- Thread starter
- #61
halafu eti management yake iko kimya juu ya haya na haya yatamshusha diamond na hawatoweza kuhandle Tena situationUmaarufu umekuwa mkubwa kuliko uwezo wao wa ku handle....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
halafu eti management yake iko kimya juu ya haya na haya yatamshusha diamond na hawatoweza kuhandle Tena situationUmaarufu umekuwa mkubwa kuliko uwezo wao wa ku handle....
Ni uelewa mdogo tu kubebea bango mapenzi ya watuYaani watu wanamuonea Zari gere, Wivu mpaka wanaumwa
Ndomo Atakua mwehu akiwaendekeza na kuchukua ushauri wa mama yake kwenye suala la mahusiano yake ya kimapenziMama anamtaka hamisaa,mind ana mtaka zari,hahaha mama anaona hapo hasikilizwi,mwanae kachoka kubandua bandua
ndo maisha yao!Mama hana busara wala nia njema na mwanae
Nikuendekeza ujinga na kukosa busaraTatizo maisha aliyopitia ninaiman siyo
Unamcheka mama mond[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
..hii ndo tatizo la familia nzima kumtegemea Mtu mmoja, simjui Zari wala Mama mond! Mond ndo Mtu pekee wa kulimaliza tatizo.. nilichojifunza ni kwamba unaweza kuipigania Sana familia kuwa sehemu flani toka kwenye ufukara, bt wakisha kula, kusaza na kulewa watakushusha bila kituo hata Kama vipo vya mwendo Kasi.. dai Pia Ana shida hapa, alishauriwa hakusikia... Labda bi mkubwa Pia amemfanya mwanae chuma ulete!.. maana Kuna sehemu anajisifu yeye wa kigoma!?..dai kuwa makini Dogo, ndo changamoto za maisha yetu.. shikamana na Zari Kama kweli unampenda hasa kwa wakati huu, the Rest is just bull-shit!Mkuu mfuatilie inst. Mama niwe wazi kwa maadili Yale angenizaa ningemkana mswahili hatari , na Nadhani akina diamond Ni tabularassa familia nzima
Kwanza dai mwenyew amelike post moja ambayo mama ake alikua anachambukwa tena kwa matusi****** halafu eti management yake iko kimya juu ya haya na haya yatamshusha diamond na hawatoweza kuhandle Tena situation
Itupie hapa mkuu maana dai mwenyewe kamchoka bimdashKwanza dai mwenyew amelike post moja ambayo mama ake alikua anachambukwa tena kwa matusi
Itupie hapa mkuu maana dai mwenyewe kamchoka bimdash
Haaaa haaaa ilikuwaje jamani??Hii management ya Diamond imeshindwa kuzuia hii shida-kadri siku zinavyoenda its becoming worse,huyu mama akubaliane na hali halisi-sijui nani alimfundisha hizi social website-aangalie sana Adebayo the footballer yalimkuta kama haya ikabidi autangazie ulimwengu kwamba mama yake ni mchawi
Uko sahihi mkuu mama yule Ni kijipu uchungu cha matakoni
Unakuta kiko tako la kushoto cha ajabu na la kulia linaumaUmenikumbusha vinavyoumaga mkuu khaa