Mama hamtaki Mpenzi wangu

Mama hamtaki Mpenzi wangu

yupo hapa
ila hajui hili swala mana ni mahusiano tu

ila tu kuna mda akiamua kuturopokea mambo na baba anatujumlisha wote kwamba tunaroho mbaya pale tunaposema haki kuhusu mwanae kipenzi wa kiume ambae hakosei kwenye macho ya mama ake.
anatuambia mimi na baba tunaroho mbaya sana kuingilia maisha ya mwanae
basi mzee wangu anaishia kusema "mama ako anazeeka vibaya"
mana mama akiamua jambo kaamua since day one na anajisifu kabisa kwamba yeye akiamua kaamua
ndo tunanyamazaga na mshua wangu hatuna jinsi
Kweli anazeeka vibayaa huyo mama ako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umeona tatizo lilipo? Hataki na biashara?Mamaako anataka udode

Mamaako sio mtu mzuri kwako

Piga chini olewa atajijua mwenyewe na mawivu yake[emoji57][emoji57]
Yani anataka kunifungulia baishara nijipambanie hata kabla hajanioa
ila anamuogopa mama na mimi ndo mshika dau
ila watu hawajui, wanakazana kusema bangi ooh havutii
sasa leo mama anasema kwanza kwao kuna zezeta baba yao atakua mchawi yani sababu haziishi jamani [emoji119] asubuhi kaniumiza sana mana nilimwambia hao wanaosema hafai pamoja na wewe mnajua mpaka hapa nilipo nmekutana na mangapi??? mnajua ugumu nmepitia kihisia mnajua nmepambana kiasi gani kupata mtu mwenye spirit kama yake nyie mnachoona ni muonekano! mkaka wa watu kanifanya hata shida ndogo ndogo sina! anajitoa muhanga hasa
nmemwambia hao wanaonisema nikikaa home sijaolewa watasema pia ndo mana nmeona nichukue kilichobora kwangu ama ni enjoy wakati huu..
ila akacheka kwa dhihaka na kusema we mpumbavu sana wakati huo mimi naongea kwa machozi
nmeumia sana kuona hajali kabisa hata jinsi ananiumiza. hio picha haifutiki rohoni mwangu ndio ikanifanya nianzishe hii mada nmeumia sana
 
Yani anataka kunifungulia baishara nijipambanie hata kabla hajanioa
ila anamuogopa mama na mimi ndo mshika dau
ila watu hawajui, wanakazana kusema bangi ooh havutii
sasa leo mama anasema kwanza kwao kuna zezeta baba yao atakua mchawi yani sababu haziishi jamani [emoji119] asubuhi kaniumiza sana mana nilimwambia hao wanaosema hafai pamoja na wewe mnajua mpaka hapa nilipo nmekutana na mangapi??? mnajua ugumu nmepitia kihisia mnajua nmepambana kiasi gani kupata mtu mwenye spirit kama yake nyie mnachoona ni muonekano! mkaka wa watu kanifanya hata shida ndogo ndogo sina! anajitoa muhanga hasa
nmemwambia hao wanaonisema nikikaa home sijaolewa watasema pia ndo mana nmeona nichukue kilichobora kwangu ama ni enjoy wakati huu..
ila akacheka kwa dhihaka na kusema we mpumbavu sana wakati huo mimi naongea kwa machozi
nmeumia sana kuona hajali kabisa hata jinsi ananiumiza. hio picha haifutiki rohoni mwangu ndio ikanifanya nianzishe hii mada nmeumia sana
Huyo Mother wako ana imani za kijinga sana kwenye dunia ya sasa hivi. Kuna Siri kubwa sana kati ya huyo Mama yako na huyo Mpenzi wako. Jaribu kufanya uchunguzi
 
Back
Top Bottom