Sisi ni wale wanaume tunaopenda kuona kipaji kikimnufaisha mwenye kipaji hata uzeeni.Nyie ndiyo wanaume mkiachishwa kazi, mnakuja kulia lia humu.
Huyu kaka ni mwanaume wa shoka. Hachagui kazi wala kitu cha kufanya.
Mnamfanya kama kumdhalilisha, ila ni bonge moja la mwanaume, popote ataishi.
Nenda kanisemee kwa mods. Halafu sijaedit, nimefuta maneno yako yasiyo na hoja wangu na kuacha lenye hoja. KUSHANGILIA MATATIZO YA MWINGINE.Acha tabia ya ku-edit post za watu.
Huyo Fei nani alimwambia huwa ugali unaliwa na sukari?
Yaani mtu kaamua kupambana na maisha jinsi yanavyokuja, yeye anamdhalilisha kwa kuona anachokifanya ni bure. Watu kama hawa akina Tsh wakipigwa na maisha wanarudi kwa wazazi, badala ya kupambana.Nyie ndiyo wanaume mkiachishwa kazi, mnakuja kulia lia humu.
Huyu kaka ni mwanaume wa shoka. Hachagui kazi wala kitu cha kufanya.
Mnamfanya kama kumdhalilisha, ila ni bonge moja la mwanaume, popote ataishi.
Unajitahidi kujificha ili usionekane ukishangilia ila unaonekana.Yaani mtu kaamua kupambana na maisha jinsi yanavyokuja, yeye anamdhalilisha kwa kuona anachokifanya ni bure. Watu kama hawa akina Tsh wakipigwa na maisha wanarudi kwa wazazi, badala ya kupambana.
Mama wa kiungo wa Yanga SC Feisali Salum amezidi kutema nyongo kuhusu maisha ya kiungo huyo akiwa kwenye klabu hiyo ya Jangwani/Twiga.
π Kumbe Feitoto amewahi kula Ugali na sukari akiwa Yanga SC
π Kumbe Feitoto alfika hatua anakwenda kazini (mazoezini) na bodaboda.
π Kumbe Feitoto akiwa Yanga alikuwa bado anaomba hela ya kula home! Huo mshahara alikuwa anapata kweli?
Angalia video zote 2 umsikie Bi-maza akielezea mambo machache kati ya mengi.
Leo ndiyo marejeo ya shauri la Feisali Vs Yanga SC pale Karume zilipo ofisi za TFF majira ya saa 4 asubuhi hii.
NB: Wale waliongea na wapenzi na mashabiki wa Yanga pale Mbagala Zakhiem wakatoa ahadi ya marejeo ya klabuni waliongea na nani?
Post za wote zisomeke kam azilivyoandikwa . Si u-edit uweke unavyotaka wewe wakati wewe si mtuma post. Post unazotuma wewe andika unavyotakaIkishakuwa public ni post za wote. Nenda kanisemee kwa mods ili warekebishe.
Sijaedit, nimedeleat maneno yasiyo na maana kwenye hoja ninayotaka uione na kuacha neno lenye maana. "KUSHANGILIA"Post za wote zisomeke kam azilivyoandikwa . Si u-edit uweke unavyotaka wewe wakati wewe si mtuma post. Post unazotuma wewe andika unavyotaka
CC TshHuyo Fei nani alimwambia huwa ugali unaliwa na sukari?
Alitakiwa ale ugali kwa chumvi, 4m alikuwa akihonga?
Hivi unajua maana ya ku-edit? Ku-delete ni one of the actions za ku-edit. Unapo-edit, unaweza ukafuta, ukabadili maneno etc, ilimradi yabebe maana ile ile.Sijaedit, nimedeleat maneno yasiyo na maana kwenye hoja ninayotaka uione na kuacha neno lenye maana. "KUSHANGILIA"
Kujiwekea akiba na kutumia ela kwa nidhamu, sio sehemu ya wajibu wa muajiri bali mwajiriwa anapaswa yeye mwenyewe kuiandaa kesho yake baada ya kutoka pale alipo.Sisi ni wale wanaume tunaopenda kuona kipaji kikimnufaisha mwenye kipaji hata uzeeni.
Unahama. Hoja sio ugali na mboga anayotumia. Hoja ni wewe kushangilia kufeli kwake.
Akiba ni baada ya kupata maslahi.Kujiwekea akiba na kutumia ela kwa nidhamu, sio sehemu ya wajibu wa muajiri bali mwajiriwa anapaswa yeye mwenyewe kuiandaa kesho yake baada ya kutoka pale alipo.
