Ualimu ni wito , mpira ni biashara.hivi Mil. 4 kumbe ni ndogo sana kw wengine. Mmeshawahi kuuiliza walimu wanaalipwa shilingi ngapi?
Suala kusomesha wadogo zake inahusika nini na club? Huo ni uamuzi wake na mipango yake.
Alikuwa anahonga mshahara wote, lazima ale ugali sukariMama wa kiungo wa Yanga SC Feisali Salum amezidi kutema nyongo kuhusu maisha ya kiungo huyo akiwa kwenye klabu hiyo ya Jangwani/Twiga.
π Kumbe Feitoto amewahi kula Ugali na sukari akiwa Yanga SC
π Kumbe Feitoto alfika hatua anakwenda kazini (mazoezini) na bodaboda.
π Kumbe Feitoto akiwa Yanga alikuwa bado anaomba hela ya kula home! Huo mshahara alikuwa anapata kweli?
Angalia video zote 2 umsikie Bi-maza akielezea mambo machache kati ya mengi.
Leo ndiyo marejeo ya shauri la Feisali Vs Yanga SC pale Karume zilipo ofisi za TFF majira ya saa 4 asubuhi hii.
NB: Wale waliongea na wapenzi na mashabiki wa Yanga pale Mbagala Zakhiem wakatoa ahadi ya marejeo ya klabuni waliongea na nani?
Huku ni kutafuta huruma tu ya Taifa sasa.Tatizo umeongea kishabiki sana we kolo..!! Wa kulipwa 4M, kula ugali na sukari ni hamu zake tu zimempeleka huko..!!! Unajua walimu wanalipwa shilingi ngapi na hawali ugali kwa sukari?
KUomba hela home labda ubahili wake tu. Maana huwezi kuwa unalipwa 4M na mzazi unajua kuwa mwanao analipwa 4M ukakaa kimya. Huyo mzazi naye inawezekana ana changamoto ywenye kulea.
Wa kulipwa 4M kupanda bodaboda ni kujitakia.
Nakazia, anayoongea hayaingii akilini hata kidgoJapo simba damu ila hapa kuna walakini, kuna namna inatafutwa huruma hapa, maana haingii akilini hata kidogo..
Mmoja anapanda Bodaboda Ni Tajiri mwingine ni Mimi na weweMo mwenyewe anapanda bodaboda,nae mbona hashangawi
Yanga hawamuhitaji bali aondoke kwa kufuata utaratibu Kama Kuna timu inamuhitaji inatakiwa kukaa mezani na yanga.sio kienyeji hivyoInavyoonekana Yanga wanamhitaji, yeye awahitaji.
Mtu anapata hela ya kununua sukari anashundwa kununua mchicha, tembele, sukuma wiki, dagaa?Kama Feisal alikua anakula ugali na sukari nadhani Clement mzize, zawadi mauya, Davidi Bryson, Ngushi, kubwana, job, mwamnyeto Hawa watakua wanakula Ugali na Colgate
Yanga wanapika menu ya ugali na sukari, aisee watu waongo acheni.Mama wa kiungo wa Yanga SC Feisali Salum amezidi kutema nyongo kuhusu maisha ya kiungo huyo akiwa kwenye klabu hiyo ya Jangwani/Twiga.
π Kumbe Feitoto amewahi kula Ugali na sukari akiwa Yanga SC
π Kumbe Feitoto alfika hatua anakwenda kazini (mazoezini) na bodaboda.
π Kumbe Feitoto akiwa Yanga alikuwa bado anaomba hela ya kula home! Huo mshahara alikuwa anapata kweli?
Angalia video zote 2 umsikie Bi-maza akielezea mambo machache kati ya mengi.
Leo ndiyo marejeo ya shauri la Feisali Vs Yanga SC pale Karume zilipo ofisi za TFF majira ya saa 4 asubuhi hii.
NB: Wale waliongea na wapenzi na mashabiki wa Yanga pale Mbagala Zakhiem wakatoa ahadi ya marejeo ya klabuni waliongea na nani?
We acha tu ni mauzauza tu, kulishwa maneno huko na bush lawyers akina Jemedari Said Kazumari mbwiga wa mbwiga.Mtu anapata hela ya kununua sukari anashundwa kununua mchicha, tembele, sukuma wiki, dagaa?
kama hawaitaji alisaini vipi mkatabaInavyoonekana Yanga wanamhitaji, yeye awahitaji.
Gadiel hata alipwe milioni 2 au 4 ni sawa tu, toka aje Simba SC hajawahi kuwa kikosi cha kwanza ameshindwa kumchallenge Tshabalala.Gadiel Michael analipwa sh ngapi?
Tatizo umeongea kishabiki sana we kolo..!! Wa kulipwa 4M, kula ugali na sukari ni hamu zake tu zimempeleka huko..!!! Unajua walimu wanalipwa shilingi ngapi na hawali ugali kwa sukari?
KUomba hela home labda ubahili wake tu. Maana huwezi kuwa unalipwa 4M na mzazi unajua kuwa mwanao analipwa 4M ukakaa kimya. Huyo mzazi naye inawezekana ana changamoto ywenye kulea.
Wa kulipwa 4M kupanda bodaboda ni kujitakia.
Ukizungumzia mchango wa myu na mshahara walimu, mapolisi na madaktari watakupiga mawe,
Kwa mchango wake anastahili kulipwa m4? Wakati unajibu kumbuka kuwa viongozi wa YANGA sio YANGA ili kujiepusha na ibada.
Wengi wanaangalia figure..!! Mtu ametoka kwenye kulipwa Tshs. 1,200,000/- kama gross pay, huyo akipata sehemu nyingine na kupewa mkataba unaosema atalipwa Tshs 3,000,000/- kama gross pay, nina uhakika kuna vupengere vya mkataba hatavisoma. Baada ya muda wa kuuzowea mshahara kufika, ataanza kelele za kuongezwa mshahara bila hata kufuata taratibu husika.Wabongo wengi hawazingatii mikataba. Sasa kuhudumia yatima kunahusiana vipi na Yanga. Hayo ni mambo yake mshahara hauongezeki kisa anayelipwa ana majuku sijui ya familia sijui nini.
Angesubiri amalize mkataba wakati wa kurenew anegotiate upya
Haya maneno unayakumbuka ni ya nani?Yanga hawamuhitaji