Mama Dangote na Ki Ben10 chake Shamte ndani ya Dubai

Mama Dangote na Ki Ben10 chake Shamte ndani ya Dubai

Umenifanya nicheke japo umeongelea issue serious.Nakubaliana nawe.Mama aheshimiwe,wametuvumilia sana.Pole na hongera kwakuwa mama.By the way,mambo poa tu.Mwachipolopolo inakukumbusha nini mlipokuwa shule?

hahaha mama mnoko had umri huu..nakumbuka enzi hizo kuna bar maarufu moja sinza kumekucha..bas tukifika hapo meneja wa bar alishatukalili bas anaweka hziO mambo ah acha kbs
 
hahaha mama mnoko had umri huu..nakumbuka enzi hizo kuna bar maarufu moja sinza kumekucha..bas tukifika hapo meneja wa bar alishatukalili bas anaweka hziO mambo ah acha kbs
Mama kama mnoko ujue alikuwa anakuandalia ustawi wako wa baadaye. Bila shaka umemshukuru baadaye. Umetaja Sinza, mambo iko Sinza-kumekucha.
 
Ningoja nisome comment tu za wale wanaopangia watu namna kuishi na namna ya kutumia pesa zao
 
Huko insta diamond kaisafirisha familia yake nzima kwenda Dubai bila kumsahau Mr shamte kipoozeo cha mama na dangote, Na Nzi mbeba mikoba nae muuza mchele mjini hapa shogaangu Jumalokole2 nae yupo nyuma nyuma kwenye msafara huo wa bata la Dubai.

View attachment 936627
[emoji108] Ila shamte kakaangu Ivi huon aibu umemwacha mke wako Angela anateseka mtoto ww unakula bata na hela za dimond anavozitafuta kwa nguvu zote jukwaan anatoka majasho ww unameza tu kuna siku utaombwaView attachment 936622View attachment 936623
Anayemzibua mama hapa ni yupi mkuu? Hebu weka maelekezo vizuri.
 
Huyu mama kasimama nikimpata lazma nile hadi ukucha wa mguu....

mama_dangote-20181116-0001-jpeg.936623
 
Back
Top Bottom