Mama Erick Kabendera ni aina ya wamama adimu sana, wanawake wenye maono makubwa

Mama Erick Kabendera ni aina ya wamama adimu sana, wanawake wenye maono makubwa

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Erick Kabendera anasema mama yake alikuwa mwalimu wa enzi za ukoloni na ndiye aliyemfundisha yeye na kumpa ujuzi mwingi wa Kingereza, Historia na Uandishi. Anasema nyumbani kwao kulikuwa na maktaba kubwa ambapo walikuwa wanasoma vitabu vingi sana pamoja na mama yake.

Kabendera anasema hata wakati anakamatwa walikuwa wanajadili Historia ya mataifa ya maziwa makuu na mama yake mwenye miaka 80! Alimpomtembelea mahakamani alihuzunika sana jinsi watu walivyokuwa wananyang'anya haki zao na watu wengine wako kimya tu.

Anasema wakati wa vitu kuu ya pili ya dunia mama yake alitaka kwenda kusoma nje ya Kagera lakini kulikuwa na amri ya wakoloni kuwazuia wanawake wasitoke ndani ya Kagera kwasababu walikuwa wanatorokea Nairobi ambapo inadaiwa walikuwa wanaenda kujiuza na kurudi na magonjws, mama yake na mwanamke mwingine waliandamana kwa mkuu wa wilaya kupinga amri iliyowazuia wanawake wa Kagera kusafiri nje ya Kagera na wakaruhusiwa kusafiri.

Hakika Kabendera alipata mama bora, labda ndio maana inaonekana hana viashiria vya Utanzania. Wamama wengine wa kibongo kipaumbele kwa watoto wao ni kwa Mwamposa, Sunday School, mafundisho ya komunio au Madrasa na wa kike kuolewa. Sifa kubwa ya wamama wengi wa kibongo wakielezewa na watoto wao ni wacha mungu na waliowafundisha maadili. Mama yake Kabendera aliamua kumnoa mwanae katika elimu dunia.
 
Erick Kabendera anasema mama yake alikuwa mwalimu wa enzi za ukolini na ndiye aliyemfundisha yeye na kumpa ujuzi mwingi wa Kingereza, Historia na Uandishi. Anasema nyumbani kwao kulikuwa na maktaba kubwa ambapo walikuwa wanasoma vitabu vingi sana pamoja na mama yake.

Kabendera anasema hata wakati anakamatwa walikuwa wanajadili Historia ya mataifa ya maziwa makuu na mama yake mwenye miaka 80!

Hakika Kabendera alipata mama bora, labda ndio maana inaonekana hana viashiria vya Utanzania wamama wengine wa kibongo kipaumbele kwa watoto wao ni kwa Mwamposa, Sunday School, mafundisho ya komunio au Madrasa na wa kike kuolewa. Sifa kubwa ya wamama wengi wa kibongo wakielezewa na watoto wao ni wacha mungu na waliowafundisha maadili.
Nimemsikia, nimeguswa!。 Inawezekana kabisa machozi ya mama huyu yalichangia kuharakisha karma ya Blaza!。 Kama Blaza angefuata ushauri huu,Personal Plea Kwa Rais Magufuli: Kama ameweza kuwasamehe wabakaji, wauaji, mafisadi, wahujumu, anaweza pia kumsamehe Eric Kabendera, amzike mama yake
labda saa hizi angekuwepo!。
P
 
Erick Kabendera anasema mama yake alikuwa mwalimu wa enzi za ukolini na ndiye aliyemfundisha yeye na kumpa ujuzi mwingi wa Kingereza, Historia na Uandishi. Anasema nyumbani kwao kulikuwa na maktaba kubwa ambapo walikuwa wanasoma vitabu vingi sana pamoja na mama yake.

Kabendera anasema hata wakati anakamatwa walikuwa wanajadili Historia ya mataifa ya maziwa makuu na mama yake mwenye miaka 80!

