Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Umenifanya nicheke japo umeongelea issue serious.Nakubaliana nawe.Mama aheshimiwe,wametuvumilia sana.Pole na hongera kwakuwa mama.By the way,mambo poa tu.Mwachipolopolo inakukumbusha nini mlipokuwa shule?
Mama kama mnoko ujue alikuwa anakuandalia ustawi wako wa baadaye. Bila shaka umemshukuru baadaye. Umetaja Sinza, mambo iko Sinza-kumekucha.hahaha mama mnoko had umri huu..nakumbuka enzi hizo kuna bar maarufu moja sinza kumekucha..bas tukifika hapo meneja wa bar alishatukalili bas anaweka hziO mambo ah acha kbs
Mama kama mnoko ujue alikuwa anakuandalia ustawi wako wa baadaye. Bila shaka umemshukuru baadaye. Umetaja Sinza, mambo iko Sinza-kumekucha.
Asante sana dadake.Kwakuwa alikuwa mnoko na hadi sasa anauendeleza manake ana apply ile checks and balances and you will have to thank her later.ita true kakake...yan namshukuru mno mno...dah
Huyo chini aliyevaa suruali ndo huyo mama??
Anasagana tena...Huyo Juma Lokole anasagana na Esma au chakula ya nani kwa hiyo familia? maana sio kwa ukaribu huo.
Kwani Juma ni mzima?Anasagana tena...
Haha jamani..Kwani Juma ni mzima?
Huo ndio ukweli na naona wapo karibu zaidi na Esma ndio maana nikataka kujua kama wanakoboana.... lolHaha jamani..
Anayemzibua mama hapa ni yupi mkuu? Hebu weka maelekezo vizuri.Huko insta diamond kaisafirisha familia yake nzima kwenda Dubai bila kumsahau Mr shamte kipoozeo cha mama na dangote, Na Nzi mbeba mikoba nae muuza mchele mjini hapa shogaangu Jumalokole2 nae yupo nyuma nyuma kwenye msafara huo wa bata la Dubai.
View attachment 936627
[emoji108] Ila shamte kakaangu Ivi huon aibu umemwacha mke wako Angela anateseka mtoto ww unakula bata na hela za dimond anavozitafuta kwa nguvu zote jukwaan anatoka majasho ww unameza tu kuna siku utaombwaView attachment 936622View attachment 936623
Sawa
Asante sana dadake.Kwakuwa alikuwa mnoko na hadi sasa anauendeleza manake ana apply ile checks and balances and you will have to thank her later.
Haha Mungu anakuona we dada... Mwanamke na mwanaume wanasaganaHuo ndio ukweli na naona wapo karibu zaidi na Esma ndio maana nikataka kujua kama wanakoboana.... lol
Ni mwanaume kwa jinsia ila kwa nafsi si mwanaume.... mbona ipo sana hiyo wala sio jambo la ajabu, gay na lesby kudate! inawezekana.Haha Mungu anakuona we dada... Mwanamke na mwanaume wanasagana
Duuh mazito hayaNi mwanaume kwa jinsia ila kwa nafsi si mwanaume.... mbona ipo sana hiyo wala sio jambo la ajabu, gay na lesby kudate! inawezekana.
Wamanyema mwisho wa reli... Migebukwa KigomaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaHuyu mmama ni kabila gani ?
👍Uzee mwisho chalinzeee
Nmechekaa. Una apply vipi sasa kwa masela wako kwa mfano?sina la kusema...naaply kwa masela wangu aisee...