Mama Diamond aeleza alivyomdunda Mobeto

Mama Diamond aeleza alivyomdunda Mobeto

Mama diamond kaolewa kwanini anaishi nyumbani kwa mwanae na huyo mme?

Diamond anaishi na mama na baba wa kambo je hapo madale ni kwake au kwao?

Diamond na Hamisa Kwanini wakapiganie miti hapo, Hamisa hana nyumba diamond aende? Hawawezi kwenda hata hotelini

Hii familia ina vichaa
Nyumba ni ya mama yake na aliandika jina la mama yake.
 
Mama diamond kaolewa kwanini anaishi nyumbani kwa mwanae na huyo mme?

Diamond anaishi na mama na baba wa kambo je hapo madale ni kwake au kwao?

Diamond na Hamisa Kwanini wakapiganie miti hapo, Hamisa hana nyumba diamond aende? Hawawezi kwenda hata hotelini

Hii familia ina vichaa
Hamisa kapangiwa chumba kimoja gorofani kwa meneja salam na anakaa na mama yake sasa wangeendaje kudinyana huko. Labda wangeenda hotelini.
 
Huyu Mama ni Pasua kichwa, Vurugu zote hizo ni hataki mwanae apate mke maana anajua akishapata mke yeye hatachukuliwa tena kwenda batani
 

Mama mzazi wa nasib Abdul amefunguka ukweli kuhusu tetesi za kwamba alimpiga na kumuumiza hamisa mobeto mpaka akabaki na wigi mkononi.
 
Hamisa kapangiwa chumba kimoja gorofani kwa meneja salam na anakaa na mama yake sasa wangeendaje kudinyana huko. Labda wangeenda hotelini.
Dah diamond kashindwa kumpangia nyumba kweli!!!!!
Basi waende hata hotels au ndo wanaogopa paparazi
 
Zari kwenda na kupeleka watoto church hakukosea .kuna nguvu inatenda kazi. KUNAPOPAMBAZUKA LAZIMA GIZA LITOWEKE.
 
Back
Top Bottom