Bird Watcher
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 3,151
- 6,261
Wewe unafikiri hao wasanii waliopo sokoni tangu muda na sasa wanachukuliwa kawaida tu ni kwamba wanatoa ngoma mbovu?Sidhani kama Diamond anaweza kuporomoka kwa sababu ya mama kukosa busara au yeye kuto kwenda misibani bali kitakacho mporomosha ni kuto toa nyimbo nzuri tuuu
Mimi nimwelewa sana Mama Diamond, kwa sababu nilikuwepo pale Leaders siku ya kuaga mwili wa Masogange! Ilikuwa ni mshike mshike! Tena pale Leaders ni pakubwa, vp huko kwa akina Zilla?! Tena tafrani ya pale Leaders ilianzia kwa waandishi wa habari! Ile anatajwa Diamond tu kwamba imefika zamu yake ya kutoa salamu, kila kitu kikavurugika kwa muda!Pengine Mama ndio alishauri mwanae asiende...namimi naona kama ana hoja ya msingi maana ingetokea tafrani wengi hapa mngekuja kusema alikuwa ana tafuta kiki msibani.....
Ungekuwepo siku ya msiba wa Masogange pale Leaders, wala usingesema hayo. Inawezekana Bi Mkubwa alishindwa kuwasilisha hoja yake lakini alichosema ndo uhalisia wenyewe! Yuledogo ana nyota ya ajabu! Akitokea mahali shughuli lazima zisimame.Wewe unafikiri hao wasanii waliopo sokoni tangu muda na sasa wanachukuliwa kawaida tu ni kwamba wanatoa ngoma mbovu?
Umeanza lini kumfuatilia Diamond?! Hebu msikilize B Dozen hapa:-Kuna hoja gani ww wakati kanumba anafariki 2011 huyo domo alikuwa na nguvu gani mpaka watu wazimie
Dai kwisha habari yake eti watu wazimie aiseee msiba wa masogange walijaa mastaa tele na watu hawakuzimia sembuse huu
Angesema tu mwanae yupo busy kufundishwa kucheza kamari.
Swali fikirishi Tetema hadi now ina views ngapi?
Tetema ina viewa zaidi million 4... hii ina thibitisha kuwa Diamond ni kiboko kabisa hapa Tanzania... hivyo hakuna wa kumuangusha,,,,,
Dai kwisha habari yake eti watu wazimie aiseee msiba wa masogange walijaa mastaa tele na watu hawakuzimia sembuse huu
Angesema tu mwanae yupo busy kufundishwa kucheza kamari.
Swali fikirishi Tetema hadi now ina views ngapi?
Kulingana na Mama Diamond anasema walizimia kutokana na uwepo wake kwenye msiba wa kanumba
Bi mkubwa ameongea sema watanzania hawapendi kuhusikia...Ungekuwepo siku ya msiba wa Masogange pale Leaders, wala usingesema hayo. Inawezekana Bi Mkubwa alishindwa kuwasilisha hoja yake lakini alichosema ndo uhalisia wenyewe! Yuledogo ana nyota ya ajabu! Akitokea mahali shughuli lazima zisimame.
Busara mama angesema hajui kilichomtokea mwanae kimfanye asifike msibani
Watu wengi huwa hawaamini kuwa Diamond au mama yake yuko sawa kwakuwa hawapendi kusikia ukweliMimi nimwelewa sana Mama Diamond, kwa sababu nilikuwepo pale Leaders siku ya kuaga mwili wa Masogange! Ilikuwa ni mshike mshike! Tena pale Leaders ni pakubwa, vp huko kwa akina Zilla?! Tena tafrani ya pale Leaders ilianzia kwa waandishi wa habari! Ile anatajwa Diamond tu kwamba imefika zamu yake ya kutoa salamu, kila kitu kikavurugika kwa muda!
Anyway, inawezekana Mama Diamond hakuwasilisha vema hoja yake lakini ukweli ni kwamba kila anapotokea Diamond lazima pawe na kizaa zaa.
Toka hapa.acha wivu kama mwanamkeAlikiba hana ushawishi wowote kwenye nchi hii...