Mama Diamond: Diamond hakuja kwenye msiba wa Godzilla kwa sababu angesababisha vurugu na watu wange zimia.

Mama Diamond: Diamond hakuja kwenye msiba wa Godzilla kwa sababu angesababisha vurugu na watu wange zimia.

Uko sahihi Mama ni vyema asijiingize kwenye mambo ya mwanae maana huyu sio ordinary son ,he is a super star ,anahitajika mjuzi hasa ,Japo maana ya mama ina mantiki ,tujikumbushe msiba wa kanumba ,watu waliacha msiba wakaenda kusukuma gari la diamond ,sasa leo hii jina lake liko mara tatu ya kipindi kile,na nikweli kwenye show zake watu wanazimia hata nairobi walizimia kibao na walikuwa wanatoa chupi wanarusha steji mbele ya boyfriend zao.
Waliokuwa wanarusha chupi hawakuwa na akiri hao wanawake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasalaam wana jamvi.

Mama wa msanii maarufu na tajiri kuliko wote nchi Diamond Platimuz ameweka wazi sababu za mwanae kutoonekana kwenye msiba na mazishi ya msanii mwenzie Godzilla.

Mama Diamond akihojiwa na moja ya chombo cha habari nchini aliulizwa kwanini Diamond hajaonekana kwenye msiba wa msanii mwenzie au hata kwenda kutoa pole?

Mama Diamond akijibu swali hilo kwa ufasaha amesema kuwa sababu ya mwanae kutokuja ni kutokana na mwanae kuwa msanii mkubwa sana nchini na hivyo kama angelifika pale angelisababisha tafrani na watu wote wangeacha kuhani msiba wangebaki kumuangalia yeye tuu
Pia aliongezea kuwa kama mwanae angelifika pale basi kungelitokea baadhi ya watu kuzimia .

Mama Diamond aliongezea kwa kusema hata kwenye msiba wa Kanumba mwanae alipotokea alisababisha vurugu na watu wengine kuzimia kwakuwa kila mtu alitaka kumuangalia Diamond.

Hata hivyo Mama Diamond alisema kuwa yeye kuja kwake ni kama amemuwakilisha mwanae.

Wasalaam

Alipofariki Kanumba , Diamond was nobody mwe! Aache uzushi
 
Wasalaam wana jamvi.

Mama wa msanii maarufu na tajiri kuliko wote nchi Diamond Platimuz ameweka wazi sababu za mwanae kutoonekana kwenye msiba na mazishi ya msanii mwenzie Godzilla.

Mama Diamond akihojiwa na moja ya chombo cha habari nchini aliulizwa kwanini Diamond hajaonekana kwenye msiba wa msanii mwenzie au hata kwenda kutoa pole?

Mama Diamond akijibu swali hilo kwa ufasaha amesema kuwa sababu ya mwanae kutokuja ni kutokana na mwanae kuwa msanii mkubwa sana nchini na hivyo kama angelifika pale angelisababisha tafrani na watu wote wangeacha kuhani msiba wangebaki kumuangalia yeye tuu
Pia aliongezea kuwa kama mwanae angelifika pale basi kungelitokea baadhi ya watu kuzimia .

Mama Diamond aliongezea kwa kusema hata kwenye msiba wa Kanumba mwanae alipotokea alisababisha vurugu na watu wengine kuzimia kwakuwa kila mtu alitaka kumuangalia Diamond.

Hata hivyo Mama Diamond alisema kuwa yeye kuja kwake ni kama amemuwakilisha mwanae.

Wasalaam
FOOLISH!!!!
Mbona wa Aggy Masogange (R.i.p) alienda na hamna mtu aliekua na time nae.
Jinga kabisa hili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu Mama yake D atakuwa na majibu ya mwanae kutokwenda msibani,huenda sababu ni kama hii pia kama zipo nyingne no zao wao.
R.M.U
Rest mahali ulipopachagua Ruge.

Bado Naendelea Kujifunza
 
kama angelikwenda kwa Ruge pengine watu wange jiua kabisa
 
kuhusu msiba wa Kanumba wote tulishuhudia hata kwwnye tv vurugu lilitokea baada ya kuingia diamond...na watu hawakuzimia kisa wamemuona diamond la hasha ila walizimia kutokana na vurugu za watu/mashabiki kumshobokea diamond.

Kuhusu Msiba wa Masogange yule hakuwa mtu mashuhuri bali ni mtu anayejulikana zaidi na watumiaji wa mitandao na hata msiba wake haukuwa na raia wengi ukiondoa ndugu zake..msiba wake walijaa mastar tu...sasa ulitegemea hao mastar wenzake ndo wafanye vurugu?[emoji848]
Dai kwisha habari yake eti watu wazimie aiseee msiba wa masogange walijaa mastaa tele na watu hawakuzimia sembuse huu

Angesema tu mwanae yupo busy kufundishwa kucheza kamari.

Swali fikirishi Tetema hadi now ina views ngapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mh, nadoubt kumbukumbu zako kipindi hicho Kanumba anafariki Diamond ndo alikuwa anakuja kwa kasi ya 8G...!
Acha uongo msiba wa kanumba watu walizimia kisa wingi wa watu ambao ulikuwapo tokea hata diamond hajaja na.pale watu walienda kumuaga kanumba si kumuona Diamond, kipindi hicho diamond bado sana hajawa famous kiasi hiki, na hiyo april 2012 watu walikuwa wanamkubali sana Kanumba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kauli ya mama imepata validity jana Diamond alipoenda kuuza sura kwenye tafrija ya kumuaga Ruge, tumeshuhudia waandishi na baadhi ya mashabiki wakiacha kuconcetrate kwenye msiba wakaanza kumshobokea diamond..huku wakiita kwa shangwe "Simba, Simba, Simba"....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom