Mama Diamond: Diamond hakuja kwenye msiba wa Godzilla kwa sababu angesababisha vurugu na watu wange zimia.

Waliokuwa wanarusha chupi hawakuwa na akiri hao wanawake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hoja za mama zinafanana na za yule mbunge wetu pendwa wa std7 msukuma
 

Alipofariki Kanumba , Diamond was nobody mwe! Aache uzushi
 
FOOLISH!!!!
Mbona wa Aggy Masogange (R.i.p) alienda na hamna mtu aliekua na time nae.
Jinga kabisa hili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu Mama yake D atakuwa na majibu ya mwanae kutokwenda msibani,huenda sababu ni kama hii pia kama zipo nyingne no zao wao.
R.M.U
Rest mahali ulipopachagua Ruge.

Bado Naendelea Kujifunza
 
kama angelikwenda kwa Ruge pengine watu wange jiua kabisa
 
kuhusu msiba wa Kanumba wote tulishuhudia hata kwwnye tv vurugu lilitokea baada ya kuingia diamond...na watu hawakuzimia kisa wamemuona diamond la hasha ila walizimia kutokana na vurugu za watu/mashabiki kumshobokea diamond.

Kuhusu Msiba wa Masogange yule hakuwa mtu mashuhuri bali ni mtu anayejulikana zaidi na watumiaji wa mitandao na hata msiba wake haukuwa na raia wengi ukiondoa ndugu zake..msiba wake walijaa mastar tu...sasa ulitegemea hao mastar wenzake ndo wafanye vurugu?[emoji848]
Dai kwisha habari yake eti watu wazimie aiseee msiba wa masogange walijaa mastaa tele na watu hawakuzimia sembuse huu

Angesema tu mwanae yupo busy kufundishwa kucheza kamari.

Swali fikirishi Tetema hadi now ina views ngapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mh, nadoubt kumbukumbu zako kipindi hicho Kanumba anafariki Diamond ndo alikuwa anakuja kwa kasi ya 8G...!
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kauli ya mama imepata validity jana Diamond alipoenda kuuza sura kwenye tafrija ya kumuaga Ruge, tumeshuhudia waandishi na baadhi ya mashabiki wakiacha kuconcetrate kwenye msiba wakaanza kumshobokea diamond..huku wakiita kwa shangwe "Simba, Simba, Simba"....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…