MnooooooHamisa kawaumiza mnoo
Wanaume wa dar bwana unadin-daje kwa kimama kama hicho kisa kupenda vitu vya bure bila kufanya kazi!Huko insta diamond kaisafirisha familia yake nzima kwenda Dubai bila kumsahau Mr shamte kipoozeo cha mama na dangote, Na Nzi mbeba mikoba nae muuza mchele mjini hapa shogaangu Jumalokole2 nae yupo nyuma nyuma kwenye msafara huo wa bata la Dubai.
View attachment 936627
[emoji108] Ila shamte kakaangu Ivi huon aibu umemwacha mke wako Angela anateseka mtoto ww unakula bata na hela za dimond anavozitafuta kwa nguvu zote jukwaan anatoka majasho ww unameza tu kuna siku utaombwaView attachment 936622View attachment 936623
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Bibi ana chura matata aisee
Unaambiwa alishaona AVATARKhaaa yaani alienda lodge bila hata kuona picha ya mtu
Ndo mana sheta alishindwa kujizuia
Hatari sanaUnaambiwa alishaona AVATAR
Maisha ni kuchagua mkuuHujamuona akivaaa skin tight tu!
Yule O Dimpoz itakuwa alimfaidi mana alimkuta bado kijanaMaisha ni kuchagua mkuu
Aisee.Yule O Dimpoz itakuwa alimfaidi mana alimkuta bado kijana
Yule O Dimpoz itakuwa alimfaidi mana alimkuta bado kijana
Aisee.
Hivi huyu Shamte si anafamilia yake(mke, watoto) ya kihalali kabisa?
Kwakweli aibu naona mimi hahahaha Mama Dangote
Huyo umkute kapanda bodaboda lazima hips ziwe kubwa zaidiMwanamke yeyote akivaa kiguo kama hicho utaona figa matata
Mama anajua kulea viben tenAisee.
Hivi huyu Shamte si anafamilia yake(mke, watoto) ya kihalali kabisa?
Hapa mimi kicheko kama choote. Huyo anaendelea kukufaa hadi leo. Halafu wanao pia wanakuona mama mnoko. Yaani na wao wataiga unoko wako pia.