Duh mbona bado ana mambo ya kitoto sana na umri umeshaenda hivyo? Kama huwa mnataniana jaribu kumuuliza Wewe anataka uolewe na Mwanaume mwenye sifa zipi? Ukiachana na pesa? Maana hela hainaga mwenyewemama angu mtu mzima 65 years
Sehemu za siri hazizeeki mamymama angu mtu mzima 65 years
Kweli anazeeka vibayaa huyo mama ako.yupo hapa
ila hajui hili swala mana ni mahusiano tu
ila tu kuna mda akiamua kuturopokea mambo na baba anatujumlisha wote kwamba tunaroho mbaya pale tunaposema haki kuhusu mwanae kipenzi wa kiume ambae hakosei kwenye macho ya mama ake.
anatuambia mimi na baba tunaroho mbaya sana kuingilia maisha ya mwanae
basi mzee wangu anaishia kusema "mama ako anazeeka vibaya"
mana mama akiamua jambo kaamua since day one na anajisifu kabisa kwamba yeye akiamua kaamua
ndo tunanyamazaga na mshua wangu hatuna jinsi
nimepaliwaπ aisee....Sehemu za siri hazizeeki mamy
Akati ndo kinacho fanya muogopwe kwa kupenda chini mnooo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hatuna baya aisee kwanza Sisi ni waaminifu sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unakula menu gani Kijana ? πnimepaliwaπ aisee....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umetishaaaa mnoooo.Sehemu za siri hazizeeki mamy
ππππnimepaliwaπ aisee....
Yani anataka kunifungulia baishara nijipambanie hata kabla hajanioaUmeona tatizo lilipo? Hataki na biashara?Mamaako anataka udode
Mamaako sio mtu mzuri kwako
Piga chini olewa atajijua mwenyewe na mawivu yake[emoji57][emoji57]
Ila Wangoni bhana wana balaa hela ataifikisha lakini π©² lazima ataivua tu hata kwa kwenda kwa Sangoma πππAkati ndo kinacho fanya muogopwe kwa kupenda chini mnooo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
maji tu bro πUnakula menu gani Kijana ? π
Huyo Mother wako ana imani za kijinga sana kwenye dunia ya sasa hivi. Kuna Siri kubwa sana kati ya huyo Mama yako na huyo Mpenzi wako. Jaribu kufanya uchunguziYani anataka kunifungulia baishara nijipambanie hata kabla hajanioa
ila anamuogopa mama na mimi ndo mshika dau
ila watu hawajui, wanakazana kusema bangi ooh havutii
sasa leo mama anasema kwanza kwao kuna zezeta baba yao atakua mchawi yani sababu haziishi jamani [emoji119] asubuhi kaniumiza sana mana nilimwambia hao wanaosema hafai pamoja na wewe mnajua mpaka hapa nilipo nmekutana na mangapi??? mnajua ugumu nmepitia kihisia mnajua nmepambana kiasi gani kupata mtu mwenye spirit kama yake nyie mnachoona ni muonekano! mkaka wa watu kanifanya hata shida ndogo ndogo sina! anajitoa muhanga hasa
nmemwambia hao wanaonisema nikikaa home sijaolewa watasema pia ndo mana nmeona nichukue kilichobora kwangu ama ni enjoy wakati huu..
ila akacheka kwa dhihaka na kusema we mpumbavu sana wakati huo mimi naongea kwa machozi
nmeumia sana kuona hajali kabisa hata jinsi ananiumiza. hio picha haifutiki rohoni mwangu ndio ikanifanya nianzishe hii mada nmeumia sana
Ni dm namba yako nikurushie hata 2000 mdogo wangu ππππmaji tu bro π
ungeweka hata ki-emoji kupunguza ukali wa manenoπππππ
mimi maskini jeuriπNi dm namba yako nikurushie hata 2000 mdogo wangu ππππ
Huwa hayapiti kirahisi kama huchukui hatua .Pole mkuu but yatapita tu Mungu wetu sote
Njaaa haina jeuri wala Baunsamimi maskini jeuriπ
Nini unamshauri?dada hajasoma ila ana mwandiko mzuri hatari. nakupa hongera Kwa hili