Mama hamtaki Mpenzi wangu


Samahani we ni dini gani?
 
Wahuni sio watu wazuri ebu chunguza mwenyewe mpe mwaka
 
mi nmempa nafasi ajiprove ila mama kasema hataki tu hapo ndo nachoka na sababu zake ndo hizo
Mimi nafikiri sababu lukuki atowazo mamako ni vile hajamkubali mkwee anajaribu kukuvunja moyo ili uachane na jamaa na maana anajaza sababu nyingi,
Ila sababu ya msingi niliyoona hapo kwenye bangi best sio rahisi mzazi kukubali binti yake aolewe na mvuta bangi au hiyo ya uvaaji ukute suruali hadi makalioni harafu boxer nje hata mimi nakuainishia sababu nyingi ili uachane nae tu.
 
Mama anaona mbali sana kwavile mnaishi kwenye jamii moja atakuwa anamfahamu vizuri, mapenzi ni ukipofu hasa kwa vijana mihemuko hutawala tafakari chukua hatua jamii unayoishi nayo itakupa majinu mazuri kuliko sisi humu
 
Na hivyo vitu sio kivile, pombe ameacha tangu nimwambie mi pia staki hivyo vitu akishindwa kuacha tutakua tu casual amenielewa anayafanyia kazi hayo
Hamna kitu kigumu kama kuacha pombe kwa external influence. Walevi wengi huwa wanapumzika tuu kutumia kilevi.
Je Bangi nayo ameacha kuvuta?
 
Hivi unadhani wanaovuta bangi wote wanavaa mlegezo?? anavaa kawaida tu
wale wa mlegezo ni utoto... mana mimi mwenyewe nmekulia mazingira ya kuona wavutaji nawajua
mama angu basi tu yani
 
Kua makin sana na Mganga atakae mwendea mama ili kuhalibu mahusian yenu.mpe mala2 yaela atakayo toa mama hvo mkeka wamama utakua umechanika.
OVA.
 
Anaolewa kwasababu yeye ni mwanamke watu muna maswali ya kiwaki Sana, pia ukisema akae na mtu mwaka mzima kumbuka ana miaka 28 now inamaana huo mwaka mzima akimuona aio sahihi ampate mwengine akiwa na miaka 30 nae amchunguze miaka 3 bila guarantee kuwa sahihi au aio akiona sio sahihi tena si atafika miaka 40 akichunguza watu

Mtu sahihi unamjua ndani ya Week 1 tu ya dating na ndani ya miezi 3 inatosha ku-comfirm kilakitu tuache kuaminishana ujinga
 
wanasema et bangi na pombe wameacha mengine nilioyasema wameshupalia hayo kama hao watu wa hivyo hawapo kwenye jamii, ntajitahidi kuzingatia ushauri wako mkuu
Halafu wahuni wanajuaga kupenda hao,yaani akiwa na demu wake anamuonjesha nyasi wanablaze pamoja burdan......wanajikuta zao wako Jamaica
hahahahaha ila jamani, mimi anajua sipendi nmekataa
wahuni hata kwa sita by sita shughuli wanakupeaaa haswaaa
ni kweli
Ulieishia o level unajua mambo ya Toxic/ narcissistic mom wewe utakuwa unatuchora tu
Ndio najua Mpaka psycho and the likes
ni kawaida tu mbona mkuu
Nani alikudanganya kuwa mlevi na mvuta bangi huacha ulevi.
Kinachokusumbua wewe ni umri kwenda muda mfupi ujao utajuta
wala na sijasema nataka anioe, nataka kuwa na amani ya mahusiano manake mama anayafatilia sana
😁😁😁 wahuni tuna vitu special, alafu huwa hatu cheat... PM ipo wazi
Kwenye kucheat nakubali
mana sijwahi kusikia wala kuona
 
Fata moyo wako.
 
Utakua pisi kali wewe hebu fanya utume picha yako pm nikuone kisha nirudi kutoa ushauri.
 
Case yako ni complicated,Maana wa mama nao huwaga na jicho la kuona mbele sana,Ila pia sometimes wanakosaga utu na kupenda tuolewe na wanaume wenye stutus na pesa hata Kama hatuwapendi,kupeana maumivu tu kuishi na mtu usompenda kisa mama
sasa nmempa nafasi anitafutie maana kwa nguvu zangu nmeshindwa
Mama yako anapaswa kukupa ushauri tu na siyo kukupangia uwe na nani katika maisha yako.
ndo nanipangia hapa
mimi hizi prediction za yajayo huwa sizipi nafasi mana hata nilikotoka yashanikuta mengi tu maisha ni kumove on, huwezi kuacha kujaribu kisa utafeli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…