Nyumba ni ya mama yake na aliandika jina la mama yake.Mama diamond kaolewa kwanini anaishi nyumbani kwa mwanae na huyo mme?
Diamond anaishi na mama na baba wa kambo je hapo madale ni kwake au kwao?
Diamond na Hamisa Kwanini wakapiganie miti hapo, Hamisa hana nyumba diamond aende? Hawawezi kwenda hata hotelini
Hii familia ina vichaa
Hamisa kapangiwa chumba kimoja gorofani kwa meneja salam na anakaa na mama yake sasa wangeendaje kudinyana huko. Labda wangeenda hotelini.Mama diamond kaolewa kwanini anaishi nyumbani kwa mwanae na huyo mme?
Diamond anaishi na mama na baba wa kambo je hapo madale ni kwake au kwao?
Diamond na Hamisa Kwanini wakapiganie miti hapo, Hamisa hana nyumba diamond aende? Hawawezi kwenda hata hotelini
Hii familia ina vichaa
Dah diamond kashindwa kumpangia nyumba kweli!!!!!Hamisa kapangiwa chumba kimoja gorofani kwa meneja salam na anakaa na mama yake sasa wangeendaje kudinyana huko. Labda wangeenda hotelini.
Doh kumbe ule mjengo wa bi mkubwa, basi ndo maana kageuka TysonNyumba ni ya mama yake na aliandika jina la mama yake.
!
!
Huyu Mamake Diamond Ana Kazi Gani Huko Mjini Daslam. Isije Kuwa Nae Anambwato Na Diamond