Toa upuuzi wako hapa nenda kaimbe taarabu na malkia wenuKwenye historia ya hili beef nani alilianzisha ebu tuanzie hapo kwanza maana naona povu linakutoka tu asubuhi yote hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Hehehehe kama Dai yuko humu JF na anausoma huu Uzi anaweza angusha chozi.Na inasemekana alikuwa anaulilia kinoma huo muhogo
Kheee watu tumemunch mda, kitu kikishawekwa mtandaoni hata ukifuta haisaidiiUjinga na huyo mshauri wa sheria ni mjinga.ommy anaweza kufuta post mda wowote na kupoteza ushahidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hukukosea kujiita gentamycine we ni antibiotic tena broad spectrum antibioticAnamshtaki na ' Kubanduana ' nae au kwanini ametoa ' Siri ' yao ya ' Kubanduana ' hadharani?
DAB anahusika vipi katika mambo hayo.Tupe ushahidi na utuambie anahusika vipi.Maana nishachoka na habari za umbea wa vijana wa kitanzania.
Afu kwa nini kila jamaa akitaka kutoa wimbo wanatafuta kiki kupitia chibu?
Hukukosea kujiita gentamycine we ni antibiotic tena broad spectrum antibiotic
may her soul rest in peaceMama yake alifariki, SAD..!!
Daaah mkuu jua unamwongelea mama wa mwenzio hapo, weka ushabiki pembeni. Si dhani kama ni jambo jema sana kumkashifu mama wa watuAnashitaki kwa KUTAFUNWA.....AU KUTOA SIRI ZA FARAGHA?ana laana ya mzee NASEEB HUYO
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu.....kitendo cha kumtia SUMU DIAMOND....ili asimsaidie baba yake....kitamtafuna sana tu mkuu...mm nakwambiya....Daaah mkuu jua unamwongelea mama wa mwenzio hapo, weka ushabiki pembeni. Si dhani kama ni jambo jema sana kumkashifu mama wa watu
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani akili za Bashite afadhari za Le Mutuz.