Mama Diamond afunga Instagram kwa muda, wadau wamuomba Lundenga ampokee kwenye Miss Tanzania

Haaha hhaa,unakumbuka GENTA alivyomaindi wakati habar nyingine n za ukweli hahaa
Nilicheka sanaa,
Hivi MODS hawakukupiga BAN maana source ilisomeka hivi MIMI MWENYEWE
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
aiseee aache kufanya haya mambo.
 
Mama anakula chakula kizuri kinampa hashki anakosa wa kumsaga ongera kizaa chema

Sasa ommydimpo anaeza kugegenda, yule lbda agegendwe yy,
 
umeshasema dada wakivaa hivyo hatushangai sasa huoni kama huyo ni Bibi?!.
 
Habari za mjini zinasema mwanae anamkula.
 
Kioo hakidanganyi mama umejipodoa umepodoka
Mwendo na shepu vyote mwanana Mimi suruari yanidondoka
Tukimbizane nini salome wangu? Iyo michezo ya jogoo
Mbona watizama chini salome wangu Ukimuona jongoo
Inama kidogo shika magoti
Nimesimama kama ngongoti Mtoto jojo sio roboti
Chumbani bingili bingili sambasoti
 
Mwacheni mama wa watu ale mema ya nchi,
ni nani ambaye mwanaye angefikia hatua hiyo asingejiachia;
kakosea wapi,
na angevaa kaptula mngesema nini,
wivu tu hakuna jipya.
 
Yaani ukiwa mama ndio usitinge viwango?lol ndio maana michepuko haishii kisa hamlipuki na viwalo kama mama Dai [emoji4][emoji4]
 
mimi kijana hiyo Instagram nimeishindwa kutokana na upuuzi wake huyo mzee kakomaa nayo tu...wakitukanwa hivi wanalaumu?

Upuuzi ni upi wakati unapewa uhuru wa kuchagua yapi ya kujihusisha nayo? Una full control ya nini na nani uwaone.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…