Hakika Kabendera alipata mama bora, labda ndio maana inaonekana hana viashiria vya Utanzania wamama wengine wa kibongo kipaumbele kwa watoto wao ni kwa Mwamposa, Sunday School, mafundisho ya komunio au Madrasa na wa kike kuolewa. Sifa kubwa ya wamama wengi wa kibongo wakielezewa na watoto wao ni wacha mungu na waliowafundisha maadili.
Angelimlea vizuri leo asingelikuwa mkimbizi. Ebu niambie ni mkimbizi gani ana maisha bora? Mamaake ndiye alimharibu maana mkimbizi haaminiki nyumbani alikotoka na hata huko alikokimbilia.
 
Erick Kabendera anasema mama yake alikuwa mwalimu wa enzi za ukolini na ndiye aliyemfundisha yeye na kumpa ujuzi mwingi wa Kingereza, Historia na Uandishi. Anasema nyumbani kwao kulikuwa na maktaba kubwa ambapo walikuwa wanasoma vitabu vingi sana pamoja na mama yake.

Kabendera anasema hata wakati anakamatwa walikuwa wanajadili Historia ya mataifa ya maziwa makuu na mama yake mwenye miaka 80! Alimpomtembelea mahakamani alihuzinika jinsi watu walivyokuwa wananyang'anya haki zao na watu wengine wako kimya tu.

Hakika Kabendera alipata mama bora, labda ndio maana inaonekana hana viashiria vya Utanzania wamama wengine wa kibongo kipaumbele kwa watoto wao ni kwa Mwamposa, Sunday School, mafundisho ya komunio au Madrasa na wa kike kuolewa. Sifa kubwa ya wamama wengi wa kibongo wakielezewa na watoto wao ni wacha mungu na waliowafundisha maadili.
Ilikuaje akaingia kwenye 18 za mtu wa haki mwamba JPM?
 
Trauma ya Kabendera ni anticipated kumpoteza mama yake.

But then you reap what you sow; serikali aijui kama una muuguza mama yako kipenzi au la. Hasa pale unapoichafua kwa malipo ya wazungu.
 
Nimemsikia, nimeguswa!。 Inawezekana kabisa machozi ya mama huyu yalichangia kuharakisha karma ya Blaza!。 Kama Blaza angefuata ushauri huu,Personal Plea Kwa Rais Magufuli: Kama ameweza kuwasamehe wabakaji, wauaji, mafisadi, wahujumu, anaweza pia kumsamehe Eric Kabendera, amzike mama yake
labda saa hizi angekuwepo!。
P
taarifa zilizozagaa zilionesha wewe ndo ulinyetisha neno kaflag kutoka gazeti la uingereza la economy kwenda viungani ikulu..kwamba mwenye jinal kaflag ..ni yeye ...zakweli hizo
 
Erick Kabendera anasema mama yake alikuwa mwalimu wa enzi za ukolini na ndiye aliyemfundisha yeye na kumpa ujuzi mwingi wa Kingereza, Historia na Uandishi. Anasema nyumbani kwao kulikuwa na maktaba kubwa ambapo walikuwa wanasoma vitabu vingi sana pamoja na mama yake.

Kabendera anasema hata wakati anakamatwa walikuwa wanajadili Historia ya mataifa ya maziwa makuu na mama yake mwenye miaka 80! Alimpomtembelea mahakamani alihuzinika jinsi watu walivyokuwa wananyang'anya haki zao na watu wengine wako kimya tu.

Hakika Kabendera alipata mama bora, labda ndio maana inaonekana hana viashiria vya Utanzania wamama wengine wa kibongo kipaumbele kwa watoto wao ni kwa Mwamposa, Sunday School, mafundisho ya komunio au Madrasa na wa kike kuolewa. Sifa kubwa ya wamama wengi wa kibongo wakielezewa na watoto wao ni wacha mungu na waliowafundisha maadili.
Wako jee maana umekadhania shobo kwa mama wa mwenzio!
 
