Mama hamtaki Mpenzi wangu

Mama hamtaki Mpenzi wangu

Yani ni mwamba miaka yote mama alikua anasema anatuweka kikao na mabinti wengine kuwa tunachagua sana mabwana, tunataka matajiri
tukipata wanaume wenye mapenzi ya kweli tuolewe haijalishi wana hali gani ila ukipata mwenye upendo unajenga maisha, nikamwambia nina mpenzi nmeanza nae kulala chini ila he took me for granted pia naogopaga kukuletea wakwe mana sina bahati sana na wanaume wazuri wazuri na hata mimi hawanivutiagi ila kwa historia yako unayosemaga unawapa kura za ndio vijana watanashati ila hawaoi tukawa tunaongeaga kawaida sometimes
sasa imetokea mtu aliokua anamsema ndio kanasa kwenye ndoano hamtaki kasahau yote
sasa

dah!

Mama mtata!

Ameyajenga, yametokea. Sasa hayataki tena?

Zingatia ushauri wake wa zamani maana ndio umeutumia kufika ulipofika na kufanya ulichofanya.

Nikutakie kila heri
 
dah!

Mama mtata!

Ameyajenga, yametokea. Sasa hayataki tena?

Zingatia ushauri wake wa zamani maana ndio umeutumia kufika ulipofika na kufanya ulichofanya.

Nikutakie kila heri
Ndo nmeutumia ila anaukana inaniumiza sana
 
Habari za saa hii wana Jf

Naomba msaada wenu wa mawazo juu ya swala hili, kama kichwa cha habari kinavyojieleza;
kwa miezi mi3 hii nmekua na mahusiano ya kimapenzi na kijana karibu na maeneo ninayoishi,
  • Mimi binti wa 28 yrs Mpenzi ana 38 aliwahi kuishi na mwanamke kwa miaka kadhaa zamani akaachana na mwanamke wake baada ya kuachishwa kazi ( kampuni ilifilisika)
  • Kwasasa ana biashara zake
-Wote tumeishia 0- level kielimu
-Anataka kunioa pale nikiridhia

Sasa tatizo linaanza baada ya mama kuhisi uhusiano baina yetu, anasema kijana hafai kwanza
-Ana vuta bangi/pombe
-Hajui kuvaa sio mtanashati
- Aliwahi kuishi na mwanamke
-Anatoka familia ya kawaida kama yetu kwahiyo hafai hatanisaidia chochote
- Hana mvuto mbele za watu
-Hana Cv nzuri hata nikimtambulisha
- Anahisi kaniroga ndo mana nmekua nae kimahusiano
-Kwanza anakaa maeneo ya karibu na nyumbani
-Hana hadhi ya kuwa na mimi

Sababu ni nyingi!!

Kwa kuliona hilo tukaamua basi ahame makazi tayari kashahama, mazingira yote tumeyafanya yawe mapya,kwa kila kitu cha hadhu anayoitaka mama,nmeshambadilisha huo muonekano kwa kiasi chake ili afanane na anavyotaka mama ila naona pamoja na kutaka aridhike ila kila siku anaanzisha sababu mpya ya kumkataa anasema anajitutumua tu ili anipate na pombe ameacha anipate akishanioa ntapata shida mana atarudi kwenye mambo yake yote!! Pia namdhalilisha kwa wamama wenzie kwa kuwa na mahusiano na jamaa

- Mama anasema yuko tayari kwenda kwa mganga yoyote akavunje mahusiano mana kwanza jamaa atakua kaniroga sio kawaida.

Sasa hapo nifanyaje wakuu? Maana naona nachanganyikiwa kila siku anaanzisha jambo jipya! ilihali nmemwambia mimi mwenyewe sijasoma! Kazi sina wala bishara yoyote na kijana wa watu ameridhia ana fanya kila jukumu lake bila kinyongo ila mama anasema anafanya mana hana hadhi ya kuwa na ww ndo mana inabidi afanye tu...

Kinachoniumiza ni hakuna siku amewahi niuliza changamoto za maisha yangu ya mahusiano. nmejaribu kumwambia wachumba wakija wakijua sijasoma/sina kazi wanagairi haelewi.. anasema umerogwa wewe
nikiomba space nitulize kichwa sipewi naambiwa mpaka utanielewa...

Nimepata feeling mama yangu ni Toxic /narcissistic mom ila nikieleza hisia zangu yeye ana cheka ndo ananiona kama mpuuzi..

Maana mimi nmemwambia kwanini tusimwachie Mungu tu kama Mungu hajapanga tutaachana tu ila kwa ridhaa yetu mengine tutarekebishana sitaki uwe kama unanipangia maisha ila haelewi kabisa , niko njia panda maana maisha nayaona machungu kabisa ni mimi ndo tatizo au mama? Nishaurini wakubwa kabla sijashuka presha nikazimika mana bi mkubwa kasema kama ntakufa nife mana ndo ilivyopangwa.
Mahusiano ni yako, mzazi hayamuhusu inaonekana mama ana sababu nyingine mshirikishe na mzee wako,hata Mimi wakati nataka kuoa mama alikataa nikalazimusha nikamuoa huyohuyo leo tuna miaka 9 ya ndoa ya amani tele na mama angu ni rafiki wa mke wangu hata vitu wanaazimana kwa hio wazazi nao saa nyingine sio wa kuendekeza nao ni binadamu na kwa umri wako ushakua mdada mkubwa kutangatanga utashangaa unazeeka au Mama yako hataki uolewe kama yeye hana ndoa liangalie hilo afu uamue.
 