Mama wa kiungo wa Yanga SC Feisali Salum amezidi kutema nyongo kuhusu maisha ya kiungo huyo akiwa kwenye klabu hiyo ya Jangwani/Twiga.
π Kumbe Feitoto amewahi kula Ugali na sukari akiwa Yanga SC
π Kumbe Feitoto alfika hatua anakwenda kazini (mazoezini) na bodaboda.
π Kumbe Feitoto akiwa Yanga alikuwa bado anaomba hela ya kula home! Huo mshahara alikuwa anapata kweli?
Angalia video zote 2 umsikie Bi-maza akielezea mambo machache kati ya mengi.
Leo ndiyo marejeo ya shauri la Feisali Vs Yanga SC pale Karume zilipo ofisi za TFF majira ya saa 4 asubuhi hii.
NB: Wale waliongea na wapenzi na mashabiki wa Yanga pale Mbagala Zakhiem wakatoa ahadi ya marejeo ya klabuni waliongea na nani?
Kuna sehemu ambayo analazimishwa kuwa ufanye kazi sehemu fulani hata kama hakuna maslahi? Mbona unahoji kitoto sana, ukiona malipo hayastahiki basi mwambie mwajiri kuwa kwa huu mkataba siwezi kusaini akuongezee pesa au kama umeshausaini mkataba na ukaona maisha yamepanda hivyo hakuna maslahi na wamegoma kukuongezea basi unaacha kazi mkataba wapo ukiisha, kisha unaenda kwenye taasisi nyingine unayoona inalipa zaidi. Hakuna kazi mtu anafanya halafu hapati maslahiAkiba ni baada ya kupata maslahi.
Hata mkataba usipoisha unaweza kuacha kazi, kuna sehemu ukifanya hivyo wanakushtaki halafu wakishinda adhabu wanayokupa ni kukulipa mshahara bila kufanya kazi mpaka mkataba uishe huku wafuasi wakishangilia.Kuna sehemu ambayo analazimishwa kuwa ufanye kazi sehemu fulani hata kama hakuna maslahi? Mbona unahoji kitoto sana, ukiona malipo hayastahiki basi mwambie mwajiri kuwa kwa huu mkataba siwezi kusaini akuongezee pesa au kama umeshausaini mkataba na ukaona maisha yamepanda hivyo hakuna maslahi na wamegoma kukuongezea basi unaacha kazi mkataba wapo ukiisha, kisha unaenda kwenye taasisi nyingine unayoona inalipa zaidi. Hakuna kazi mtu anafanya halafu hapati maslahi
Na hii issue ingekuwa limetokea kule upande wa pili, basi tungesoma kila aina ya kejeri kutoka kwa akina babu onyango ,Tata mkuu ,kavulata ,yule msemaji wao, na bila kumsahau baba lao Hajji Manara!!!Fei na migoli yote hiyo uliotufunga sio wa kupanda bodaboda
Mkuu wewe una matatizo sio bure hasa ulipoingiza hiyo picha ya mchezaji wa zamani wa Yanga. Kwa maana hiyo huyo jamaa ambaye inasemekana alicheza misimu miwili Yanga anauza mishkaki kwa sababu Yanga ndio walisababisha?Hili ndilo ninaloliona, hakuna jingine. Mtanzania atajificha kwenye kivuli cha taratibu,sijui mkataba ila target ni moja tu. Furaha mtanzania mwenzake anapofeli.
Vp, huyu hakuuzunishi kwa maisha anayopitia baada ya soka? Au ndo zile za Watanzania ni wajinga, ukiwalipa vizuri wanatapanya.
View attachment 2534797
Kama sheria ipo hivyo kuwa hata mkataba usiposha unaweza kuacha kazi, basi msaidieni Feitoto kwenda CAS maana kaonewa mno. Msikubali daini haki yake kwa udi na uvumba. Kumbe inawezekana tu kuacha kazi hata kams mkataba haujaishaHata mkataba usipoisha unaweza kuacha kazi, kuna sehemu ukifanya hivyo wanakushtaki halafu wakishinda adhabu wanayokupa ni kukulipa mshahara bila kufanya kazi mpaka mkataba uishe huku wafuasi wakishangilia.
Hata akibaki hapo akalipwa mshahara ni pesa zenu.Kama sheria ipo hivyo kuwa hata mkataba usiposha unaweza kuacha kazi, basi msaidieni Feitoto kwenda CAS maana kaonewa mno. Msikubali daini haki yake kwa udi na uvumba. Kumbe inawezekana tu kuacha kazi hata kams mkataba haujaisha