Erick Kabendera anasema mama yake alikuwa mwalimu wa enzi za ukolini na ndiye aliyemfundisha yeye na kumpa ujuzi mwingi wa Kingereza, Historia na Uandishi. Anasema nyumbani kwao kulikuwa na maktaba kubwa ambapo walikuwa wanasoma vitabu vingi sana pamoja na mama yake.

Kabendera anasema hata wakati anakamatwa walikuwa wanajadili Historia ya mataifa ya maziwa makuu na mama yake mwenye miaka 80! Alimpomtembelea mahakamani alihuzinika jinsi watu walivyokuwa wananyang'anya haki zao na watu wengine wako kimya tu.

Anasema wakati wa vitu kuu ya pili ya dunia mama yake alitaka kwenda kusoma nje ya Kagera lakini kulikuwa na amri ya wakokini kuwazuia wanawake wasitoke ndani ya Kagera kwasababu walikuwa wanatorokea Nairobi ambapo inadaiwa walikiwa wanaenda kujiuza, Yeye na mwanamke mwingine waliandamana kwa mkuu wa wilaya kupinga amri iliyowazuia wanawake wa Kagera kusafiri nje ya Kagera na wakaruhusiwa kusafiri.

Hakika Kabendera alipata mama bora, labda ndio maana inaonekana hana viashiria vya Utanzania wamama wengine wa kibongo kipaumbele kwa watoto wao ni kwa Mwamposa, Sunday School, mafundisho ya komunio au Madrasa na wa kike kuolewa. Sifa kubwa ya wamama wengi wa kibongo wakielezewa na watoto wao ni wacha mungu na waliowafundisha maadili.
Katika mambo yaliyonifanya nimchukie kabisa Magufuli ni ile video ya Mama Kabendera akilia kumuombea msamaha mwanaye, nililia mno!

Mama Kabendera apumzike kwa amani, kijana hodari aliyemlea vyema anaushangaza ulimwengu hii leo.
 
Katika mambo yaliyonifanya nimchukie kabisa Magufuli ni ile video ya Mama Kabendera akilia kumuombea msamaha mwanaye, nililia mno!

Mama Kabendera apumzike kwa amani, kijana hodari aliyemlea vyema anaushangaza ulimwengu hii leo.
Kwa kweli ile video ilikuwa ya kuhuzunisha sana.
 
Katika mambo yaliyonifanya nimchukie kabisa Magufuli ni ile video ya Mama Kabendera akilia kumuombea msamaha mwanaye, nililia mno!

Mama Kabendera apumzike kwa amani, kijana hodari aliyemlea vyema anaushangaza ulimwengu hii leo.
Ndio uwafundishe watoto wako wasiuze utu wao kwa malipo.

Maandishi ya uongo anayoandika Kabendera leo, ndio aina ya uongo huo huo uliomletea shida huko nyuma.

Halafu unaitungia uongo nchi kwenye magazeti yanayosomwa na potential investors, ukishirikiana na mafisadi yatengeneze story za kumchafua raisi wa nchi.
 
Erick Kabendera anasema mama yake alikuwa mwalimu wa enzi za ukolini na ndiye aliyemfundisha yeye na kumpa ujuzi mwingi wa Kingereza, Historia na Uandishi. Anasema nyumbani kwao kulikuwa na maktaba kubwa ambapo walikuwa wanasoma vitabu vingi sana pamoja na mama yake.

Kabendera anasema hata wakati anakamatwa walikuwa wanajadili Historia ya mataifa ya maziwa makuu na mama yake mwenye miaka 80! Alimpomtembelea mahakamani alihuzinika jinsi watu walivyokuwa wananyang'anya haki zao na watu wengine wako kimya tu.

Anasema wakati wa vitu kuu ya pili ya dunia mama yake alitaka kwenda kusoma nje ya Kagera lakini kulikuwa na amri ya wakokini kuwazuia wanawake wasitoke ndani ya Kagera kwasababu walikuwa wanatorokea Nairobi ambapo inadaiwa walikiwa wanaenda kujiuza, Yeye na mwanamke mwingine waliandamana kwa mkuu wa wilaya kupinga amri iliyowazuia wanawake wa Kagera kusafiri nje ya Kagera na wakaruhusiwa kusafiri.

