Low Battery
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 210
- 124
Umaarufu tabu kweli..!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuzaa limekua jambo la aibu mkuu?Diamond alifanya makossa makubwa kuruhusu mama kutumia umaharufu wake kujipatia umaharufu na yeye. Sasa angalia aibu hii, Diamond azae, mama nae azae shame!
Aiseee!Mama mondi ni kicheche tu, wakati anasimamia ujenzi wa nyumba ya mondi madale kuna fundi ujenzi mmoja alikua anambandua na kuna cku alimbinua ndani ya pagala wakati mafundi wengine wako nje wanasikilizia miguno!
Duuuuu aibu naona mimi.....Kwakweli
Itakuwa ya Ommy vishimo hiyo!
Haya Mondi mwite Baba Dimpoz!
Jamani, kwani hagongeki?? Kama Mondi anadinya watoto wa watu na yeye Mondi alipotokea lazima padinywe.
Duuuuu aibu naona mimi.....Kwakweli
Kama namuona anavyonyonya KONI
[emoji39] [emoji39] [emoji39] Inteligensia yangu inaniambia wewe ndo fundi, hongera mkuu ulifaidi hawa wahenga watamu sana![emoji1]Mama mondi ni kicheche tu, wakati anasimamia ujenzi wa nyumba ya mondi madale kuna fundi ujenzi mmoja alikua anambandua na kuna cku alimbinua ndani ya pagala wakati mafundi wengine wako nje wanasikilizia miguno!
Mkuu mbona povu,umeguswa nini au ni team Mond?Umeombwa matumizi?
Kama haushangai hili ipo siku utaliruhusu kwenye familia/ukoo wenu,ila kwa maadili ya kitanzania na Afrika kwa ujumla ni aibu kubwa,pil ni aibu Mama mwenye umri kama huo kutembea na vijana wadogo tena bila hofu na kujitangaza ndani ya jamii,kujiweka kwenye makundi ya vijana mtandaon na kuanza kutuma jumbe za kihuni huni hata kuzungumza pia,hayo yanafanywa na Mama yaliyoshindikana tu.Mbona mama zenu wameolewa na wanapigwa?? Kwan yy hana hamu ya kudunywa ingekua ni jambo la aibu basi Mungu asingelihalarisha
Hahaahhaa mkuuIla kuzaa kwa mwanamke ni haki yake ya msingi, kuna wengi wanangaika kuipata ata iyo mimba, inashindikan,... Mungu alisema zaeni muongezeke, hongera mama dagonte!