Mama Diamond amvaa Shilole

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Inabid Diamond amuajiri Mama yake kama mmoja wa ma manager wake, Naona ma ma manager wake hawajui kazi yao , ila huyu bibi ana kisebengo Jaman , kujikurupusha huko kumvaa shilole vepee wakati hiyo crisis ilibid isoviwe na managers wa domo coz yale ni mambo ya kazini angewaachia wenyewe wamalizane au Mama ana bifu na shilole ndo akaona aingizie hapo hapo kwenye issue mfaransa.

Halafu pia hao bodyguards Sijui wanawaokotea wapi, yani shilole anakua na power kuwazidi Bodyguards , yani crew Nzima mnasimamishwa na shilole na nyie mnasimama kumsikiliza, very unprofessional. Ndio maana Diamond akabaki anashangaa tu, Ina maana yule dada angekua na nia ya kumdhuru domo angeshafanikiwa kitambo sasa hivi tungekua tunaongea mengine, very useless , Yan ma bodyguards wa Kibongo wanawaogopa ma boss wakati wao jukumu lao kuwalinda kwa gharama zozote bila kujali mtu

Huyu mama anamchunga sana mwanae hadi wambea tunapata nguvu ya kuamini zile tetesi za mtaa wa pili , mama gani wa staa duniani na africa alishawahi kufanya huu upuuzi kama wa mama domo,,shoga angu Sijui anajikutaga nani mxieew

 
Daaah mji umezizima teena , konde boi sjui ametenga sh ngap kuizima hiii🤣🤣 kuna mtu atapasuka msamba hvi hvi mpelekeni taratibu mmakonde wa watu.....
 
Ila shilole nae ana kihereheree alishindwa kuongea na dai kimya kimyaaa
Ila Dai akampotezea yule dada hata kumchangamkia hakuna jamani
Superstar aisehhh umaarufu noma aisehh lazima ujithaminishe [emoji38][emoji38][emoji38]hata ungekua wewe unakuja kwangu hivi nakupa teke kwanza utulie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…