Hakika Kabendera alipata mama bora, labda ndio maana inaonekana hana viashiria vya Utanzania wamama wengine wa kibongo kipaumbele kwa watoto wao ni kwa Mwamposa, Sunday School, mafundisho ya komunio au Madrasa na wa kike kuolewa. Sifa kubwa ya wamama wengi wa kibongo wakielezewa na watoto wao ni wacha mungu na waliowafundisha maadili.
Unakwama sana kuchanganya mambo ya kiroho na kimwili punguza chuki kwa wanaoamin mambo ya rohoni kuptia mtu fulani hao wana changamoto ambazo wanaamin znatatulika kiroho huko kwa mwamposa wewe si kweli kwamba una akili kushnda watu wote wanaoenda pale wengne ni matajiri kwao ww ni kapuku tu wengne ni wasomi wakubwa kwao ww ni kilaza tu
 
Angelimlea vizuri leo asingelikuwa mkimbizi. Ebu niambie ni mkimbizi gani ana maisha bora? Mamaake ndiye alimharibu maana mkimbizi haaminiki nyumbani alikotoka na hata huko alikokimbilia.
Amekuwa mkimbizi sababu nchi aliyokuwepo hawapendi ukweli, mama alimlea mwanae katika ukweli na haki ambalo ni kosa lililompelekea mwanaye kesi na kushikiliwa kinyume cha haki.

Mama Kabendera ni mfano kwetu sisi wanawake, tunapaswa kuwalea watoto wetu kama alivyomlea mwanaye Eric ili kuleta mageuzi ya fikra kwa vizazi vijavyo.
 
Kwa kweli ile video ilikuwa ya kuhuzunisha sana.
Nililia sana, sana! Na taarifa za msiba wake zilipokuja nililia zaidi.

Lakini Mungu alisimama akaamua kwa haki, the rest is history.
 
Erick Kabendera anasema mama yake alikuwa mwalimu wa enzi za ukoloni na ndiye aliyemfundisha yeye na kumpa ujuzi mwingi wa Kingereza, Historia na Uandishi. Anasema nyumbani kwao kulikuwa na maktaba kubwa ambapo walikuwa wanasoma vitabu vingi sana pamoja na mama yake.

Kabendera anasema hata wakati anakamatwa walikuwa wanajadili Historia ya mataifa ya maziwa makuu na mama yake mwenye miaka 80! Alimpomtembelea mahakamani alihuzunika sana jinsi watu walivyokuwa wananyang'anya haki zao na watu wengine wako kimya tu.

Anasema wakati wa vitu kuu ya pili ya dunia mama yake alitaka kwenda kusoma nje ya Kagera lakini kulikuwa na amri ya wakokini kuwazuia wanawake wasitoke ndani ya Kagera kwasababu walikuwa wanatorokea Nairobi ambapo inadaiwa walikiwa wanaenda kujiuza, Yeye na mwanamke mwingine waliandamana kwa mkuu wa wilaya kupinga amri iliyowazuia wanawake wa Kagera kusafiri nje ya Kagera na wakaruhusiwa kusafiri.

Hakika Kabendera alipata mama bora, labda ndio maana inaonekana hana viashiria vya Utanzania wamama wengine wa kibongo kipaumbele kwa watoto wao ni kwa Mwamposa, Sunday School, mafundisho ya komunio au Madrasa na wa kike kuolewa. Sifa kubwa ya wamama wengi wa kibongo wakielezewa na watoto wao ni wacha mungu na waliowafundisha maadili. Mama yake Kabendera aliamua kumnoa mwanae katika elimu dunia.
Huyo kilaza na mama yake walikuwa wanajadili historia yao ya kutokea Rwanda na viapo vyao vya kutumikia Taifa la Rwanda
 
Back
Top Bottom