Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Omy na dai walikua marafiki ,,nini kilifanya wakakosana?inawezekana...ingawa huyo dimpoz naye ni chakula....wema alishasema yule ni nyuki wa mashineni..masela wanampaka Kei Y
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Omy na dai walikua marafiki ,,nini kilifanya wakakosana?inawezekana...ingawa huyo dimpoz naye ni chakula....wema alishasema yule ni nyuki wa mashineni..masela wanampaka Kei Y
sijui kwa kweli...hebu niambie ni nini?Omy na dai walikua marafiki ,,nini kilifanya wakakosana?
Na Dai akamla mke wa ShetaNasikia bibi mkubwa anapenda viben ten balaa marafiki zake domo wamepiga sana pale hadi shetta kamla bib mdashi, kuwa na mama wa dzain hiyo kwa kweli ni full stress maana ukija tu na rafiki home unakuwa na waswas kinoma kuwa mda wowote anaweza kugeuka kuwa baba
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kufuta ataleta vielelezo kwamba ni chakula yake sasa sijui itakuaje hapoUjinga na huyo mshauri wa sheria ni mjinga.ommy anaweza kufuta post mda wowote na kupoteza ushahidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani weweIla picha bmkubwa kashikwa titi sasa ukashtaki nn?
Hapo chachaacha wapiganeeee
na Ommy nae akimshtaki Domo kwa kumuita shoga live redioni na kwenye nyimbo mtu asilie....
acha wengine tule ubuyu tu...
Mtoto ndio kajiingiza mwenyewe kwa kidomodomo chakeNamsikitikia kwasababu mtoto wake kamuingiza kwenye kashfa za ajabu ajabu
Una hakika na unalosema mkuu au umeamua na wewe kuandika thread !!! Unataka mama wa watu aongee ili upate nini kijana...ushabiki mungne hata sio mzurikwa habari zilizotufikia za chini ya kapeti inasemekana tayari pale madale wameshatafuta ushauri wa kisheria ni jinsi gani watamtia hatiani kijana pozi kwa pozi,
kwa kile kinachodaiwa ni post yake ya jana iliyochafua hali ya hewa huko instagram
chanzo pia kinadokeza zoezi hilo linaratibiwa kwa karibu sana na DAB
ambaye ameoneka kuchukizwa sana na post ile
mnaonaje safari hii kijana wetu kipenzi atasalimika kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa na maneno yenye hekima kijanaAnamshtaki na ' Kubanduana ' nae au kwanini ametoa ' Siri ' yao ya ' Kubanduana ' hadharani? Mama Diamond ni Kielelezo tosha cha akina Mama baadhi ' Mapopoma / Wapumbavu ' wanaopatikana katika Jangwa la Kusini mwa Afrika.
Hv ni kwelii.na bado wanapatana sheta na dai au?Na Dai akamla mke wa Sheta
Ilitakiwa iishie kwa watoto. Sasa kuingiza mzazi tena kwenye bif la kingonongono jamani heshima iko wapi?
Tabia za Koffi OlomideHv ni kwelii.na bado wanapatana sheta na dai au?
Nasikia dai ana tabia ya kuwala hawa ma video vixen
Vita unatumia silaha yoyote ile hivi kama wewe ni mzazi halafu unasikia mtoto wako anaitwa shoga utajisikiajeIlitakiwa iishie kwa watoto. Sasa kuingiza mzazi tena kwenye bif la kingonongono jamani heshima iko wapi?
Lazima ujisikie vibaya. Lkn ugomvi wenu wawili kwanini uingize wengine? Tena mzaziVita unatumia silaha yoyote ile hivi kama wewe ni mzazi halafu unasikia mtoto wako anaitwa shoga utajisikiaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Uliyemwandika ni nani!?