DASM
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 2,374
- 2,891
Waliokuwa wanarusha chupi hawakuwa na akiri hao wanawakeUko sahihi Mama ni vyema asijiingize kwenye mambo ya mwanae maana huyu sio ordinary son ,he is a super star ,anahitajika mjuzi hasa ,Japo maana ya mama ina mantiki ,tujikumbushe msiba wa kanumba ,watu waliacha msiba wakaenda kusukuma gari la diamond ,sasa leo hii jina lake liko mara tatu ya kipindi kile,na nikweli kwenye show zake watu wanazimia hata nairobi walizimia kibao na walikuwa wanatoa chupi wanarusha steji mbele ya boyfriend zao.
Sent using Jamii Forums mobile app