Mama hamtaki Mpenzi wangu

Anataka kwenda kwa mganga tutegue au sio? Nipo hapa kumsaidia Mama yetu apate mkwe amtakaye. Sema acha kuzingua msikilize Mama yako wewe mi mwenyewe wakati nafukuzia dem wa kishua niliacha ugimbi nilipoibutua kwelikweli nikaona hakuna jipya wala nikamrudia baby alcohol hacheat huyuuu mwambaa.πŸ˜‰πŸ˜‰
 
Inaonekna kabisa jamaa anabadilika just for temporary apate anachotaka then bdae anarudi kwenye uhalisia wake!..sijui ataenda kulilia wapi?🀣
Kabisaa,Eti kahamia maeneo mapya kabisaa,Ila wanaume mna mbinu Nyie mkitaka lenuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚unawajua wale Hadi wanajifanyaga wameokoka?ndio sampuli za jamaa
 
Kabisaa,Eti kahamia maeneo mapya kabisaa,Ila wanaume mna mbinu Nyie mkitaka lenuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚unawajua wale Hadi wanajifanyaga wameokoka?ndio sampuli za jamaa
Mbaya zaidi hayo yote anafanya mwanamke ili jamaa akubalike kwa Mama. Hivi umeona tatizo hapo?
 
hapo shika mimba ya jamaa 😊😊
mama mkwe atapoa kidogo japo sio sana, alafu ukizaa unapumzika mwaka tu, unanasa mimba ingine.. ukizaa ingine unapumzika kidogo unashika ingine
 
Mama yako anapaswa kukupa ushauri tu na siyo kukupangia uwe na nani katika maisha yako.
 

Hayo mengine yanaongeleka ila hapo kwenye bangi daah
 
Kabisaa,Eti kahamia maeneo mapya kabisaa,Ila wanaume mna mbinu Nyie mkitaka lenuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚unawajua wale Hadi wanajifanyaga wameokoka?ndio sampuli za jamaa
Hao wanaojifanyaga wameokoka siku wakifunguli mtaenda mkuta kwenye mtaro..
 
Msikilize mama..sawa wazazi wameona MENGI.... akat namaliza chuo kikuu nilipata mchumba ELIMU yake o_level
Nilifight mzee alikua na position ya kuni sapport lakini hakufanya hivyo.....
Akanambia kwanini nataka kuoa wakati Sina hata Masters degree 😊😊
Sikua na kazi by then miaka 15 iliyo pita
Nilisikiliza wazazi now nipo na nimesha kua na mtu mwingine maishani Tupo na good life & happy life ☺️☺️

Sikiliza mzazi wako sawaaa ten years later Rudi hapa kukoment πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…