Mama hamtaki Mpenzi wangu

Nenda ukamseme kwa baba
 
Wrong
 
Sio mara zote wazazi wako sahihi,, inahitaji maamuzi magumu fuata sauti yako ya ndani kama jamaa amebadili vyote hadi kufikia kuhama mi nakushauri mpe nafasi
Na hapo yawezekana kijana keshalamba sukari ya mama so anakanya yai la kuku sema ndio hivyo mama anashindwa kumfungukia bint kwamba ni kiben teen chake kile kimeshamvua pichu
 
Na sio kwamba dogo keshaona nyuchi ya mama sasa anakanyaga na mtoto?
 
Eish...hebu endelea na huyo kijana achana na Maza ako[emoji848]

Mzazi ambae chozi la mwanae halimhangaishi ni mama gani huyo hana utu?

Yaan ningekuwa mimi ningepiga chini kumsikiliza, nakuwa busy na mahusiano yangu
 
Huyo Mother wako ana imani za kijinga sana kwenye dunia ya sasa hivi. Kuna Siri kubwa sana kati ya huyo Mama yako na huyo Mpenzi wako. Jaribu kufanya uchunguzi
Huyo maza eidha kaliwa na huyo jamaa au anamtaka jamaa kimapenzi!...

Huyo dada afanye uchunguzi

Kuna kitu nimegundua[emoji848]
 
Eish...hebu endelea na huyo kijana achana na Maza ako[emoji848]

Mzazi ambae chizi la nwanae halimhangaishi na mama gani huyo hana utu?

Yaan ningekuwa mimi ningepiga chini kumsikiliza, nakuwa busy na mahusiano yangu
yani nmeumia sana.
hiko kitendo hakitafutika moyoni
 
Baba yako yuko hai? Kama yuko hai yeye ana msimamo gani?
 
Wewe hapo umedata na mapigo ya kitandani mie ninamkasa na watu kama hao ushauri kimbia hama na mkoa kabisa kakuendea Kwa mganga na anatumia nyota Yako kachukua nyaya Yako napia , anatumia Kwa biashara zake mkimbie ipo siku utalia halafu , usipende kumwambia mama Yako ndio hapendi huo usiano wenu oho shauri yako
 
Uongoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…