Mama Diamond utafikiri yeye ndiye ana mtoto wa kiume peke yake Tanzania


Atamuachaje?? Wakati yeye anataka kuonekana ana date na msanii mkubwa East Africa.
 
Unanioa lini kiben 10 wako
 
Kwa akili hizo, sishangai kusikia Omari Nyembo akisema chochote.... tehteehhh[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Ungem-dm insta ingependeza zaidi
 
Hahahahahahaha......ila umeandika kihisia, mtu angekuletea huyo maza nahisi unaweza kumpiga makofi hadi uuwe
 
Mama ni katibu wa propaganda na uenezi hapo wasafi yeye anahakikisha kiki kupitia familia inatengenezwa
 
Na mimi nitamwambia mama angu aanze kuvata bangi,mama mvuta bangi ameweza kumfanya mwanawe afanikiwe kimaisha,mimi mama angu kutwa kucha kusai hapa nilipo nauza machungwa pembeni ya barabara..
Kafanyaje mpaka kafanikiwa?dai kafanikiwa mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…