye anakula bata, yeye tatizo ni mwanaye aliyemzaa kutokana na umaarufu na fedha na mizigo anayobeba anaonekana mkuuubwa na sasa anamzeesha mama yake. Mwacheni dada wa watu ale raha labda atapata mwenza wa maisha yake na kuepuka kundi la single mother
 
Hapana sio wote, kuna wanawake wengine maumbo yao yapo kama nguzo za TANESCO..
l

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…