cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Kuna ile watu kutamani tu.. kuongelea watu na kuandika upupwu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujinga na huyo mshauri wa sheria ni mjinga.ommy anaweza kufuta post mda wowote na kupoteza ushahidi.kwa habari zilizotufikia za chini ya kapeti inasemekana tayari pale madale wameshatafuta ushauri wa kisheria ni jinsi gani watamtia hatiani kijana pozi kwa pozi,
kwa kile kinachodaiwa ni post yake ya jana iliyochafua hali ya hewa huko instagram
chanzo pia kinadokeza zoezi hilo linaratibiwa kwa karibu sana na DAB
ambaye ameoneka kuchukizwa sana na post ile
mnaonaje safari hii kijana wetu kipenzi atasalimika kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaaa ndo madhara ya mama WA uswahilini kutwa kushindana na watoto waoDah nimeshangaa mno, kama ni kweli basi the woman is cursed...Hana tofauti na mama ubaya
Unadhani screenshot iliwekwa ya kazi gani?Ujinga na huyo mshauri wa sheria ni mjinga.ommy anaweza kufuta post mda wowote na kupoteza ushahidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
eh eh duh braza uwezo wako wa kufikiri umefikia hapo kweli mchana tochi usiku magogoUjinga na huyo mshauri wa sheria ni mjinga.ommy anaweza kufuta post mda wowote na kupoteza ushahidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani hujui mchezo wa sheria fuatilie kama kuna kesi yeyote na mtaUnadhani screenshot iliwekwa ya kazi gani?
We unafiri na kuwaza kishabiki.eh eh duh braza uwezo wako wa kufikiri umefikia hapo kweli mchana tochi usiku magogo
hamna buraza nmewaza kisheria ....unadhan wanaoshitakiwa huwa wanatembea na ushahidi kichwani...ndo maana kuna mashuhuda wa tukio na screenshot
Umeona kwa mange ubuyu wa mama daimond na mmewee kijana mdogo saizi yetu ,,na video juu wamebambwa sehrmuMmhh
My own brand!!
Ushahidi dhaifu sana eeh, sasa ngoja nikushikishe gomba au fuko la bangi nikupige picha nalo ukiwa mazingira ya kwako af nikushikishe kwa PT uone kama hawajakutoa damu.Nadhani hujui mchezo wa sheria fuatilie kama kuna kesi yeyote na mtandaoni imefaikiwa kumfunga MTU.screen short ni ushaidi dhaifu sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Soma vizuri post ya ommy kisheria hakuna tusi.kusema Yeye baba yake ni tusi na picha haina shida.kimaadili ommy kakosea ila kisheria hakuna sehemu ametukana labda kusema Mimi ni baba yako ni tusi jipya Daresalaamhamna buraza nmewaza kisheria ....unadhan wanaoshitakiwa huwa wanatembea na ushahidi kichwani...ndo maana kuna mashuhuda wa tukio na screenshot
Ujinga na huyo mshauri wa sheria ni mjinga.ommy anaweza kufuta post mda wowote na kupoteza ushahidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kafuta wapi mbona hiyo post bado ipo?Mbona alishafuta kwa kusikiliza ushauri kutoka kwa Le Mutuz. Ila kuna mengine mtu ukifuta haisaidiiiii... jiongeze uyafahamu.
Kimaadili ommy amekosea kumuhusisha mama mondi na ugomvi.ila kisheria je kwenye post ile kuna tusi lolote kisheria.je Kusema Mimi ni baba yako ni tusi.mahakamani ommy anaweza kujibu nilisema Mimi.ni baba yako nikimanisha baba yako kimziki.ni lugha ya picha.Ushahidi dhaifu sana eeh, sasa ngoja nikushikishe gomba au fuko la bangi nikupige picha nalo ukiwa mazingira ya kwako af nikushikishe kwa PT uone kama hawajakutoa damu.
Kuna ushahidi wenye nguvu zaidi ya picha.?
Hapo inamake sense sasaKimaadili ommy amekosea kumuhusisha mama mondi na ugomvi.ila kisheria je kwenye post ile kuna tusi lolote kisheria.je Kusema Mimi ni baba yako ni tusi.mahakamani ommy anaweza kujibu nilisema Mimi.ni baba yako nikimanisha baba yako kimziki.ni lugha ya picha.
Sent using Jamii Forums mobile app
We nae upo mji gani?!DAB anahusika vipi katika mambo hayo.Tupe ushahidi na utuambie anahusika vipi.Maana nishachoka na habari za umbea wa vijana wa kitanzania.
Afu kwa nini kila jamaa akitaka kutoa wimbo wanatafuta kiki kupitia chibu?