Mama Diamond amwaga machozi kwa uchafu wa mwanae

mtaijulia uku si lazima watu wengi hawajui ,mfano kuna kazi ukionyeshwa video tu jinsi ya kufanya utafanya tu ata kama lugha shida ukiona video vile kazi inafanywa lazima utajua tu

Kumbe 😁😁😁😁😁
 
General labor ndio ninii

ni kazi unazotumia mfano mikono bila kupewa mafunzo au hazitaji uwe na uwezo bali ni maelekezo tu fanya hivi na hivi na unaanza kaz mara moja sio zile za kwenda kusomea .

Watu wengi wanafanya general labor na zinalipa vizuri tu.

general labor nyingi unalipwa kuanzia dolla 11 hadi 13 kwa saa haya ukifanya masaa 8 una ngap?

ukizidi masaa 8 kwa siku labda ukafanya 12 hayo 4 ni overtime itaongezeka nusu kama ni 11 utapata 16.5 kwa saa

ukifanya wikend ina double kama ni 11 inakuwa 22 dollar kwa saa
 

Poti ni halafu sio harafu
 
Shogaa sie si tunapeana kwa kiswahil tu ila warumi hamna tumuache tu,labda Heaven on Earth ila sijui atakubali kulea watoto tumidoli
warumi umeambiwa atafanya general labour sijui atakuwa wodini anawasaidia wazungu kuzaaa🙁.Sasa huyo heaven na alivyoanataka kuolewa na mzungu kwake itakuwa ni advantage kubwa sana
 
Last edited by a moderator:
warumi umeambiwa atafanya general labour sijui atakuwa wodini anawasaidia wazungu kuzaaa🙁.Sasa huyo heaven na alivyoanataka kuolewa na mzungu kwake itakuwa ni advantage kubwa sana

Sio hivyoo huoni ashaelezeaa mi mwenyewe nilihis kama wewe,,sasa tukienda huko tutaishi kwa nanii eeee tusijelala nje wakati vitanda tumeviacha tz
 
Last edited by a moderator:

Kumbe nimekupata sasa kuingia Us si ni kazi sana kupata visa?
 
Kiingereza cha Unyamwezini hicho, si unajua mambo ya kwa Obama tena ukishakula pizza ulimi unatereza tu.
 
mtaijulia uku si lazima watu wengi hawajui ,mfano kuna kazi ukionyeshwa video tu jinsi ya kufanya utafanya tu ata kama lugha shida ukiona video vile kazi inafanywa lazima utajua tu

Hizi kazi za kuonyeshwa kwa video hizi nimeanza kupatwa na wasiwasi, sasa watafanyakazi na nguo zao au?
 
Kumekucha... na hivi jijini kila mahali mvua, basi taabu tupu!
 
Hizi kazi za kuonyeshwa kwa video hizi nimeanza kupatwa na wasiwasi, sasa watafanyakazi na nguo zao au?

ni kitu cha kawaida uku kuonyeshwa kwenye video namna utakavyofanya kazi na usalama kazin pia
 
Napendekeza Diamond amuoe mleta mada...Akimweka ndani huyu atatulia sana kwenye ndoa yake.
 
Napendekeza Diamond amuoe mleta mada...Akimweka ndani huyu atatulia sana kwenye ndoa yake.

sina muda wa kubishana na wewe,tumia uhuru wako kuongea lolote maneno hayaui mtu sawa bibi
 
Mini nadhani anafurahia mwanae kuwatafuna na kuwatema kama big gee
 
Awe mpole mama dai Mtoto karithi kwa baba
 
Vijana na Mabinti wengi wanaishi kama Diamond , tofauti yake na wengine yeye kila afanyalo lipo recorded kwa Mataifa , akijaaliwa ataoa tu muda bado
 
she her son....... kumbe hii ndo english unayojivunia nayo. tutoleee pidgin yako hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…