Mahusiano ni yako, mzazi hayamuhusu inaonekana mama ana sababu nyingine mshirikishe na mzee wako,hata Mimi wakati nataka kuoa mama alikataa nikalazimusha nikamuoa huyohuyo leo tuna miaka 9 ya ndoa ya amani tele na mama angu ni rafiki wa mke wangu hata vitu wanaazimana kwa hio wazazi nao saa nyingine sio wa kuendekeza nao ni binadamu na kwa umri wako ushakua mdada mkubwa kutangatanga utashangaa unazeeka au Mama yako hataki uolewe kama yeye hana ndoa liangalie hilo afu uamue.
Wakati mwingine wamama wanasumbua sana
mke wa kaka angu alikua anampenda sana kabla ya ndoa ila alipoolewa baada ya mwezi amekiri alikosea kuchagua huyo binti hafai hataa
 
Habari za saa hii wana Jf

Naomba msaada wenu wa mawazo juu ya swala hili, kama kichwa cha habari kinavyojieleza;
kwa miezi mi3 hii nmekua na mahusiano ya kimapenzi na kijana karibu na maeneo ninayoishi,
  • Mimi binti wa 28 yrs Mpenzi ana 38 aliwahi kuishi na mwanamke kwa miaka kadhaa zamani akaachana na mwanamke wake baada ya kuachishwa kazi ( kampuni ilifilisika)
  • Kwasasa ana biashara zake
-Wote tumeishia 0- level kielimu
-Anataka kunioa pale nikiridhia

Sasa tatizo linaanza baada ya mama kuhisi uhusiano baina yetu, anasema kijana hafai kwanza
-Ana vuta bangi/pombe
-Hajui kuvaa sio mtanashati
- Aliwahi kuishi na mwanamke
-Anatoka familia ya kawaida kama yetu kwahiyo hafai hatanisaidia chochote
- Hana mvuto mbele za watu
-Hana Cv nzuri hata nikimtambulisha
- Anahisi kaniroga ndo mana nmekua nae kimahusiano
-Kwanza anakaa maeneo ya karibu na nyumbani
-Hana hadhi ya kuwa na mimi

Sababu ni nyingi!!

Kwa kuliona hilo tukaamua basi ahame makazi tayari kashahama, mazingira yote tumeyafanya yawe mapya,kwa kila kitu cha hadhu anayoitaka mama,nmeshambadilisha huo muonekano kwa kiasi chake ili afanane na anavyotaka mama ila naona pamoja na kutaka aridhike ila kila siku anaanzisha sababu mpya ya kumkataa anasema anajitutumua tu ili anipate na pombe ameacha anipate akishanioa ntapata shida mana atarudi kwenye mambo yake yote!! Pia namdhalilisha kwa wamama wenzie kwa kuwa na mahusiano na jamaa

- Mama anasema yuko tayari kwenda kwa mganga yoyote akavunje mahusiano mana kwanza jamaa atakua kaniroga sio kawaida.

Sasa hapo nifanyaje wakuu? Maana naona nachanganyikiwa kila siku anaanzisha jambo jipya! ilihali nmemwambia mimi mwenyewe sijasoma! Kazi sina wala bishara yoyote na kijana wa watu ameridhia ana fanya kila jukumu lake bila kinyongo ila mama anasema anafanya mana hana hadhi ya kuwa na ww ndo mana inabidi afanye tu...

Kinachoniumiza ni hakuna siku amewahi niuliza changamoto za maisha yangu ya mahusiano. nmejaribu kumwambia wachumba wakija wakijua sijasoma/sina kazi wanagairi haelewi.. anasema umerogwa wewe
nikiomba space nitulize kichwa sipewi naambiwa mpaka utanielewa...

Nimepata feeling mama yangu ni Toxic /narcissistic mom ila nikieleza hisia zangu yeye ana cheka ndo ananiona kama mpuuzi..

Maana mimi nmemwambia kwanini tusimwachie Mungu tu kama Mungu hajapanga tutaachana tu ila kwa ridhaa yetu mengine tutarekebishana sitaki uwe kama unanipangia maisha ila haelewi kabisa , niko njia panda maana maisha nayaona machungu kabisa ni mimi ndo tatizo au mama? Nishaurini wakubwa kabla sijashuka presha nikazimika mana bi mkubwa kasema kama ntakufa nife mana ndo ilivyopangwa.
Kama jamaa ni kweli anavuta skanka na mzee wa mitungi ya gesi hapo pana tatizo kwakweli... Sema daah mapenzi ni upofu sana huenda kwako huoni kama ni tatzo na ushamkubali hivyo hivyo na ulevi wake...
 
Case yako ni complicated,Maana wa mama nao huwaga na jicho la kuona mbele sana,Ila pia sometimes wanakosaga utu na kupenda tuolewe na wanaume wenye stutus na pesa hata Kama hatuwapendi,kupeana maumivu tu kuishi na mtu usompenda kisa mama
 
Hata mimi nisingekuozesha yaani mwanaume an a kunywa pombe, bangi ,sigara mie hapana wanakuaga malaya mno

Afu pia wewe umeishia olevel na yeye olevel watoto wenu nani atawafundisha? Tafta hata mkaka mwenye diploma mtoto enu awe inspired kusoma kwa bidii

Usitangulize hisia mbelembele
Sigara, bangi na pombe havina uhusiano na umalaya. Umalaya ni tabia ya mtu maana hata kuna walokole malaya.
 
8f82c6f5ec703c4ee16e7822a4df7803.jpg
 
Back
Top Bottom