Kwani hyo mama alishawahi kuwa mwanamke mwenye heshimaHuyu mzee abdul hajawahi kuwa mwanaume mwenye heshma, imani, mipango... kusema mara mimba walitoa, mara condom ilipasuka sio maadili, pia ni wazi alikua anapuyanga ila hukuhitaji mtoto ndio maana sasa anamdhalilisha kwamba ni mtoto aliyepatikana bila kupanga
Na amewaza kuongea yote sababu sio mwanae kweli na hana uchungu wala upendo kwake
Hiyo siyo hoja!Baba wa familia hawezi ishi kwenye nyumba ya wakwe, akalalia kitanda cha wakwe, akaoga sabuni moja na wakwe.... na bado akapata nguvu za kupasua mpira. Acheni kutetea uzembe buana
Lakini Sandra kiboko, wanaume watatu kila mmoja ametimiza jukumu lake, Nyange aliweka mbegu, Abdul akatunza mimba na sasa Shamte anakula matunda.Baba wa familia hawezi ishi kwenye nyumba ya wakwe, akalalia kitanda cha wakwe, akaoga sabuni moja na wakwe.... na bado akapata nguvu za kupasua mpira. Acheni kutetea uzembe buana
Unamjua mama yake qeen aliendaga hollandNimeishi kariakoo jirani na kwa bibi yake queen baba yake alikua vizuri sana alikua Don kariakoo.... sasa baada ya Nasib kuja kuwa maarufu na kusema kwamba aliishia form3 kwa kukosa ada na nilipojua baba yake ndio baba wa queen nilishangaa kwanini hakumsomesha? Sababu uwezo uliokuwepo
Kumbe mzee baba aligoma kutoa sapota kabisaaa. Na inasemekana alipokua anaishi ukweni mambo yake hayakua mazuri ila sandra akampa sapota na alikua hajali inakotokea... mambo yake yalipoanza kunyooka wakatibuana akahama na hakuwahi toa sapota
Mzee abdul kwao mwanzoni ilikuwa pemba streetAbdul alipewa sapota na Sandra akakae kwao akiwa hayupo vizuri, hata interviews zake amekiri maisha ya tandale hayakua mazuri sana na akajigamba yeye ndio alikua baba wa hiyo familia
Mambo yalipomnyookea wakatibuana aliondoka wazima hakuwa hata kukumbuka sapota ya Sandra. Kumhifadhi mtoto wa kike kumhifadhi mwanaume wake ndani ya nyumba anayoishi na wazazi wake ni sapota ambayo wanawake wachache sana wanaweza kuitoakuitoa
Bibi yake nasib mzaa baba yake mzazi anaongea
Huyu shamte huyu huyu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lakini Sandra kiboko, wanaume watatu kila mmoja ametimiza jukumu lake, Nyange aliweka mbegu, Abdul akatunza mimba na sasa Shamte anakula matunda.
Hahaha gelofriend alimhifadhi na kumpa huduma zote za kibinadamu.... mambo mengine wacha Sandra mwenyewe aje aseme na ushahidi wa sapota alizompaHiyo siyo hoja!
Still yeye ndo alikuwa akilisha familia
Huyo sandra wako huoni yuko kimyaHahaha gelofriend alimhifadhi na kumpa huduma zote za kibinadamu.... mambo mengine wacha Sandra mwenyewe aje aseme na ushahidi wa sapota alizompa
Sandra anaenda kwa kilicho Bora kwa wakati uliopo, mambo ya kesho hayanaga uhakikaLakini Sandra kiboko, wanaume watatu kila mmoja ametimiza jukumu lake, Nyange aliweka mbegu, Abdul akatunza mimba na sasa Shamte anakula matunda.
😂😂😂Sandra anaenda kwa kilicho Bora kwa wakati uliopo, mambo ya kesho hayanaga uhakika
Wanaume mnaoishi ukweni hameni mkajitegemee, muwe na miji yenu kwa heshima ya sasa na ya baadaeHiyo siyo hoja!
Still yeye ndo alikuwa akilisha familia
Hivi wewe mrangi unajua nyumba za familia za kariakoo!?Mzee abdul kwao mwanzoni ilikuwa pemba street
Nyumba ikauzwaga kifamilia..
Mambo ya mgawo ukaja....
Aliwa support kimtindo huyo mama hawez kukubali kwani nyie wanawake mnakubaligi
Mnachofanyiwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Zaidi ya kumtia mtoto sumu
Ova
Usioe mwanamke aliebikiriwaAnasemaje Jokajeusi[emoji5][emoji5]
Hahahaaa sawa, basi na nyie vijana mtusaidie.... msiwabikiri watoto wetu kabla ya ndoaUsioe mwanamke aliebikiriwa
Hayo maandishi soma katika herufi kubwa
Kwani!?Watu mmekaa kabsa mna discuss na wengine kuanza kujifanya na huruma mnaona
Hiv mnadhan yule ricardo momo angeenda tu kujiongelea bila ya mondi kuwa na taarifa zote na kinachoendelea
Au mama dangote angeanza tu kuongea bila kumshirikisha mwanae kuhusu hilo swala
Wabongo mfike mahali na nyinyi muwe mnatumia vichwa vyenu sio mnapelekwa pelekwa kma mpira wa kona