Tetesi: Mama Diamond kumshtaki Ommy Dimpozi

Tetesi: Mama Diamond kumshtaki Ommy Dimpozi

lakini kuna kipande ktk wimbo wa Ney wa mitego kikijaribu kumhusisha na Ommy kuwa jogoo hapandi mtungi... ule wimbo tukumbushane

kama Ney alikuwa yupo sahihi basi yawezekana Domo nayeye alikuwa sahihi... ukichukulia pia na reaction aliyo ichukuwa Ommy baada ya boss wake kudhalilisha ni tofauti na reaction aliyochukuwa mdogo wake kiba japo kiba yeye alishatoa la moyoni au joke...kwa kifupi
 
Mama atazidi kujiaibisha tu maana ikiwa kesi Ommy nae

ataruhusiwa kuzungumza kwa upande wake maana atasisitiza

kwamba kweli amemkaza na anaweza kwenda mbali zaidi

kubainisha staili mbali mbali alizopiga huyu maza angemyuti tu hata kama

ni uongo
 
Ningekua Mie ningechukua m100 ya haraka sana!!
 
Ugomvi ulikuwa wa Dimond na Ali.

Dimond akamuingiza Ommy na Ommy akamuingiza demu wake mama Dimond.

Tatizo liko wapi hapo!?
Haya mkuu. Ngoja niwaache na makiki yao
 
Iko hivii, kwanza alotoa huo ubuyu kwa mange ni mama mobeto peke yake, na ametoa kwa sabb kuu mbili . Ya kwanza . Mama diamond na esma walikua mstari wa mbele kumkuadia hamisa kwa diamond nia na lengo lao ni kumuuliza zari, na wakamuahidi hamisa kwamba watafanya juu chini zari aachike akae hamissa ( kama mnakumbuka kuna kipindi zari na mkwe wake na wifi yake walikua hawana maelewano mazuri kabisaa) ndio kipindi ambacho hawa wawili walikua wanafanya yao. Shida ilikuja baada ya hamisa kujifungua na wawili hao kua shinikizo kubwa la ndugu yao kukataa mimba. Na wamekataa baada ya kugundua hamisa na mama yake walikua mstari wa mbele kushirikiana kumchuna patric na mond ndio maana wakaamua kuikataa mimba. Sasa mama mobeto akaona mwane kaoneowa yaan wamemchezea afu wamemuacha hapo mwanae bila chochote. Ndio wakaanza sasa kuchafua hali ya hewa kwa kupost mtt, mara wabadili majina na mambo mengine kibaoo. . Sababu ya pili . Mama mobeto na mama dai waligombana tena na sabb kubwa ilikua huyo bwana wanedai kamuoa bi sadra, huyo bwana hajamuoa ila wapo pamoja. Ila mama mobeto kamwaga sabb kaona katolewa nje afu bi sandra anakula maisha. Hili bifu lipo kwenye hizi familia mbili, na haya mambo wameyaunda wenyewe saivi yanawageuka, tena yanawageuka vibaya sabb walikua wanamfanyia ubaya mtu ambaye anawafanyia mema
 
20987400_185428488665831_6115726068759396352_n.jpg
 
Ktk ile post haina tusi lolote kisheria. Wataishia kumlipa tu

JPM KAMATA WEZI
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yani DAB akiguswa lazima utie miguu, pole sana aisee yani mwaka huu wako. Mpaka naanza kuhisi yawezekana wewe ndiye DAB mwenyewe
DAB hawezi ingilia huu mziki. Coz anajua kiboko yake Mange Kimambi ndie DJ ktk hii show!

Bashite hana hamu nae!! Kasababisha anapokuwa anazurura watumishi woote humuona zero brain. Na media zooote zimempa kibano!

JPM KAMATA WEZI
 
Iko hivii, kwanza alotoa huo ubuyu kwa mange ni mama mobeto peke yake, na ametoa kwa sabb kuu mbili . Ya kwanza . Mama diamond na esma walikua mstari wa mbele kumkuadia hamisa kwa diamond nia na lengo lao ni kumuuliza zari, na wakamuahidi hamisa kwamba watafanya juu chini zari aachike akae hamissa ( kama mnakumbuka kuna kipindi zari na mkwe wake na wifi yake walikua hawana maelewano mazuri kabisaa) ndio kipindi ambacho hawa wawili walikua wanafanya yao. Shida ilikuja baada ya hamisa kujifungua na wawili hao kua shinikizo kubwa la ndugu yao kukataa mimba. Na wamekataa baada ya kugundua hamisa na mama yake walikua mstari wa mbele kushirikiana kumchuna patric na mond ndio maana wakaamua kuikataa mimba. Sasa mama mobeto akaona mwane kaoneowa yaan wamemchezea afu wamemuacha hapo mwanae bila chochote. Ndio wakaanza sasa kuchafua hali ya hewa kwa kupost mtt, mara wabadili majina na mambo mengine kibaoo. . Sababu ya pili . Mama mobeto na mama dai waligombana tena na sabb kubwa ilikua huyo bwana wanedai kamuoa bi sadra, huyo bwana hajamuoa ila wapo pamoja. Ila mama mobeto kamwaga sabb kaona katolewa nje afu bi sandra anakula maisha. Hili bifu lipo kwenye hizi familia mbili, na haya mambo wameyaunda wenyewe saivi yanawageuka, tena yanawageuka vibaya sabb walikua wanamfanyia ubaya mtu ambaye anawafanyia mema
Wat goes around comes around

invest what you are willing to lose
 
Back
Top Bottom