Mama Diamond utafikiri yeye ndiye ana mtoto wa kiume peke yake Tanzania

Mama Diamond utafikiri yeye ndiye ana mtoto wa kiume peke yake Tanzania

Hamisa sijui kwa nini anasumbuka na huyu mchafuzi. Mie naomba kuuliza ni pesa au mapenzi maana dah
Hamisa you are beautiful achana na uswahili tunza watoto wako jenga maisha yako jitunze. Yupo mwanaume aliyeumbwa kwa ajili yako sio mondi na ukoo wake 'malimbukeni'
You can do better than huu ugoro

Atamuachaje?? Wakati yeye anataka kuonekana ana date na msanii mkubwa East Africa.
 
Huyu mama sijui yupoje mbona ye kaolewa na kibenten tena alijitolea mahali na harusi akajigharamia,,kuolewa na miaka 50 vepeee,
We mama kitulize kimdomo chako hiko ukiona wanawake wa daimond wanafaidi ingia wewe ,ungepata mkwe kama mim ungenitambua yaan ungekuwa unalia kila siku maana huna adabu ,, ,umekutana na mama mobeto mpole tu nisingekuacha ningekufanya usiku hulali unaniwaza tu.. maana una mdomo we mama waige kina mama Kiba basi,,
Siku Daimond akiwa hayupo sijui mtaongelea hiyo midomo wapi,sijui utagombana na nani,mama unawajua wanawake wote wa mwanao ,kati ya mama mbovu kimaadili kwa Tanzania unaongoza aisee

Wengine mngeacha kufunga tu mnashinda njaa kabisa kulenii tu hasa mama dangote na esma View attachment 794274

Na hivi leo sijashiba futari vizurii atakaenichamba tu namchambua mpaka maini na figo shubamiiit
Unanioa lini kiben 10 wako
 
Kwa akili hizo, sishangai kusikia Omari Nyembo akisema chochote.... tehteehhh[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Huyu mama sijui yupoje mbona ye kaolewa na kibenten tena alijitolea mahali na harusi akajigharamia,,kuolewa na miaka 50 vepeee,
We mama kitulize kimdomo chako hiko ukiona wanawake wa daimond wanafaidi ingia wewe ,ungepata mkwe kama mim ungenitambua yaan ungekuwa unalia kila siku maana huna adabu ,, ,umekutana na mama mobeto mpole tu nisingekuacha ningekufanya usiku hulali unaniwaza tu.. maana una mdomo we mama waige kina mama Kiba basi,,
Siku Daimond akiwa hayupo sijui mtaongelea hiyo midomo wapi,sijui utagombana na nani,mama unawajua wanawake wote wa mwanao ,kati ya mama mbovu kimaadili kwa Tanzania unaongoza aisee

Wengine mngeacha kufunga tu mnashinda njaa kabisa kulenii tu hasa mama dangote na esma View attachment 794274

Na hivi leo sijashiba futari vizurii atakaenichamba tu namchambua mpaka maini na figo shubamiiit
Ungem-dm insta ingependeza zaidi
 
Huyu mama sijui yupoje mbona ye kaolewa na kibenten tena alijitolea mahali na harusi akajigharamia,, kuolewa na miaka 50 vepeee

We mama tuliza mdomo. Ungepata mkwe kama mim ungenitambua yaan ungekuwa unalia kila siku maana huna adabu ,,umekutana na mama mobeto mpole tu nisingekuacha ningekufanya usiku hulali unaniwaza tu.. maana una mdomo we mama waige kina mama Kiba basi

Siku Daimond akiwa hayupo sijui mtaongelea hiyo midomo wapi, sijui utagombana na nani, mama unawajua wanawake wote wa mwanao

Wengine mngeacha kufunga tu mnashinda njaa kabisa kulenii tu hasa mama dangote na esma

View attachment 794274
Hahahahahahaha......ila umeandika kihisia, mtu angekuletea huyo maza nahisi unaweza kumpiga makofi hadi uuwe
 
Mama ni katibu wa propaganda na uenezi hapo wasafi yeye anahakikisha kiki kupitia familia inatengenezwa
 
Na mimi nitamwambia mama angu aanze kuvata bangi,mama mvuta bangi ameweza kumfanya mwanawe afanikiwe kimaisha,mimi mama angu kutwa kucha kusai hapa nilipo nauza machungwa pembeni ya barabara..
Kafanyaje mpaka kafanikiwa?dai kafanikiwa mwenyewe
 
Back
Top Bottom