Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mimi nilihisi hivyo anataka watu wapate cha kusemaAnawachezea akili...si anajua mnapenda udaku...[emoji3][emoji3][emoji3]
Unapomtaja Mungu ktk dhambi kumbuka aliweka pia utaratibu.Ila kuzaa kwa mwanamke ni haki yake ya msingi, kuna wengi wanangaika kuipata ata iyo mimba, inashindikan,... Mungu alisema zaeni muongezeke, hongera mama dagonte!
mshikaji yupi hebu nitajie inbooboo hahhaaaaMama anadinywa live na mshikaji nimewahi kumuona zaidi ya mara mbili jamaa anapiga kinanda
Mkuu kuna kitu umesema hapa ....wanaotaka kumtumia ili wawe karibu.......Kwani ana umri gani huyu mama? Kama umri wake bado unamuwezesha kupata ujauzito na kujifungua salama sioni tatizo la yeye kupata mimba na kujifungua mtoto mjukuu. Ila natumai haruki huku na kule kwa njemba wanaotaka kumtumia ili wawe karibu na mwanae.
Hivi NDOA na MIMBA kipi kinaanza?huyu mama ni LIMBUKENI,,,miaka 48 bado unatafunwa hovyo,,,tena bila NDOA,,laana ya MZEE ABDUL itamtafuna yeye na mwanae
Kweli kabisa mbona watu kibao mama zao bado wanaishi na waume zao..kwa umri gami hasa wakumzuia asiwe na mumeTatizo nini hasa? anasema ameolewa, na ana uja uzito, tatizo nini? Kuwa na mtoto maarufu hakumzuii mama kuendesha maisha yake. mama mwenyewe aonyesha bado umri unamruhusu mwacheni aendeshe maisha yake
Kwani si ameshasema kaolewa au??Hakuna dhambi ya kuzaa, ila ni aibu kama umepita umri wa kuzaa. Huyu si wakushindana na Zari kubeba mimba, bora angekuwa katika ndoa ilikuwa aina shida. Tafsiri yake inaonekana mama malaya
Diamond alifanya makossa makubwa kuruhusu mama kutumia umaharufu wake kujipatia umaharufu na yeye. Sasa angalia aibu hii, Diamond azae, mama nae azae shame!
Ebu kaa kimya kwa kua hajakukuta,.. Ukiwa gumba utajua thamani ya mtoto, mtoto ni baraka sio laanaUnapomtaja Mungu ktk dhambi kumbuka aliweka pia utaratibu.